ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
Umekuwa nafasi ya ngapi baada ya sare? Ungefunga2/0 ungeongoza msimamo. Hasara ya draw hiyo!Kwani kutoa drow kuna tatizo gani?
Umekuwa nafasi ya ngapi baada ya sare? Ungefunga2/0 ungeongoza msimamo. Hasara ya draw hiyo!Kwani kutoa drow kuna tatizo gani?
Kwani kutoa drow kuna tatizo gani?
Kwani kunakuwa na tatizo gani endapo nimepata iyo point 1 mkuu? au wewe una uhakika wa kupata izo point 3 kila mechi?Kwanza ni draw sio drow
Af ukitoa draw tatizo ni kwamba unakosa point 3 unapata 1
Siwatambui hao ChelseaKwani wewe leo ulitaka Chelsea ashinde?
Mawazo yangu au ni kanuni? Umeanza kuangalia mpira 2004 sio?Hahaha kumbe ndo mawazo yako?
Hahaha basi sawa ..Hizo point nitazichukulia kwako.
Asee kwanza mko nafasi ya ngapi?Kwani kunakuwa na tatizo gani endapo nimepata iyo point 1 mkuu? au wewe una uhakika wa kupata izo point 3 kila mechi?
Hahaha dah! nyie shabiki mnafurahisha. Kwaiyo nyie mtaendelea kuongoza mpaka mwisho?Umekuwa nafasi ya ngapi baada ya sare? Ungefunga2/0 ungeongoza msimamo. Hasara ya draw hiyo!
Sawa tuombe uzima.Subiri Mwisho Wa Msimu Utaliona Tatizo.
Iyo kanuni kama vile unaiwaza sana.Mawazo yangu au ni kanuni? Umeanza kuangalia mpira 2004 sio?
Utawatambua tu.Siwatambui hao Chelsea
26/09/2018Utawatambua tu.
Utawatambua tu.
Kwa kikosi tulicho nacho wallah akitoka salama bhasiHivi Kwa SarriBall hile Ya Pasi 900 bila Ya Goli tarehe 29 utatokea wapi?
Acha kulia sasaKwani kunakuwa na tatizo gani endapo nimepata iyo point 1 mkuu? au wewe una uhakika wa kupata izo point 3 kila mechi?

Kwani PSG Ni timu Kubwa? Since when?
Saw a mkuu jumatano sio mbali.Acha kulia sasa
Mbona unauliza kama unataka kulia
We tulia maana ukipanick zaid juma tano unakutana nacho tena ukipanick tunaongeza dozi trh 29
![]()
![]()