Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Michezo Yetu 5 ya Mwisho dhidi ya Spurs:

√ 2 Wins

• 2 Draws

× Lose

Kwahiyo Mkuu Spurs Last Season Kutufunga 4 Walituokota tu Kutokana Na Kuwa na Shit Centre Backs ambao Walitaka Kutuaminisha Kuwa Ni Best in the World Kama Walivyojiita Kwenye World Cup.

Lakini Mara Hii Kuna Role Model Wangu Joseph Gomez ambaye Kesho atanifanya Niiangalie Game Nikiwa Nina Stick Mdomoni Baada Ya Kula Wali Kuku Kwenye Restaurant ya Mama Mwajuma.
Mkuu huko umeshampata mama Mwajuma!!!
.....
 
Yani dah! Gomez Ninavyomuona Kama Hatapata injury za Mara Kwa Mara au Za muda Mrefu basi Baada ya 2 seasons hivi akishapata Much experience atakuja Kuwa World Best Centre Back...
Yani Kila tukiendelea Mbele anazidi Kuboreka..

Halafu jinsi alivyofundi Wa Kucheza Tackles yani Si Mara Nyingi Kukutia Zinakuwa Fouls...

Yani bora VVD unaweza Kumpita Kuliko Kukumbana na Gomez.

Bonge la Young Defender.
 
Driving seat
Screenshot_20180915-170539.jpg
 
Yani dah! Gomez Ninavyomuona Kama Hatapata injury za Mara Kwa Mara au Za muda Mrefu basi Baada ya 2 seasons hivi akishapata Much experience atakuja Kuwa World Best Centre Back...
Yani Kila tukiendelea Mbele anazidi Kuboreka..

Halafu jinsi alivyofundi Wa Kucheza Tackles yani Si Mara Nyingi Kukutia Zinakuwa Fouls...

Yani bora VVD unaweza Kumpita Kuliko Kukumbana na Gomez.

Bonge la Young Defender.
ila kuna muda Fulani alitaka kutoa boko LM akaunasa mpira good enough VVD na Allison wakacover vizuri that mistake caused by Gomes otherwise the guy played well!

player ratings today on my opinion

VVD 8.5
Fimihno 8.5
Milner 7
GW 7
AB 6.5
Salah 6.5
Mane 6.5
Robertson 7
Gomes 7
TAA 6.5
Keita 7
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom