Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Na Sab ya Stirridge haikupaswa Kufanyika dakika ya 87 kwani Ni Vigumu Kuleta Impact moja kwa moja.

Alipaswa Kuingia dakika ya 75 kuchukua Nafasi ya Mo Salah.
Klop alikariri goli la dakika ya 89 nafikiri
 
Hahaaa hata km n kuponda club sio kwa namna hii
Liver ana point tatu, unasemaje anasindikiza??
Wakat huohuo TOT hana point ila husemi kam anasindikiza[emoji23]
Spurs timu ndogo hamna mtu ana time nayo. sisi tuna muda na majogoo
 
Game tatu mfululizo looseful hawajashinda hata moja
Wasindikizaji kwenye haya mashindano ni liver
Ni mapema mno kusema Liverpool ni wasindikizaji, at least sio katika group stage
Bado mechi nne, moja ya kukamilisha mzunguko na tatu za marudiano.
 
Klopp alikuwa akibet kama mchezo wa Chelsea ndio maana kamwingiza dkd ya 88 ili dk ya 89 au 90 afunge la kusawazisha. Bad Bet
 
Kuhusu kulala mimi niko shift sa hii. Kwa hiyo niwache nikupe dozi kamili. Kuhusu kuyapokea matokeo hiyo mtajuana na mashabiki wenzenu. Napole kakutoboa na timu yako mnayoisifia ndiyo bora kwa sasa huku akiwepo Hendo uwanjani.

Pole sana. Nakutakia kila la kheri weekend
Lala mkuu acha kuwanga kwenye uzi wetu.

Matokeo yetu tumeyakubali na tumeyapokea kwa mikono miwili. Sio kama nyie mna visingizio kama washwahili
 
ryana fan, njoo umuone huyu mwenzako, au yeye huwa ana haki ya kuongea kabla ya mechi?!
Maana naona huwa unawakataza mashabiki wa The Reds kuongea kabla ya mechi!
Nimemuona......amekosea kidogo. Ila naona umekazwa kamoja tu. Khe khe khe khe [emoji1787] [emoji1787].

Msiba umeandaliwa wapi...tulete rambi rambi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…