Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sturr
1537300453291.gif
 
The better Liverpool back line. Huyu VVD anahitaji watu strong sana. Leo naona mnajitahidi majogoo.

Nilisema Mwanzo iko Siku Mashabiki Wa Chelsea Watakuja Kukiri Kuwa Beck Line Ya Liverpool ndiyo Beki imara Zaidi Kwa Timu Za Kiengereza hatimae unaanza Kukubali.
Kinachomkuta Neymar na Mbappe Leo Kisubiri Kwa Hazard na Goroud Wako.
 
Nilisema Mwanzo iko Siku Mashabiki Wa Chelsea Watakuja Kukiri Kuwa Beck Line Ya Liverpool ndiyo Beki imara Zaidi Kwa Timu Za Kiengereza hatimae unaanza Kukubali.
Kinachomkuta Neymar na Mbappe Leo Kisubiri Kwa Hazard na Goroud Wako.
Mkuu mimi nimesifia back line sijasema ndiyo bora. Hayo mengine unaongeza wewe. Nazisubiri hizo mechi kwa hamu sana
 
Nawapa salamu tu, naona umebanaaa halafu mwisho mnaanza kuachia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom