Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tottenham vs Liverpool combined XI ya game ya kesho tu:

Alisson;

Trippier, VVD, Vertonghen, Robertson;

Ericken, Dembele, Keita (hapa nimeshindwa kuchagua kati ya Keita, Wijnaldum, Na Dier);

Mane, Kane, Salah.

NB:
- Nimemweka Mane mbele ya Son kwa kuwa bado Son hajacheza msimu huu.

- Lloris ana maheruhi

Hicho Kikosi Upo Sawa Kabisa Kwani Hata Mimi Ningekipanga Hivyo.

Lakini Kusema Son angelikuwa ahead of Mane hapo Sikubaliani na Wewe.

Kuanzia Stats na Mambo anayoOffer Sadio Mane basi Yupo Juu Kuliko Son.

Hapo umetumia Ushabiki tu na Si Uanamichezo.
 
Kila tukienda Wembley tunaumia tu,huu ndio muda Klopp kumaanisha kile kinachoaminika kwa kuvunja huu uteja wa muda kuhusu ule uwanja.
 
"LFC is the worst team in EPL" Jammie Carraga

Kwa tafasiri zaidi ya Swahili, aliendelea kusema "LFC ina cheza vizuri lakini haina malengo, haitakuwa tofauti na Tottenham maika michache baadae" ...mwisho wa kunukuu.

Asanteni.
 
"LFC is the worst team in EPL" Jammie Carraga

Kwa tafasiri zaidi ya Swahili, aliendelea kusema "LFC ina cheza vizuri lakini haina malengo, haitakuwa tofauti na Tottenham maika michache baadae" ...mwisho wa kunukuu.

Asanteni.
Tupe source
 
"LFC is the worst team in EPL" Jammie Carraga

Kwa tafasiri zaidi ya Swahili, aliendelea kusema "LFC ina cheza vizuri lakini haina malengo, haitakuwa tofauti na Tottenham maika michache baadae" ...mwisho wa kunukuu.

Asanteni.
nahisi wewe sio mzima ata all
 
"LFC is the worst team in EPL" Jammie Carraga

Kwa tafasiri zaidi ya Swahili, aliendelea kusema "LFC ina cheza vizuri lakini haina malengo, haitakuwa tofauti na Tottenham maika michache baadae" ...mwisho wa kunukuu.

Asanteni.
Spurs ni sawa na Burnley. Hata Leeds ni mkubwa kwa Tottenham. Liverpool fc ni calibre ya Los blancos e.t.c
 
Djibril Cissé details Steven Gerrard’s 2005 UCL final half-time speech

Speaking to RMC Sport, Djibril Cissé talks about one of the most momentous moments of his career: Steven Gerrard’s speech at half-time in the Champions’ League final.

“I will never forget Steven Gerrard’s team-talk at half-time during the 2005 Champions’ League final. Benitez comes into the dressing room, he does his coach speech, that we must not give up and that we need to score quickly. Steven gets up and asks all the coaching staff to leave the dressing room, because he wanted to be alone with just the players. All the staff left, even the physios who were giving treatment to the players.”

“Stevie gets up and says that Liverpool is all he has, it is his club, all he has ever known and he does not want to be the laughing stock of the history of the Champions’ League. He says that if we respect him and love him as a captain, then we need to dust ourselves off and get back in the match. He scores the first goal, he gets the penalty. He has an extraordinary second half, finishing the game as a right-back. He has a crazy match – but that half-time speech will remain imprinted in my mind forever.”
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom