Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kwa bahati mbaya sijaweza kuona kipindi cha kwanza kwa sababu ya network ilikuwa inasumbua ila nimebahatika kuangalia kipindi cha pili. Haya ndo ambayo nimeyaona

1. Wijnaldum (Gini) - akicheza kwenye attacking role yupo vizuri saana leo nimeona akifanya mambo makubwa kwenye advanced role kuliko kucheza kama namba sita

2. Milner was the heart of everything, amefanya mambo makubwa saana kwenye midfield na kila sehemu uwanjani tackling za maan. amesaidia saana kwenye defense yetu hasa pale Neymar alikuwa anakuja kwa kasi mabeki wetu walikuwa wanarudi nyuma (inviting attacks) ila Milner alikuwa anafanya tackling hapo hapo.

hata goli la pili la Mbappe move ilianzia kwa Neymar kuattack wa speed na beki zetu zina rudi nyuma na milner alikuwa na Neymar.

3. Sturridge bado anatufaa kama hatapata injury nadhani atatusaidia kwenye baadhi ya mechi ambazo zinahitaji matokeo kwa kutumia centre forward.

4. Salah ni one seaon wonder? performance yake siyo nzuri kama ilikuwa msimu uliyopita alikuwa ana uwezo wa kuhold mpira in opponent’s defense ila kwa sasa inakuwa ngumu kwake ana lose easily mipira hata goli la pili la PSG was his blunder maana alikuwa na option nyingi ila nzuri ilikuwa ya Trent-Alexander ila aka-misplace pass.

5.Gengenpressing, tangu mwanzo wa ligi ni kama klopp ameamua kuachana na hii style we are playing ila we are not pressing much kama msimu uliyopita labda ndo maana hata performance ya Salah haionekani alibenefit sana kwenye huu mfumo maana tulifunga magoli mengi ya counterattack ambapo msimu imekuwa ngumu.

6. Henderson leo amecheza vizuri sana no comment
 
kwa bahati mbaya sijaweza kuona kipindi cha kwanza kwa sababu ya network ilikuwa inasumbua ila nimebahatika kuangalia kipindi cha pili. Haya ndo ambayo nimeyaona

1. Wijnaldum (Gini) - akicheza kwenye attacking role yupo vizuri saana leo nimeona akifanya mambo makubwa kwenye advanced role kuliko kucheza kama namba sita

2. Milner was the heart of everything, amefanya mambo makubwa saana kwenye midfield na kila sehemu uwanjani tackling za maan. amesaidia saana kwenye defense yetu hasa pale Neymar alikuwa anakuja kwa kasi mabeki wetu walikuwa wanarudi nyuma (inviting attacks) ila Milner alikuwa anafanya tackling hapo hapo.

hata goli la pili la Mbappe move ilianzia kwa Neymar kuattack wa speed na beki zetu zina rudi nyuma na milner alikuwa na Neymar.

3. Sturridge bado anatufaa kama hatapata injury nadhani atatusaidia kwenye baadhi ya mechi ambazo zinahitaji matokeo kwa kutumia centre forward.

4. Salah ni one seaon wonder? performance yake siyo nzuri kama ilikuwa msimu uliyopita alikuwa ana uwezo wa kuhold mpira in opponent’s defense ila kwa sasa inakuwa ngumu kwake ana lose easily mipira hata goli la pili la PSG was his blunder maana alikuwa na option nyingi ila nzuri ilikuwa ya Trent-Alexander ila aka-misplace pass.

5.Gengenpressing, tangu mwanzo wa ligi ni kama klopp ameamua kuachana na hii style we are playing ila we are not pressing much kama msimu uliyopita labda ndo maana hata performance ya Salah haionekani alibenefit sana kwenye huu mfumo maana tulifunga magoli mengi ya counterattack ambapo msimu imekuwa ngumu.

6. Henderson leo amecheza vizuri sana no comment
asante mkuu kwa mchango uliotukuka
 
super sub...huyu jamaa namkumbali sana...rarely anapata sifa zinazomstahili but he is the real deal..
haters wamenywea maana vitisho tutafungwo sijui 3, 5 hakuna..
Hii ndio Liverpool bana kupambana mpaka dakika ya mwisho
Wapo wamejifungia vyooni wanakunya tu uko. Huu msimu roho zitawauma sana
 
Bobby the Pirate
IMG_20180919_005028_171.jpg
 
Hajashinda EPL ina maana mengine ameshinda? Au hujaelewa swali mkuu?

Kwanini aliweza kubeba vikombe viwili Bundesliga lakini EPL ameshindwa? Hata Yale mnayoita ya mbuzi.

Mwenzie Conte kaja msim wa kwanza tu kabeba, Gurdiola kaja ndani ya misimu miwili kabeba ...Mou kabeba Europa, Carabao, Community shield ndan ya msim wa kwanza tu Man u ...yeye Klopp ana misimu mingap tang aje England hajabeba kombe lolote lile? Bado anajenga timu?

Ok basi kumbe bado anashindana! Wengine wakindelea kuchukua.

Kachezeni na Mbwana Samata futuhi alhamisi hiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom