Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Own goal
1537634882412.gif
1537634908149.gif
 
Nafikiri kulikua na tatizo ukabaji
Mfumo ndo uliokua tatizo hasa upande wa kushoto maelekezo yangetosha shaqil aliegemea sana upande wa kulia kushoto kukawa kuna pwaya.tulikua tunaongoza maelekezo yangetosha kuimalisha team wangeingia wengine tu sio kumchosha milner
 
Tunaujua mwisho wenu
Wakati mtakapoanza kulia na team yenu
duu kweli wewe mbishi bure...leo tumeshinda na tunaongoza ligi bado yajayo yanakutesa tu...
nenda kwenye uzi wa Chelsea unayochangia hapa hayana jipya...
sie wenyewe mashabiki wa Liverpool wala hatuna wasiwasi na perfomance ya timu kila mechi tukicheza mnatabiri tunafungwo ila twashinda tena bila kua tumecheza na ile fluency tuliyozoea...
mtapata taabu sana msimu huu...YNWA
 
Mkuu usiongee kauli za kejeli ..hata messi unaweza kukutana Naye tu.

Kama ukifanikiwa kufuzu makundi.
Tokea 2004 Mwaka iliyoanzishwa Chelsea:

1) Man United Kacheza Fainali 3 za CL, Kabeba Kombe 1.

2) Liverpool Kacheza Fainali 3 za CL, Kabeba 1.

3) Chelsea Kacheza Fainali 2 za CL, Kabeba 1.

Sasa Asipoweza Liverpool Kuwatetea Kama Alivyoonesha Ubabe Last Season unadhani Utaweza Wewe Unaefungwa Magoli ya Aibu na Messi Pekee?
 
wamehamia uzi huu utadhani maneno yatatunyima ushindi...hapa ni kupata pointi kwa kila mechi..
next ni wao na mpaka sasa wanajua kazi wanayo maana kutuzuia hawawezi...

Watu wangu wa Melwood wako vizuri sana kwenye kufanya uchambuzi wa timu yetu katika kila idara na wanastahili kualikwa na local tv stations
Sasa kule wachangiaji wa maana ni wawili tu yaani Mento na Kalou
Wengine ndio vitoto ambavyo kule jamvini kwao Mentor na Kalou wasipoonekana basi wengine ni mwendo wa copy and paste na pumba tupu na uganga wa kienyeji
YNWA
 
Mzee King Ngwaba na Numbisa nawaona wanavichemsha vitoto vya darajani.
 
I'm affraid Allison will hand in transfer request b'se VVD is not leting him to make any save....

😀😀😀 Yani anapata only ONE WEAK SHOT ON TARGET to save per game kiasi Ya Kwamba Mpaka Hadi asubiri Mazoezi Kule Melwood ndiyo Apigiwe Mipira ya Kusave.

Kuwa Mimi Ningelimwambio Klopp anitowe Kwa Mkopo Kwa Relegator yoyote yule ili nikapate Changamoto za Kusave ha ha ha ha
 
DISCUSSION: NI MCHEZAJI GANI MUHIMU ZAIDI KWNYE KIKOSI HIKI CHA LIVERPOOL?

Personally namchagua VVD jamaa ame transform kabisa backline yetu.ani leo alivyokua chini mapigo ya moyo yalienda mbio sana.good news ni just a bruised rib tu na natamani game ya carabao asicheze ili awe fit zaidi game na chelsea ya league.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom