Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
mkuu ni shinda sana kwa kweli jamaa kila akitabiri ooh leo mnafungwo, sisi hao pointi twanyakua...Watu wangu wa Melwood wako vizuri sana kwenye kufanya uchambuzi wa timu yetu katika kila idara na wanastahili kualikwa na local tv stations
Sasa kule wachangiaji wa maana ni wawili tu yaani Mento na Kalou
Wengine ndio vitoto ambavyo kule jamvini kwao Mentor na Kalou wasipoonekana basi wengine ni mwendo wa copy and paste na pumba tupu na uganga wa kienyeji
YNWA
hapa ni take each game as they come sio kutabiri jumla jumla kama vile ni soka la bongo..
kila mechi ina ungumu wake na mpaka mechi ya jana bado tunapoteza pasi nyingi sana ambazo msimu uliopita hio shinda likua kwa Lovren na Henderson sasa wengine nao wameabukizwa..hope Klopp atalifanyia kazi maana hata front 3 bado wanapoteza nafasi za kufunga nyingi tu..
aafu anakuja mpinzani hapa kusema hatuendi kokote tutaanza kufungwo...
to me we will get better with time na ma haters wataisoma namba maana angalau sasa tu depth ya ku rotate wachezaji na kupata ushindi kama jana..
.good news ni just a bruised rib tu na natamani game ya carabao asicheze ili awe fit zaidi game na chelsea ya league.