Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
FUTUHI - Huu msamiati ulitokea wapi?
Kuna kipindi cha Komedi Star TV kiko Alhamis saa 4 usiku, masaa yanaingiliana na Europa League.
FUTUHI - Huu msamiati ulitokea wapi?
Hahahaaa.. Toa povu lako. Ukweli unauma![]()
For sure ukweli unauma, Chelsea kufananishwa na Madrid af liver na Sociedad.Turubai lingine la jeshi hili hapa.For sure ukweli unauma, Chelsea kufananishwa na Madrid af liver na Sociedad.



Kule pamedolola tunajua, ucjali uwe unakuja kujifurahisha hukuTurubai lingine la jeshi hili hapa.![]()
Kitambaa cha mkononi anachovaa mbappehapa kwenye hizi picha klopp na mbappe kuna agenda gani maana sielewi zimekua zikitrend sana online!
naona km kuna kitu mbappe kapewa na klopp!!!View attachment 873274View attachment 873275View attachment 873277
Kitu cha kawaida hicho Mkuu, Tanzania hii ukimuuliza mtu yeyote unashabikia timu gani Belgium atakwambia Genk, By the way why Genk?
Kuhusu issue ya Mane wadau tusikwepeshe ukweli , Mtu mweusi mwenzetu na muaAfrika mwenzetu Sadio nimemuona mara nyingi tu akiwa anamyima Mo Salah key passes, na hii nimemshuhudia toka msimu uliopita. Tuassess ni key passes ngapi ambazo Mo Salah anazipeleka kwa Sadio and then the same kwa huyo Mane!
From our front three I believe Sadio akiamua kutoa assists hamna ataemfikia and perhaps EPL! Jamaa anao uwezo mkubwa kwa kutoboa ukuta wa beki akapiga side passes za kutap-in na wakamalizia Salah Na Bobby and anyone around!
Kwenye ile chance aliyompasia Keita akamiss ukicheki ni kuwa mara ya kwanza wakati anagaze ampasie nani wa kwanza alimuona Salah ila kijana akampa MuAfrika magharibi mwenzie
Lyon wana talents nyingi sana.
Academy yao ni nzuri na ipo well structured kuliko ya LFC.
ukiachana na Fekir pamoja na Cornet, kuna talents ambazo ningeweza kuzichukua bila hata kujiuliza mara mbili;
Tanguy Ndombele, Auoar, Ferland Mendy and even Tousart,
i'd take Depay too.
Kule pamedolola tunajua, ucjali uwe unakuja kujifurahisha huku
Antonio Commoli yupo kule?
Kule hawana mashine kama akina Mos Def na King Ngwaba
Isitoshe hamna cha kuongelea
YNWA
Watu wangu wa Melwood mnamkumbuka Jari Littmanenn?
Damien Comolli, unamaanisha?
hahaha, yupo uturuki yule, fenerbahce, kaanza kazi juzi juzi tu hapa.
Lyon, kuna Aulas ndiyo Rais wao,
Mtaalamu Faccioli ni Sports director wao, but hana sauti ya maamuzi, structure ya uongozi wa Lyon ni kama ile ya Madrid na Barca/Bayern ambapo Rais/chairman anakuwa na sauti na maamuzi ya mwisho.
so Kama Aulas angetuuzia Fekir kwa bei ndogo, angepata upinzani mkubwa sana kwenye chaguzi zao, because kuuza their generational talent kwa bei ya nyanya kungempunguzia umaarafu na credibility.
Wanacheza Alhamisi siku ambayo Futuhi wanakuwa aired kwenye channel moja nchiFUTUHI - Huu msamiati ulitokea wapi?
huyo Agosti8 kuna kipindi alitusumbua sana kwenye jukwaa letu mpaka ikifika kipindi kuna kop kwa jina anaitwa Pazi ikabidi atutumie PM kwamba tumuwekee kunji tusimjibu chochote!
huyo Agosti8 kuna kipindi alitusumbua sana kwenye jukwaa letu mpaka ikifika kipindi kuna kop kwa jina anaitwa Pazi ikabidi atutumie PM kwamba tumuwekee kunji tusimjibu chochote!
nikikukumbuka hua nacheka sana ilikua 2014 da tumetoka mbali sana jamani
ila Pazi naye kapotea sana hapa
YNWAView attachment 874401
Jana nilikuwa nasoma article ya one of the soccer pundits in UK
Amewalaumu sana ManCity fans kwa kutojaza uwanja na kutoshangilia (turning it up) during European nights na akaonyesha jinsi uwanja ulivyokuwa haukujaa kabisa walipocheza mechi na Lyon