Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

The highlight of the match on saturday was that Allison school-boy mistake, but mzizi wa ile mistake ulianzia kwenye midfield.

angalia hii picha vizuri...(couldnt get a good clip), but nilizipata hizi diagrams sehemu zikiwa zimeshawekwa good marks, so it should be very easy to explain.

The problem starts here..
henderson 1.png

Henderson receives a short pass from Milner who was man marked by Maddison, picha inaonyesha wazi kuwa henderson was not under pressure kabisa wakati anapokea mpira, na pia picha inaonesha kuwa upande wake wa kushoto Mane was free and open, lakini pia angeweza kurelease mpira upande wake wa kulia (a foward line pass) ili Trent aliyekuwa open aufukuzie because Maguire asingeufikia, so he had really good 2 options (Mane kushoto and Trent kulia), but pia he could have forced an offside kwa kucheza a long ball to Salah ambaye alikuwa alone, na ukimuangalia Salah utagundua kuwa he was reading the move.

Now, Henderson decided to pass the ball kwa Gomez ambaye alikuwa nusu hatua tu kutoka kwake, and hiyo picha hapo juu, kwa wataalamu wa mpira wataelewa kuwa Gomez tayari alikuwa anakaribia kuwa closed down na two leicester players,

angalia hii second picha vizuri..
henderson 2.png

here henderson tried to opt for option rahisi, pass the ball to Gomez ambaye tayari alishakuwa closed down, now you can see, there are 3 LC players chasing the ball, mwangalie vizuri Maddison kishamuacha kabisa Milner na anafukuzia mpira, so Gomez tayari alikuwa kishakuwa pinned down and he had no option at all...

Angalia hii picha ya tatu vizuri...
henderson 3.png

in a matter of seconds Iheanacho alikuwa kishamfikia Gomez, Gomez akafanikiwa kumkwepa, but again Maddison alikuwa kishafika, and the Leiceister number 8 alikuwa kishacover angle ya Trent na Milner (alikuwa ametegea kuangalia gomez atapiga wapi mpira), na kama Gomez angethubutu kuturn again, kuna mawili, iheanacho au Maddison wangechukua mpira, na kama angerturn kutoa pass kwa trent, LC number 8 angeupata alikuwa yuko free because Trent was not marking him, so here angetoa a foward line pass ambayo Maddison angefungua juupale. you can see henderson crying for a ball, and its very clear kuwa he was not under any pressure, Gomez managed to pass the ball to henderson, here, any MIDFIELDER in the world, and thats includes our very own Jonas Mkude angekuwa na uwezo wa kuturn na kumake a very good progressive pass, but here the Captain wa one of the 8 biggest clubs in the world alishindwa kuturn, akiwa katika no pressure at all.

Angalia picha ya 4 vizuri...
henderson 4.png

this diagram inaonesha kuwa. baada ya Gomez kutoa pass kwa henderson, he failed to turn na kutoa pass yenye nguvu kwa VVD ambaye you can see cleary he was chased down by that LC fullback, wakati henderson alikuwa na uwezo wa kuturn na kutoa pass nzuri kwa Trent, amd before that, wakati Gomez anampa pass, Ndidi alikuwa mbali kidogo na Henderson, and hata ndidi alivyomfikia hemderson, alikuwa hategemei kuwa atapata mpira, na alikuwa amecover kidogo upande wa kushoto wa henderson ambayo ungemruhusu henderson kuturn kulia na kuachia mpira kwa Mane ambaye hakuwa marked at all. (Gini who is not a number six huwa anamake a lot of turn kwenye angle kama hizi but Hendo ambaye amecheza kwenye hiyo role kwa miaka 8 at LFC na one of the highest paid Mids in europe anashindwa kumake a simple turn there), kwenye game ya Crystal palace, tuliona jinsi Keita alivyomake a simple turn wakati akiwa man marked na a pacey winger kama Townsend, na hata baada ya kumake ile turn alitoa a very long ball pass to Salah, and thats a sign of a top midfielder ambaye anaweza kukupa makombe.

Pass ya henderson kwa VVD, ilikuwa mbovu na any midfielder mwenye awareness asingetoa pass ya namna ile na especially kwa the last CB ambaye alikuwa tayari closed down, VVD was forced to pass to Allison ambapo at this time iheanacho alikuwa kishasoma moves nzima, and tunatakiwa tukumbuke kuwa iheanacho alikuwepo wakati build up yote inafanyika, so when hendo alivyompasia mpira henderson, na kuona kabisa kuwa VVD was totally closed down, alijua ni lazima VVD angetoa pass ya nyuma kwa Allison ili kupunguza presha, so he was reading Allison moves na as soon as Allison alivyopokea mpira tayari alikuwa yupo mbele ya Allison.

i mean hakuna excuses kwa Allison blunder, because naye pia alikuwa na option ya kuclear the ball na kutojaribu kuact so clever, but angekuwa Keita au Gini kwenye eneo alilokuwepo henderson, tungetoka na clean sheet na Allison asingepokea ule mpira in the first place. huwa nasema kila siku kuwa Henderson inability to turn when needed na kupiga progressive pass huwa zinaleta presha kubwa sana kwenye team hasa katika upande wa Midfield na kwenye back-4, been saying here kuwa i dont hate Henderson as a person, but he's not a LFC standard player. role ya number 6 aliyocheza jmosi, ndiyo aliyokuwa anacheza Gini tangu mwanzo wa msimu, na game zote tatu tumetoka na Clean sheet, but baada ya Henderson kuwa introduced kwenye hiyo role everything changed kabisa, the entire midfield was sloppy and his lack of awareness caused huge tension at the back ambayo ilipelekea goal la LC, na kama Klopp asingemuingiza Keita (ambaye alibadilisha kabisa presha ya game) tungetoa draw, na tayari ilikuwa dhahiri kabisa.
 
Man, hivi kila mtu aliona alichokifanya Allison few minutes baada ya kutoa ile blunder?

he received a back pass, na tayari alikuwa marked na two LC players, but turned veeeeeeery slowly na kupiga pass bila pressure yoyote.

imagine, umefanya blunder ilyosababisha goal lakini few mins later ambapo bado watu wana presha unarudia the same thing with Calmness as if hakuna kilichotokea, hahahahaha the FAVELA BASTARD, anaweza akaja kuniua siku moja hahahaha.

but what can we do? we have got a TOP 5 keeper in the World, and we cant do nothing about it. hahahaha.
 
The highlight of the match on saturday was that Allison school-boy mistake, but mzizi wa ile mistake ulianzia kwenye midfield.

angalia hii picha vizuri...(couldnt get a good clip), but nilizipata hizi diagrams sehemu zikiwa zimeshawekwa good marks, so it should be very easy to explain.

The problem starts here..
View attachment 855430
Henderson receives a short pass from Milner who was man marked by Maddison, picha inaonyesha wazi kuwa henderson was not under pressure kabisa wakati anapokea mpira, na pia picha inaonesha kuwa upande wake wa kushoto Mane was free and open, lakini pia angeweza kurelease mpira upande wake wa kulia (a foward line pass) ili Trent aliyekuwa open aufukuzie because Maguire asingeufikia, so he had really good 2 options (Mane kushoto and Trent kulia), but pia he could have forced an offside kwa kucheza a long ball to Salah ambaye alikuwa alone, na ukimuangalia Salah utagundua kuwa he was reading the move.

Now, Henderson decided to pass the ball kwa Gomez ambaye alikuwa nusu hatua tu kutoka kwake, and hiyo picha hapo juu, kwa wataalamu wa mpira wataelewa kuwa Gomez tayari alikuwa anakaribia kuwa closed down na two leicester players,

angalia hii second picha vizuri..
View attachment 855433
here henderson tried to opt for option rahisi, pass the ball to Gomez ambaye tayari alishakuwa closed down, now you can see, there are 3 LC players chasing the ball, mwangalie vizuri Maddison kishamuacha kabisa Milner na anafukuzia mpira, so Gomez tayari alikuwa kishakuwa pinned down and he had no option at all...

Angalia hii picha ya tatu vizuri...
View attachment 855435
in a matter of seconds Iheanacho alikuwa kishamfikia Gomez, Gomez akafanikiwa kumkwepa, but again Maddison alikuwa kishafika, and the Leiceister number 8 alikuwa kishacover angle ya Trent na Milner (alikuwa ametegea kuangalia gomez atapiga wapi mpira), na kama Gomez angethubutu kuturn again, kuna mawili, iheanacho au Maddison wangechukua mpira, na kama angerturn kutoa pass kwa trent, LC number 8 angeupata alikuwa yuko free because Trent was not marking him, so here angetoa a foward line pass ambayo Maddison angefungua juupale. you can see henderson crying for a ball, and its very clear kuwa he was not under any pressure, Gomez managed to pass the ball to henderson, here, any MIDFIELDER in the world, and thats includes our very own Jonas Mkude angekuwa na uwezo wa kuturn na kumake a very good progressive pass, but here the Captain wa one of the 8 biggest clubs in the world alishindwa kuturn, akiwa katika no pressure at all.

Angalia picha ya 4 vizuri...
View attachment 855444
this diagram inaonesha kuwa. baada ya Gomez kutoa pass kwa henderson, he failed to turn na kutoa pass yenye nguvu kwa VVD ambaye you can see cleary he was chased down by that LC fullback, wakati henderson alikuwa na uwezo wa kuturn na kutoa pass nzuri kwa Trent, amd before that, wakati Gomez anampa pass, Ndidi alikuwa mbali kidogo na Henderson, and hata ndidi alivyomfikia hemderson, alikuwa hategemei kuwa atapata mpira, na alikuwa amecover kidogo upande wa kushoto wa henderson ambayo ungemruhusu henderson kuturn kulia na kuachia mpira kwa Mane ambaye hakuwa marked at all. (Gini who is not a number six huwa anamake a lot of turn kwenye angle kama hizi but Hendo ambaye amecheza kwenye hiyo role kwa miaka 8 at LFC na one of the highest paid Mids in europe anashindwa kumake a simple turn there), kwenye game ya Crystal palace, tuliona jinsi Keita alivyomake a simple turn wakati akiwa man marked na a pacey winger kama Townsend, na hata baada ya kumake ile turn alitoa a very long ball pass to Salah, and thats a sign of a top midfielder ambaye anaweza kukupa makombe.

Pass ya henderson kwa VVD, ilikuwa mbovu na any midfielder mwenye awareness asingetoa pass ya namna ile na especially kwa the last CB ambaye alikuwa tayari closed down, VVD was forced to pass to Allison ambapo at this time iheanacho alikuwa kishasoma moves nzima, and tunatakiwa tukumbuke kuwa iheanacho alikuwepo wakati build up yote inafanyika, so when hendo alivyompasia mpira henderson, na kuona kabisa kuwa VVD was totally closed down, alijua ni lazima VVD angetoa pass ya nyuma kwa Allison ili kupunguza presha, so he was reading Allison moves na as soon as Allison alivyopokea mpira tayari alikuwa yupo mbele ya Allison.

i mean hakuna excuses kwa Allison blunder, because naye pia alikuwa na option ya kuclear the ball na kutojaribu kuact so clever, but angekuwa Keita au Gini kwenye eneo alilokuwepo henderson, tungetoka na clean sheet na Allison asingepokea ule mpira in the first place. huwa nasema kila siku kuwa Henderson inability to turn when needed na kupiga progressive pass huwa zinaleta presha kubwa sana kwenye team hasa katika upande wa Midfield na kwenye back-4, been saying here kuwa i dont hate Henderson as a person, but he's not a LFC standard player. role ya number 6 aliyocheza jmosi, ndiyo aliyokuwa anacheza Gini tangu mwanzo wa msimu, na game zote tatu tumetoka na Clean sheet, but baada ya Henderson kuwa introduced kwenye hiyo role everything changed kabisa, the entire midfield was sloppy and his lack of awareness caused huge tension at the back ambayo ilipelekea goal la LC, na kama Klopp asingemuingiza Keita (ambaye alibadilisha kabisa presha ya game) tungetoa draw, na tayari ilikuwa dhahiri kabisa.
Uchambuzi mwanana kabisa huu
 
it was a right call from Klopp to rest Keita, he's still new kwenye League and we have got tough fixtures this september, but its quite evident kuwa we got away with murder at LC,

we cant afford to repeat the same mistakes. tukiwa bado tunajaribu kumu-ease Faby kwenye team, ni bora Gini aendelee kucheza as a 6, i mean we should stick na the same Mid, (Gini/Keita/Milner).

mathematically, our next four league fixtures, ni very decisive for our title charge, we need to have maximum points mpaka kufikia December, so we need to beat Spurs/chelsea/Man city ili kujirahisishia kazi kwenye 2nd round ya msimu, kama mpaka december tutakuwa firm kwenye title chase, then tunaweza kufanya chochote MAY, we just need to handle these next four fixtures with care and ikiwezekana ku-collect maximum points ili kutenengeza a slight gape na hao wenzetu ambayo inaweza kutusaidia league ikiwa imeshachanganya huko mbeleni.

Spurs will be tough na ukichukulia wamefungwa jana, but kama tukishinda against them, tuta-send a huge message kwenye league.
 
Nakumbuka nilishawahi kudiscuss possibility ya sisi kumsign Maddison kwenye hii TW iliyopita ili kumreplace Lallana, alikuwa Norwich wakati huo (championship league).

This kid is a gem man, kwa wale ambao hawajabahatika kumuona Fekir akicheza mpira, wajaribu kumfuatilia huyu kijana, his style of play ni kama ya Fekir, though Fekir yuko matured tayari. but wanafanana sana kiuchezaji. kama ushawahi kumuona a peak Kagawa at Dortmund enzi zile za Klopp, yaani ni the same style of play. their main attributes ni kutengeneza chances kwenye tight spaces and pressing from the back of the midfield.

Man, these are Klopps number 10s na huwa inachukua muda sana kutokea kwenye hii modern football.
 
The highlight of the match on saturday was that Allison school-boy mistake, but mzizi wa ile mistake ulianzia kwenye midfield.

angalia hii picha vizuri...(couldnt get a good clip), but nilizipata hizi diagrams sehemu zikiwa zimeshawekwa good marks, so it should be very easy to explain.

The problem starts here..
View attachment 855430
Henderson receives a short pass from Milner who was man marked by Maddison, picha inaonyesha wazi kuwa henderson was not under pressure kabisa wakati anapokea mpira, na pia picha inaonesha kuwa upande wake wa kushoto Mane was free and open, lakini pia angeweza kurelease mpira upande wake wa kulia (a foward line pass) ili Trent aliyekuwa open aufukuzie because Maguire asingeufikia, so he had really good 2 options (Mane kushoto and Trent kulia), but pia he could have forced an offside kwa kucheza a long ball to Salah ambaye alikuwa alone, na ukimuangalia Salah utagundua kuwa he was reading the move.

Now, Henderson decided to pass the ball kwa Gomez ambaye alikuwa nusu hatua tu kutoka kwake, and hiyo picha hapo juu, kwa wataalamu wa mpira wataelewa kuwa Gomez tayari alikuwa anakaribia kuwa closed down na two leicester players,

angalia hii second picha vizuri..
View attachment 855433
here henderson tried to opt for option rahisi, pass the ball to Gomez ambaye tayari alishakuwa closed down, now you can see, there are 3 LC players chasing the ball, mwangalie vizuri Maddison kishamuacha kabisa Milner na anafukuzia mpira, so Gomez tayari alikuwa kishakuwa pinned down and he had no option at all...

Angalia hii picha ya tatu vizuri...
View attachment 855435
in a matter of seconds Iheanacho alikuwa kishamfikia Gomez, Gomez akafanikiwa kumkwepa, but again Maddison alikuwa kishafika, and the Leiceister number 8 alikuwa kishacover angle ya Trent na Milner (alikuwa ametegea kuangalia gomez atapiga wapi mpira), na kama Gomez angethubutu kuturn again, kuna mawili, iheanacho au Maddison wangechukua mpira, na kama angerturn kutoa pass kwa trent, LC number 8 angeupata alikuwa yuko free because Trent was not marking him, so here angetoa a foward line pass ambayo Maddison angefungua juupale. you can see henderson crying for a ball, and its very clear kuwa he was not under any pressure, Gomez managed to pass the ball to henderson, here, any MIDFIELDER in the world, and thats includes our very own Jonas Mkude angekuwa na uwezo wa kuturn na kumake a very good progressive pass, but here the Captain wa one of the 8 biggest clubs in the world alishindwa kuturn, akiwa katika no pressure at all.

Angalia picha ya 4 vizuri...
View attachment 855444
this diagram inaonesha kuwa. baada ya Gomez kutoa pass kwa henderson, he failed to turn na kutoa pass yenye nguvu kwa VVD ambaye you can see cleary he was chased down by that LC fullback, wakati henderson alikuwa na uwezo wa kuturn na kutoa pass nzuri kwa Trent, amd before that, wakati Gomez anampa pass, Ndidi alikuwa mbali kidogo na Henderson, and hata ndidi alivyomfikia hemderson, alikuwa hategemei kuwa atapata mpira, na alikuwa amecover kidogo upande wa kushoto wa henderson ambayo ungemruhusu henderson kuturn kulia na kuachia mpira kwa Mane ambaye hakuwa marked at all. (Gini who is not a number six huwa anamake a lot of turn kwenye angle kama hizi but Hendo ambaye amecheza kwenye hiyo role kwa miaka 8 at LFC na one of the highest paid Mids in europe anashindwa kumake a simple turn there), kwenye game ya Crystal palace, tuliona jinsi Keita alivyomake a simple turn wakati akiwa man marked na a pacey winger kama Townsend, na hata baada ya kumake ile turn alitoa a very long ball pass to Salah, and thats a sign of a top midfielder ambaye anaweza kukupa makombe.

Pass ya henderson kwa VVD, ilikuwa mbovu na any midfielder mwenye awareness asingetoa pass ya namna ile na especially kwa the last CB ambaye alikuwa tayari closed down, VVD was forced to pass to Allison ambapo at this time iheanacho alikuwa kishasoma moves nzima, and tunatakiwa tukumbuke kuwa iheanacho alikuwepo wakati build up yote inafanyika, so when hendo alivyompasia mpira henderson, na kuona kabisa kuwa VVD was totally closed down, alijua ni lazima VVD angetoa pass ya nyuma kwa Allison ili kupunguza presha, so he was reading Allison moves na as soon as Allison alivyopokea mpira tayari alikuwa yupo mbele ya Allison.

i mean hakuna excuses kwa Allison blunder, because naye pia alikuwa na option ya kuclear the ball na kutojaribu kuact so clever, but angekuwa Keita au Gini kwenye eneo alilokuwepo henderson, tungetoka na clean sheet na Allison asingepokea ule mpira in the first place. huwa nasema kila siku kuwa Henderson inability to turn when needed na kupiga progressive pass huwa zinaleta presha kubwa sana kwenye team hasa katika upande wa Midfield na kwenye back-4, been saying here kuwa i dont hate Henderson as a person, but he's not a LFC standard player. role ya number 6 aliyocheza jmosi, ndiyo aliyokuwa anacheza Gini tangu mwanzo wa msimu, na game zote tatu tumetoka na Clean sheet, but baada ya Henderson kuwa introduced kwenye hiyo role everything changed kabisa, the entire midfield was sloppy and his lack of awareness caused huge tension at the back ambayo ilipelekea goal la LC, na kama Klopp asingemuingiza Keita (ambaye alibadilisha kabisa presha ya game) tungetoa draw, na tayari ilikuwa dhahiri kabisa.
fine, but Alisson needed to do the basics first and foremost.
he's supposed to prevent the balls past the people in front of him going into the net, that's what he gets paid for.
he's paid to stop the shots and make clearance from the box when in danger, not those ridiculous Johan Cruffy's turns.
in this case he should just have hoofed the f...g ball out of play, basi!

anyways, the lad has learnt his lesson, albeit the hard way and nearly causing us some heart damage!
 
fine, but Alisson needed to do the basics first and foremost.
he's supposed to prevent the balls past the people in front of him going into the net, that's what he gets paid for.
he's paid to stop the shots and make clearance from the box when in danger, not those ridiculous Johan Cruffy's turns.
in this case he should just have hoofed the f...g ball out of play, basi!

anyways, the lad has learnt his lesson, albeit the hard way and nearly causing us some heart damage!

its very clear kuwa Allison made a huge mistake and should be accountable.

was just discussing root ya mistake yenyewe and how a top midfielder ange-act kwenye situation kama hiyo.
 
it was a right call from Klopp to rest Keita, he's still new kwenye League and we have got tough fixtures this september, but its quite evident kuwa we got away with murder at LC,

we cant afford to repeat the same mistakes. tukiwa bado tunajaribu kumu-ease Faby kwenye team, ni bora Gini aendelee kucheza as a 6, i mean we should stick na the same Mid, (Gini/Keita/Milner).

mathematically, our next four league fixtures, ni very decisive for our title charge, we need to have maximum points mpaka kufikia December, so we need to beat Spurs/chelsea/Man city ili kujirahisishia kazi kwenye 2nd round ya msimu, kama mpaka december tutakuwa firm kwenye title chase, then tunaweza kufanya chochote MAY, we just need to handle these next four fixtures with care and ikiwezekana ku-collect maximum points ili kutenengeza a slight gape na hao wenzetu ambayo inaweza kutusaidia league ikiwa imeshachanganya huko mbeleni.

Spurs will be tough na ukichukulia wamefungwa jana, but kama tukishinda against them, tuta-send a huge message kwenye league.
i still think that we were very solid vs Leicester and i would like us to continue playing more like that across the entire season than our traditional gung ho.

i just love the way this team organises itself off the ball. did you notice that after Alisson's howler Leicester had only 1 shot? people would tend to think Leicester were dominant while in fact they weren't.... this is because our defensive outfit gave them no space to exploit with any meaningful danger.

if we can "Leicester" our way 25 out of 38 in the course of the season, happy days!!
 
Jurgen Klopp has
Liverpool dreaming of
Premier League title but
are they the real deal?
It will be 29 years next May since Liverpool were
last crowned champions of England. A title party
is long overdue at Anfield.
There have been plenty of near misses and false
dawns since captain Alan Hansen lifted the old
Football League Championship trophy aloft at
the end of the 1989-90 season and the
emergence of Chelsea and Manchester City as
financial powerhouses during the intervening
years has only made it more difficult for
Liverpool to turn the clock back to their glory
days, when league titles were almost taken for
granted.
But four games into the 2018-19 season, Jurgen
Klopp's team sit on the top of the Premier
League having claimed a maximum 12 points so
far. Nobody at Liverpool is foolish enough to get
carried away by their impressive start, but
equally, there can be no hiding the desperation
of the club's supporters to finally see the club
back on top of the English game.
But what does the start mean? Can it be a
signpost to a title charge or is it too early to
look for pointers towards the destination of this
season's title race?
Manchester United sat on top of the Premier
League four games into last season. A year
earlier, Manchester City led the way after
claiming four wins from their first four outings
under Pep Guardiola. It was the same story 12
months prior to that for City, who held a three
point lead after just four games.
By the end of those respective campaigns, early
leaders United finished second, 19 points adrift
of champions City, while City also failed to last
the pace in 2015-16 and 2016-17, with Leicester
finishing top, 15 points clear of Manuel
Pellegrini's team in 2017 and Guardiola's first
season ending with his side also 15 points
behind eventual champions, Chelsea.
A good start, it seems, can ultimately be nothing
more than that.
But momentum can be crucial and Liverpool's
run to the Champions League final last season
was a case in point, with the confidence and
belief generated by the quarterfinal victory over
Manchester City propelling them beyond Roma in
the semifinals and into the final in Kiev, where
they were beaten by Real Madrid.
After scoring nine and conceding just one in
their winning start to the campaign, Liverpool
certainly have momentum. But they also have to
accept the spotlight and scrutiny that will come
with being the early pacesetters.
Chelsea and Watford may have matched them
step for step so far, with both clubs also winning
four out of four, but there is an expectancy
surrounding Liverpool this season that is not
shared by their rivals.
Chelsea's start under Maurizio Sarri has caught
many by surprise because nobody was tipping
the club for the title this season, while Watford's
run is an even bigger shock.
Liverpool, having spent £240.8 million in 2018 on
the signings of Virgil van Dijk, Naby Keita,
Fabinho and goalkeeper Alisson Becker, are
regarded as the only credible challengers to City
as potential champions, but with that comes
added pressure.
They have handled it well to date, but if
Liverpool are to prove themselves as the real
deal this season, their month of the fixtures after
the international break will be decisive.
Klopp's men visit Tottenham at Wembley -- the
scene of last season's 4-1 hammering against
Spurs -- on Sept. 15, before facing Paris Saint-
Germain at Anfield in the Champions League
three days later.
Southampton visit Anfield on Sept. 22 before
Liverpool face Chelsea twice in four days, in the
Carabao Cup and Premier League, ahead of a
difficult Champions League trip to Napoli.
And then comes the home clash with City on
Oct. 7 -- a game that will see Liverpool chasing a
fourth successive win against Guardiola's team.
So the league leaders will face a stern test of
their credentials as we head into autumn, but
Klopp has the squad and individuals to keep the
team on course for success, at home and in
Europe.
Handling the challenges on the pitch is one
thing. Harnessing the desire to win the title is
something else.
The passion of the Liverpool supporters and the
atmosphere inside Anfield is often a huge
advantage to the players on the pitch, but there
will be a time for cool heads this season and we
have still to see whether Klopp's Liverpool can
display that while their fans whip themselves
into a frenzy.
But if Liverpool come through their next month
with their momentum unchecked, managing off
field expectations will become as important as
keeping everything moving on the pitch.
It is a dual challenge that is unique to Liverpool
in this title race and we are yet to see whether it
will be a help or a hindrance.
 
Henderson got a new contract!! Waingereza kwa kumbeba huyu jamaa😂!!

I think anaipenda sana liverpool lakini.. Am still not his fan though
 
Baadhi ya reactions za mashabiki wa Liverpool baada ya kupata habari za Hendo kuongezewa mkataba. Nini maoni yenu wadau?

Binafsi nadhani ni muda muafaka sasa wa Klopp kumkabidhi VVD kile kitambaa maana Hendo ni good squad player na atatusaidia akiwa anatokea bench baada ya blending ya Fabinho katika first team. Sioni maana ya captain kuwa anaanzia bench. Ni maoni yangu jamani
IMG-20180903-WA0018.jpg
IMG-20180903-WA0019.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom