zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,322
- 9,771
Viwanja ni vile vile, nyasi ni zile zile, washabiki wale wale na wachezaji wale wale, kuwafunga sio muujiza wala wakitufunga sio ajabu, leo wanafungiwa chumbani kwao, shaka ondoaTusisahau Kuwa Wembley Ni Sehemu ambayo Ambayo Hatuna Bahati Nayo Kwani Spurs Tokea Wahamie Pale imekuwa Tabu Kuwafunga! Bora Walupokuwa White Hart Lane ilikuwa Ni Rahisi Kujipigia Nyingi na Kuondoka Zetu.
Leo Mimi Naiona Game Kuwa Ni Ngumu.
Nadhani Hata Draw Kwangu Mimi (Mawazo Yangu) itakuwa Powa Kwa Away Game na Top 6.

huamini sio