OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Hahahaha huwa nasema hii timu kuanzia kocha mpka mishabiki huwa haijiamini kabisa. Mfano leo utashuhudia mengi tu
Kila siku nyinyi mnapima uwezo na kujenga timu hatari Sana hii. Inamaana bado hamuamini mabeki wenu.