What are the biggest clubs in the world? (The big 7)
Fans wengi sana huwa wanachanganya kati ya neno "big" and "better"
ili Club iitwe "kubwa" inatakiwa iwe imefuzu vigezo muhimu vitano, or tunaweza tukasema kuna elements muhimu TANO zinazohidhinisha "ukubwa" wa Clubs husika;
1. History
2. Trophies
3. Global involvement (kwa Club za ulaya tunaangalia zaidi ushiriki wao kwenye UCL, UEL etc)
4. Fanbase
5. Value
Sasa basi; ili Club iitwe "big" inatakiwa iwe na walau kigezo kimoja katika hizo Elements, but ili Club iitwe "bigger" inatakiwa iwe na Vigezo angalau Vinne katika hizo elements.
In England kuna kitu kinaitwa "The trio", ambayo inahusisha Clubs tatu (Manchester United, Liverpool and Arsenal), ikiwa na maana kwamba, these three Clubs are the biggest Clubs in England.
1. HISTORY
History wise, kwa pale England, Clubs zifuatazo zipo kwenye category ya ukubwa (ukiachana na The trio) these clubs are Everton, Newcastle, Aston Villa, Spurs, Sunderland, Nottingham Forest, Leeds United, Wolves, Blackburn Rovers etc,
2. TROPHIES
Trophies wise, (ukiachana na The trio), Clubs zifuatazo zipo kwenye Category ya ukubwa, these Clubs are Chelsea, Everton, Spurs, Aston Villa
3. GLOBAL/EUROPEAN INVOLVEMENT
ukiachana na The trio, ni Chelsea ndiyo inayofuatia kwa wingi wa European involvement. (will explain more kwenye hii part)
4. FANBASE
kwa upande wa Fanbase pale England (ukiachana na The trio), Clubs zifuatazo zinafall kwenye category ya ukubwa, these clubs are Newcastle, Chelsea, Sunderland, Everton, Leeds Utd, West ham etc
5, VALUE
in England, Club kubwa kwa upande wa Value (apart from traditionally run Clubs kama utd, Liver and Arsenal), ni Manchester City, nimesema City, kwasababu ni Club ambayo haitegemei sana bonuses kujiendesha.
kwahiyo, kwa kupitia hiyo notion utagundua ni kwanini hizi Clubs tatu, zinaitwa the biggest Clubs in England, lakini kwenye huo utatu, Man utd inaongoza, Liverpool inafuatia then Arsenal wanakuja, ndiyo maana sometimes kuna watu huwa wanatumia notion ya Two biggest Clubs in England wanapozitaja Utd na LFC kwasababu ya uwiano wa makombe domestically na internationally.
people can debate kati ya Arsenal na Chelsea, hasa katika upande wa European trophies, kinachoangaliwa hapa siyo trophies kwa upande wa europe, tunaangalia ushiriki wa mara kwa mara kwenye haya mashindano (involvement), though Arsenal wamekuwa na bahati mbaya sana kwenye mashindano ya Ulaya, but theres no doubt kuwa ni moja kati ya pioneers na clubs zilizoset precedent kwenye haya mashindano, Chelsea started to be "constant" regulars kuanzia 2005, Chelsea have won the CL before Arsenal and the same can be said for Aston Villa and Forest. so when you consider the precedent and the land-mark ya Arsenal kwenye Europe comps, huwezi kuiweka in the same size na Chelsea, though for the last 13 years chelsea have won more European trophies than Arsenal and LFC.
Now, when you consider history, The trio wana history kubwa kuliko any other Clubs in England, when you consider number of trophies won, The trio wameweka gap kubwa sana na Clubs zingine za England (Utd and LFC are in the league of their own), when you consider global or Europe involvement, The trio have been there and wameset precedent for other English Clubs, when you consider ishu ya Fanbase, The trio are the most followed Clubs in England, when you consider ishu ya Value, The trio are among of the ten richest clubs in England (traditionally and modern). but mpaka sasa Club inayokuja kwa ukaribu kidogo na The trio in terms of trophies, Europe involvement, fanbase and Value ni Chelsea (for the last 13 years wameshinda more than 10 relevant trophies, wamekuwa regular Europe, wameongeza na kutanua fanbase and ni moja ya Clubs tajiri England (Modern), so kama tukisema tutengeze Top Four Clubs in England, itakuwa ni Utd, LFC, Arsenal, Chelsea.
Now, for the last 10 years Chelsea imekuwa ni "better" club than Liverpool and Arsenal, and also for the last 6-7 years Man City imekuwa ni "better" club than Liverpool, Arsenal and Utd. considering the 5 elements mentioned and explained above Chelsea and Man City are not bigger than the trio, and you can see, japokuwa these two clubs zimekuwa better than the trio for the last 10 or 6 years respectively (winning trophies almost every year and sign top class players) lakini bado zimeshindwa kufikia hata robo ya trends ambazo the trio walishaziset na bado wanaendelea kuzitengeneza.
kwa kutumia hizo 5 Elements kwenye soccer ya ulaya na duniani kwa ujumla, utakuta kuwa "The big 7" ni;
1. Madrid
2. Barcelona
3. Ac Milan
4. Manchester Utd
5. Liverpool
6. Bayern Munich
7.Juventus.