Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa iyo mkuu Salah, Mane na Firmino wasipo pafom furesh kama unavyotaka wewe, timu haiwezi kushinda?

Sasa wasipokuwepo kabisa itakuwaje?
 
Endelea kudhihirisha mtindio wa ubongo
Na mama ako unaanza kumtukanisha humu
Sasa kama Nina mtindio wa ubongo kwanini uendelee kuni quote?

Kama unanifahamu wakati mimi sikufahamu, huoni kama una matatizo mengi tu?

Basi wewe uko sawa. Naomba usini quote tena!
 
To be Honest Nimekuja Kumuona Henderson Kwa Kufanyiwa Sub tu! Lakini Dakika Zote 70 alizokuemo nilikuwa Sijui Kama Yumo uwanjani mpaka Nikadhani Klopp Kachezesha Viungo Wawili tu Gini na Milner.

Kiukweli Hendo Hatufai hata Kidogo.
mi sio mchambuzi sana wa kikosi ila nikahisi leo Milner hakuwa katika form bora kwamba mpira umemkataa, lakini nilikuwa namuona uwanjani ila huyo Handerson sikuwa namuona uwanjani akifight kabisa na nikawa napaona kati pamepwaya, kumbe ishu haikuwa kwa Milner bali huyo jamaa aliyotufanya mechi ionekane ngumu wakati PSG aliweza kusimamishwa kwa ustadi mzuri kabisa ambayo PSG huwezi kuifananisha na takataka hiyo ya chelshit...!!!
 
hahhahahaa
 
Kloop anafurahia kwenda sare na mgeni sarriball kweli maji yalizidi unga
Endeleeni kufurahia sare
 
Hata jana tungepanga kile kikosi cha Carabao...

Sijui mngeshindia wapi.
Mkuu inabidi unyamaze tu kwa AIBU
Liverpool kikosi A na Chelsea A huwezi nifunga!
Unaweza ukawa na edge kwa vikosi vyetu B lkn EPL hatuchezshi vikosi B
Uwanja wako wa nyumbani umeshindwa nifunga bado unachonga?
 
Liverpool kamili dakika ya 45 anamaliza game Anfield
Kaka ule moto pale mbele utakuwa umeisha changanya kwa 100%
Mechi ya marudiano ANFIELD mmeisha poteza
Mpaka wakati huo tutakaporudiana hata chelsea itakuwa imeimarika zaidi na umiliki wa mpira kwa kiwango cha juu mbele ya team kubwa
 
Naomba mwenye video ya shoot alilopiga sturridge kama lile la jana kwenye carrabao cup likagonga mwamba.
 
Hivi hazard unamchukuliaje mkuu,hawezekani klopp apange kikosi kisicho zui wachezaji wanao casuse more problems, hazard huwa anazunguka uwanja mzima eti[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi hazard unamchukuliaje mkuu,hawezekani klopp apange kikosi kisicho zui wachezaji wanao casuse more problems, hazard huwa anazunguka uwanja mzima eti[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu angecheza hivyo unavyotaka na PSG sijui kama tungepata ushindi. Plan nzuri ni kuizuia team pinzani kwa ujumla wake kuliko kumzuia mtu mmoja mmoja.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…