Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Alipata kiburi na mafanikio ya last season akakacha kusajili, acha yamkute. Always naamini katika kusajili kila dirisha kubwa ili kuongeza quality na suala lingine kwa mtazamo wangu strikers wa Man City (Aguero na Gabriel) ni strikers wa kawaida (sio cream natural) , huwezi kutishia club kubwa duniani eti nina Aguero/Jesus. Kuna Club zina strikers sio wa kubahatisha; Man Utd wana Rashford Bayern wana Lewandowski, Barca wana Suarez, PSG wana Cavani, Tottenham wana Kane, Atletico wana Diego Costa n.k

Duh!!Mkuu sasa Unataka kutuaminisha kua Rashford ni bora kuliko Aguero???hapo weka mapenzi pembeni Aguero labda kama umemjua leo ndio sabab unamuona ni striker wa kawaida, hivi unasahau kua unamzungumzia Golden boot winner na mtu ambae hakosi 20+ goals kila season, unaongelea mtu aliyefunga goli 140+ katika epl

Kupotea kwa Man City juzi si sababu Aguero mbovu ama ni striker wa kawaida tu, Ki mchezo City walizidiwa na Lyon kingine katika ujenzi wa team Pep hajafanikiwa kabisa kujenga safu ya Ulinzi nzuri ni mtu wa attacking style. Kulibaini hili jaribu kuichunguza City utagundua ni team inayoruhusu sana goli kuingia hata kama itashinda 6. All in all juzi City walikamatwa tu, mind you D.Costa epl golden boot aliisikia kwenye bomba tu na uyu Aguero kwasasa kabakisha goli kama 30 tu afikie record za kufunga goli alizofunga Thierry Henry , bado goli 4 afikie goli za Michael Owen, na amewazidi magoli mpaka hao kina Van Persie watu waliotikisa ufungaji ktk epl
 
My Top FIVE Liverpool Centre-backs of all time.

1. Alan Hansen
2. Sami Hyppia
3. Virgil Van Djik
4. Daniel Agger
5. Stephane Henchoz
I agree with you that VVD is the best defender so far in EPL if not Europe!

Even in the last game LFC v/s PSG, Stastically VVD was quickest player on the pitch with speed of 32.4km/h kwa upande wa Liverpool aliwazidi Salah, Mane na Sturridge/ Fimihno na kwa upande wa PSG alimzidi Kylian Mbappe na Neymar!

VVD yupo sharp aisee!

aliyefuatia kwa mwendokasi ni Robertson (32km/h), Mbappe (32km/h), Neymar (31km/h), Gomez (30.8km/h)

Bila VVD Liverpool defence is crap!
 
I agree with you that VVD is the best defender so far in EPL if not Europe!

Even in the last game LFC v/s PSG, Stastically VVD was quickest player on the pitch with speed of 32.4km/h kwa upande wa Liverpool aliwazidi Salah, Mane na Sturridge/ Fimihno na kwa upande wa PSG alimzidi Kylian Mbappe na Neymar!

VVD yupo sharp aisee!

aliyefuatia kwa mwendokasi ni Robertson (32km/h), Mbappe (32km/h), Neymar (31km/h), Gomez (30.8km/h)

Bila VVD Liverpool defence is crap!

Best DF in the League, i'd say.

in Europe nadhani, Ramos is still undisputed, but i wouldnt swap VVD for Hummels/Boateng/Godin/Pique/Thiago/Mariquinos/Otamendi/Kompany/Bailly etc.

CBs amabao nadhani wapo kwenye same bracket na VVD kwasasa ni Varane/Umtiti/Gimenez/Alder
 
Thank you Chief.

Liverpool ni very interesting Club, na kizuri ni kuwa ukubwa wa Club yetu unafanya tuwe na mengi ya kuzungumza.
Thanks a lot for sharing hizi details mdau mwenzangu wa Melwood.
Kwa kuongezea

LFC is more than a football club.
It’s a tradition
And for the folks living in the city of Liverpool, LFC is an institution that has a profound influence and impact to the aspects of their daily lives
 
Thanks a lot for sharing hizi details mdau mwenzangu wa Melwood.
Kwa kuongezea

LFC is more than a football club.
It’s a tradition
And for the folks living in the city of Liverpool, LFC is an institution that has a profound influence and impact to the aspects of their daily lives

LFC ni more than Family, ni utamaduni ambao huleta karibu watu wa pande zote duniani.

Utamaduni huu, ulianza tangu Club inaanzishwa, despite mabadiliko makubwa ya uendeshaji wa Clubs duniani, LFC ilibaki na utamaduni ule ule, na kuto-kukubali kuhama katika misingi yake, na ndiyo maana kuna kipindi tuliyumba sana na kufikia kiasi ambacho tungeweza kuitupilia mbali misingi ya CLUB ili kuendana na mpira wa kisasa, but tulistick na misingi ile ile na tumekomaa na kuweza kurudi tena tukiwa na misingi ile ile. na hiki kitu ndiyo kinachotofautisha LFC na Clubs nyingine duniani.
 
hapa kwenye hizi picha klopp na mbappe kuna agenda gani maana sielewi zimekua zikitrend sana online!

naona km kuna kitu mbappe kapewa na klopp!!!
IMG-20180921-WA0041.jpeg
FB_IMG_1537526744334.jpeg
IMG-20180921-WA0003.jpeg
 
LFC ni more than Family, ni utamaduni ambao huleta karibu watu wa pande zote duniani.

Utamaduni huu, ulianza tangu Club inaanzishwa, despite mabadiliko makubwa ya uendeshaji wa Clubs duniani, LFC ilibaki na utamaduni ule ule, na kuto-kukubali kuhama katika misingi yake, na ndiyo maana kuna kipindi tuliyumba sana na kufikia kiasi ambacho tungeweza kuitupilia mbali misingi ya CLUB ili kuendana na mpira wa kisasa, but tulistick na misingi ile ile na tumekomaa na kuweza kurudi tena tukiwa na misingi ile ile. na hiki kitu ndiyo kinachotofautisha LFC na Clubs nyingine duniani.

Sounds like a music to me, mkuu!
The credit should go to the great Bill Shankly without forgetting others who had contributed immensely to this great club I.e. Bob Paisley, Fagan and Daglish
 
Sounds like a music to me, mkuu!
The credit should go to the great Bill Shankly without forgetting others who had contributed immensely to this great club I.e. Bob Paisley, Fagan and Daglish

Ukiachana na wenzetu Utd na Arsenal, you cant find Legends kama hawa kwenye Clubs nyingine.

Bill Shankly ametengeneza precedents nyingi sana kwenye soccer la ulaya na dunia nzima kwa ujumla, ame-ispire generation kwa generation, ndiye aliyefanya mashabiki wa LFC kuwa na unique passion kuhusiana na Club.

he built a dynasty na Legends waliofatia wakaipokea na kuiendeleza katika misingi ile ile ambayo imeifanya Club iweze kujizatiti katika tamaduni ya kipekee iliyokusanya true and passionate fans.

afcb29ff5faecd1f6d2a3dd61a8851ea.png
 
Sounds like a music to me, mkuu!
The credit should go to the great Bill Shankly without forgetting others who had contributed immensely to this great club I.e. Bob Paisley, Fagan and Daglish

Ukiachana na wenzetu Utd na Arsenal, you cant find Legends kama hawa kwenye Clubs nyingine.

Bill Shankly ametengeneza precedents nyingi sana kwenye soccer la ulaya na dunia nzima kwa ujumla, ame-ispire generation kwa generation, ndiye aliyefanya mashabiki wa LFC kuwa na unique passion kuhusiana na Club.

he built a dynasty na Legends waliofatia wakaipokea na kuiendeleza katika misingi ile ile ambayo imeifanya Club iweze kujizatiti katika tamaduni ya kipekee iliyokusanya true and passionate fans.

View attachment 873307
 
hapa kwenye hizi picha klopp na mbappe kuna agenda gani maana sielewi zimekua zikitrend sana online!

naona km kuna kitu mbappe kapewa na klopp!!!View attachment 873274View attachment 873275View attachment 873277

its widely known now, Mbappe alikuwa anakaribia kuja Anfield wakati yupo Monaco.

Klopp himself spoke to him na akafanikiwa kumconvince kuja LFC, but at the end of the day FSG failed to match Monaco asking price (well. its FSG so hakuna suprise).

they maintained a very good relationship mpaka leo.
 
Klopp man, sneaked in Fabinho kwenye game ya PSG dakika za mwisho as if tusinge-notice hahahahahahaha..

THE BEGINNING OF AN ERA..
 
Ukiachana na wenzetu Utd na Arsenal, you cant find Legends kama hawa kwenye Clubs nyingine.

Bill Shankly ametengeneza precedents nyingi sana kwenye soccer la ulaya na dunia nzima kwa ujumla, ame-ispire generation kwa generation, ndiye aliyefanya mashabiki wa LFC kuwa na unique passion kuhusiana na Club.

he built a dynasty na Legends waliofatia wakaipokea na kuiendeleza katika misingi ile ile ambayo imeifanya Club iweze kujizatiti katika tamaduni ya kipekee iliyokusanya true and passionate fans.

View attachment 873307

Baada ya Daglish kuondoka nashindwa kuelewa kulitokea ujinga gani wa kutuletea utitiri wa makocha ovyo up until kiduchu Gerrard Houlier, Benitez and now Klopp
Akina Souness na Roy Evans siwakubali hata kidogo
 
its widely known now, Mbappe alikuwa anakaribia kuja Anfield wakati yupo Monaco.

Klopp himself spoke to him na akafanikiwa kumconvince kuja LFC, but at the end of the day FSG failed to match Monaco asking price (well. its FSG so hakuna suprise).

they maintained a very good relationship mpaka leo.
Well understood mate! but again is there any message in that piece of paper in which KM received from JK? if the answear is YES! what was that message? or it is private issue?
 
Baada ya Daglish kuondoka nashindwa kuelewa kulitokea ujinga gani wa kutuletea utitiri wa makocha ovyo up until kiduchu Gerrard Houlier, Benitez and now Klopp
Akina Souness na Roy Evans siwakubali hata kidogo

Dhana ilikuwa ni ile ile ya kusimamia tamaduni za Clubs.

kama umenotice kitu ni kuwa, LFC imekuwa ikiajiri managers ambao ni supporter au wapo direct connected na Club.

hao kina Sousness na Evans wote ni supporters wa LFC, Roy hodgson ni die hard LFC fan, Rodgers ni boyhood LFC fan, and we have Klopp who is a LFC fan, pamoja na Buvac aliyeondoka nae ni LFC fan. utakumbuka we wanted Don Carlo kabla ya kuanza mazungumzo na Klopp, Don Carlo amekuwa akiisupport LFC tangu 1980's

I still believe Klopp will retire at LFC, and after his retirement nadhani SG or Alonso wanaweza kutake-over.

but nitapenda zaidi kama Alonso akiichukua team over SG, SG ni "Top red" so atatuletea wachezaji aina ya Henderson na Flagan wengi sana LOL.
 
Well understood mate! but again is there any message in that piece of paper in which KM received from JK? if the answear is YES! what was that message? or it is private issue?

I dont know ilikuwa ni msg ya aina gani..

but we cant afford Mbappe now, its so easy kwa Klopp kumshawishi Mbappe aje LFC but we cant compete na Madrid kwenye pesa man, na pia hata kama Madrid hawatomnunua ni wazi kuwa itakuwa ngumu sana kumtoa Mbappe kwa waarabu wa PSG. tuna chance kwa Rabiot kwasababu next year anakuwa ni free agent.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom