Mzeebaba
Mwenzio ndo kwanza leo wamempa mkataba mpya with a huge pay-rise!
Personally sijamuelewa Klopp,sema ni vile tu huwa sipendi kujishughulisha na issues ambazo zipo out of my control!
🤣🤣🤣
LOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOL!!!!!!!!!
Mzee baba huwezi amini bado sijarecover kabisa, was a huge L fgs hahahahaha
but, at least he will be a full squad player now, me niikuwa nataka aondoke kabisa LFC man.
he will start some games, but wont be a regular starter.
man, received a lot of bantz and msgs siku ambayo jamaa alisign extension, football can be so painful at times bro.
but, always naamini kuwa if Klopp really rates Henderson asingespend more than 110m on two MFs ambao wanacheza the same spots alizokuwa anacheza Hendo kwa kipindi cha miaka 8 at LFC, B2B (KEITA) AND DM (FABY).
Ile interview ya juzi ya Klopp kuhusu hendo contract inaonesha kuwa, he likes Hendos presence kwenye dressing room, he likes Hendo's personalities. maybe Hendo is Klopp's very own Kehl.
but the issue of Klopp rating Hendo's football abilities is nonsense.
you can ask more than 20 hendo fans, kuhusu exactly uwezo wa henderson kimpira and what he really offers as a midfielder, wataishia kukwambia he led us to the final and we dont know better than Klopp, but you can ask shabiki mmoja tu wa Busquet, Casemiro, Kante, Fernandinho, Wanyama, Matic etc na watakupa majibu mengi sana kuhusu uwezo wao uwanjani as midfielders, bila kukugusia how they led them to the finals or pep/enrique/Valverde/zidane/Sarri/conte/Mou/poch etc wanajua zaidi yetu.
Klopp is a human, and kama any other human, ana weaknesses, Klopp main weakness kwenye kazi yake ya mpira ni suala la Substitutions, he knows this na ndiyo maana huwa mgumu sana kufanya sub (every football fan can back me up on this one), hii weakness ya klopp ni widely known, ishaongelewa na pundits, retired coaches na good football fans. but i dare you to criticize Klopp kwenye hilo suala on this platform. lol
we good on Rabiot bro? still not so solid on him man