Tores
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 551
- 475
We StandRedView attachment VID-20180914-WA0059.mp4
Kama ndoto yangu itakuwa sawa basi ushindi ni 4+
Kutakuwa na goli la mapema ndani ya dk 5 za kwanza
Magnificent goal from firminho litakalo mpa kadi ya njano kwa uvuaji jezi
First goal from keita
Boom Eriksen dead ball
Kuna jamaa alisema hujawahi kuandika comment yenye content,
Mara nyingi ni pumba n provocation.
Ngoja na mm niwe nakuignore tu sasa![]()
Hata son angecheza bado hafiki uwezo wa mane.Tottenham vs Liverpool combined XI ya game ya kesho tu:
Alisson;
Trippier, VVD, Vertonghen, Robertson;
Ericken, Dembele, Keita (hapa nimeshindwa kuchagua kati ya Keita, Wijnaldum, Na Dier);
Mane, Kane, Salah.
NB:
- Nimemweka Mane mbele ya Son kwa kuwa bado Son hajacheza msimu huu.
- Lloris ana maheruhi
Inaweza kua sababu na isiwe sababu pia...Hata son angecheza bado hafiki uwezo wa mane.
Hivi kwa nn watu mnamchukulia mane simple sana? Au kwa vile ni mu africa?
Hahaha..lazima mfungwe aisee..ni lazima yani hata draw hamuambulii.
Ni hivi kama Son atacheza basi ni tatu na kuendelea. Kama Son na Dele Ali hawapo basi mtatoa draw ama watashinda Moja.
dingi amka usingizini kwa beki ya Spurs ukipata goli 2 umefanya kazi ya damu ,goli 4 utafunga Westham aseeKama ndoto yangu itakuwa sawa basi ushindi ni 4+
Kutakuwa na goli la mapema ndani ya dk 5 za kwanza
Magnificent goal from firminho litakalo mpa kadi ya njano kwa uvuaji jezi
First goal from keita
Boom Eriksen dead ball
Niwatakie wakati mgumu Kabisa mbele ya spurs ,ilipotangazwa Ali na Hugo hawatacheza wakaongeza odd za spurs zikawa 3 moyo ulilipuka kwa furaha nikachukua 1x chap ni uhakika, Yule mkorea karejea kundini sioni pengo la Ali, gentlemen and few ladies spurs ni Hatari,goli rahisi unaweza kuifunga spurs ni set pieces,sio kwa counters ,wote tunajua beki ya spurs ilivyo compatible, matundu kama yapo ni kwa ajili ya kupumua tu.
Watford 2 Spurs 1dingi amka usingizini kwa beki ya Spurs ukipata goli 2 umefanya kazi ya damu ,goli 4 utafunga Westham asee

Kyumamae leo spurs hatochomoka niamini mimi maana najiamin kuliko maelezo
Save hii kama huamini
Ni kwel kbs lakin ninaimani na hii Liverpool kuliko timu yeyote ile dunianiTusisahau Kuwa Wembley Ni Sehemu ambayo Ambayo Hatuna Bahati Nayo Kwani Spurs Tokea Wahamie Pale imekuwa Tabu Kuwafunga! Bora Walupokuwa White Hart Lane ilikuwa Ni Rahisi Kujipigia Nyingi na Kuondoka Zetu.
Leo Mimi Naiona Game Kuwa Ni Ngumu.
Nadhani Hata Draw Kwangu Mimi (Mawazo Yangu) itakuwa Powa Kwa Away Game na Top 6.