Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
chelsea kadroo safi sana, jmosi tumpige 3,tuanze weka gaps kubwa kubwa sasa.
Usimuangalie Chelsea pekee Kuna na Man City Ambaye Pia Ana Nafasi Kubwa Kuwin EPL Msimu huu.
chelsea kadroo safi sana, jmosi tumpige 3,tuanze weka gaps kubwa kubwa sasa.
Zarri ball️
City hana domodomo kama chelshit.Usimuangalie Chelsea pekee Kuna na Man City Ambaye Pia Ana Nafasi Kubwa Kuwin EPL Msimu huu.
Lkn msimu huu bingwa hadi mechi ya mwisho!Usimuangalie Chelsea pekee Kuna na Man City Ambaye Pia Ana Nafasi Kubwa Kuwin EPL Msimu huu.
Keep dreaming..mko hivi misimu yote.Lkn msimu huu bingwa hadi mechi ya mwisho!
Sioni popte kati ya Liverpool vs Man City wa kumuacha mwenzake points 20+ kama msimu uliopita!
Tumeweza mno kufukia gap lote
Ligi ngumu msimu huu ni Liverpool na Man City!
msimu uliopita mechi sita za mwanzo tulikuwa na point ngapi?Keep dreaming..mko hivi misimu yote.
Nasemaaa..mko hivihivi misimu yote.msimu uliopita mechi sita za mwanzo tulikuwa na point ngapi?
naona umeamua kutumia mapenzi kujibu kuliko uhalisia, sio kweli kwamba misimu yote liver inaanza vizuriNasemaaa..mko hivihivi misimu yote.
Keep dreaming..mko hivi misimu yote.
Lkn msimu huu bingwa hadi mechi ya mwisho!
Sioni popte kati ya Liverpool vs Man City wa kumuacha mwenzake points 20+ kama msimu uliopita!
Tumeweza mno kufukia gap lote
Ligi ngumu msimu huu ni Liverpool na Man City!
No hawana bekiDo Not Underestimate Chelsea Mkuu! Hakuna Possibility yoyote Ya Kuwatoa Chelsea Katika Nafasi ya Kugombania Ubingwa.
Chelsea kwa 100% Ni Tittle Contender.
Unajifariji tuNasemaaa..mko hivihivi misimu yote.
Malafyale uko sahihi sana ubingwa msimu huu ni kati LFC na Man City!No hawana beki
Matatizo ya Chelsea leo ya beki alikuwa nayo Liverpool miaka miwili mfululizo iliyopita,forwards nzuri beki mbovu!
Kaumia Rudiger sasa atacheza Luizi na Cahil au Christansteen
Beki ile haiwezi ikakupa ubingwa
Amuulize Neymar atampa jibuHivi Huyu Giroud kalewa?
Sio Kupiga shuti golini! Hata Ndani Ya Box la Liverpool huyu Hatoingia... Atazurura uwanjani then afanyiwe Sub aingie yule Mrembo Moratta.