Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Wamepevuka hivi sasa tofauti na huko nyuma
Wamepevuka Kweli Mibeki Yao Manake Yanatupa Mipira Ovyo Kabisa Yakufunga tu Kwa Mtu aliyemakini.
Wamepevuka hivi sasa tofauti na huko nyuma
Hayapo uwanjani ila control room zimo na computerized na smart watch ya refaMkuu EPL hakuna VAR
Klopp anataka makombe tu hataki utoto msimu huu.Game ni ngumu, ukuta ni mzuri sana, ila mbele Mane, Firmino na Salah Chemistry inazingua.
Keita ni kisiki kama kawaida, Gini naona anaendelea kukaza.
We are Liverpool.
YWNA.
Hayapo uwanjani ila control room zimo na computerized na smart watch ya refa
"..kwa mtu aliye makini."Wamepevuka Kweli Mibeki Yao Manake Yanatupa Mipira Ovyo Kabisa Yakufunga tu Kwa Mtu aliyemakini.
Yap ni kweli kabisa!Ni Goal Line Technology.
Ni kwa ajili ya kudetect kama mpira umevuka mstari wa goli.
Game ni ngumu, ukuta ni mzuri sana, ila mbele Mane, Firmino na Salah Chemistry inazingua.
Keita ni kisiki kama kawaida, Gini naona anaendelea kukaza.
We are Liverpool.
YWNA.
Klopp anataka makombe tu hataki utoto msimu huu.
that first half was maturity performance from us.
Goli la kubahatishaView attachment 867069
King ngwaba ulisema team yako inapiga sana pass
View attachment 867070
Haha usio tupenda ndo tunazid kuipunguza ugumu september mliokua mnatutixha nayoHongereni wana Liverpool