Tores
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 551
- 475
Mimi hua nawaambiaga watu kua FIFA hua wanakuaga na upendeleo wa wazi kwa wachezaji wa Spain (de gea wa nini?)especially players from Madrid na Barcelona na wachezaji wa america ya kusini especially from Brazil hua nao wanabebwa! kwenye hizi tuzo! sasa alaves wa nini kwenye FIFA first 11?Hii FiFA XI ni kituko tupu wala haina reflection to reality
Yani Courtois hayupo ambaye ndie kipa bora ila De gea ambaye hata ktk 3 bora hakuwepo kuwania tuzo kaingia,Dani alves ambaye hajafanya la maana na alikuwa majeruh kaingia mbele ya Carvjal,Kimmich a disgrace,Mo Salah ambaye kafunga goli nying sana last season na kuwa ktk 3 bora ya Uefa naye hayupo
Disgrace
sometimes hua wana overrate sana LA Liga; ligi ya team tatu!(Atletico madrid,barca na real Madrid) eti ndio ligi Kali na yenye mmvuto! hua nashangaa sana.
kama LA Liga ndio ligi Kali mbona FA ya Spain ina mpango wa kupeleka baadhi ya mechi za laliga zikachezwe marekani? kwanini??
sababu kubwa ili ligi yao iwe na mvuto na ipendwe duniani! maana kwasasa haina ubora wa mvuto!
Perez- president wa Madrid kagoma kasema hata ruhusu Madrid kwenda kucheza mechi za la liga marekani! maana ni aibu!
FIFA ni wapuuzi tu! very corrupt institution!!