Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu nimefanya kazi ambayo nazunguka mavijijini huko, EPL na DSTV iko sana, ukikosa kijiji kimoja kuna cha jirani ambacho wanaonesha game.

Unakuta watu wanaenda na pikipiki au mnakodi gari.

Mkuu Nimetoka Dar Jana tu Nimehamia Leo Singida Jirani na Shinyanga Bado Simjui Yoyote Na Wala Sijawa Mwenyeji Wa Kuweza Kuiangalia Game Ya Leo.
Yani Hii Government Bhana! Kuna Wasukuma Huku Wanalia na Ajira then Wananitoa Dar Wananileta huku!! 😡😡
 
Uzuri ni kwamba siku hizi mashabiki wa timu
pinzani wanaumia Liverpool ikishinda kwa
kupata clean sheet lakini wanafurahia ikishinda
kwa kuruhusu goli..Washajua kufungwa ni
ngumu😀😀
 
Mkuu Nimetoka Dar Jana tu Nimehamia Leo Singida Jirani na Shinyanga Bado Simjui Yoyote Na Wala Sijawa Mwenyeji Wa Kuweza Kuiangalia Game Ya Leo.
Yani Hii Government Bhana! Kuna Wasukuma Huku Wanalia na Ajira then Wananitoa Dar Wananileta huku!! 😡😡

Mkuu maisha ni popote, tumia hiyo chansi kama opportunity ya biashara. Nunua DSTV, tengeneza ukumbi wa kishkaji, weka kiingilio.

Game zikiisha unafungua unaweka ndani, nina uhakika utarudisha hela ya kiingilio na wakati huo huo unapata burdani.

Fikiria hiyo kitu.
 
Kama Kuna Supporter Yeyote Wa Liverpool Ambaye Anadhani Kuwa Liverpool Haitofanya Kosa lolote Msimu Huu Basi Ajitafakari Upya!
Kwahiyo Alisson Alichofanya tukione Kuwa Ni Sehemu Ya Makosa Ya Mchezo! Na Mengi tu Tutakuja Kufanya, Na Pia timu Nyengine Nazo Zitafanya Makosa.
Nampongeza Alisson ametusaidia Sana Msimu huu.
 
Uzuri ni kwamba siku hizi mashabiki wa timu
pinzani wanaumia Liverpool ikishinda kwa
kupata clean sheet lakini wanafurahia ikishinda
kwa kuruhusu goli..Washajua kufungwa ni
ngumu😀😀

Ni Kweli! Sasahivi Jamaa Wanafurahia Liverpool isipate Cleansheet tu.
 
Mkuu Nimetoka Dar Jana tu Nimehamia Leo Singida Jirani na Shinyanga Bado Simjui Yoyote Na Wala Sijawa Mwenyeji Wa Kuweza Kuiangalia Game Ya Leo.
Yani Hii Government Bhana! Kuna Wasukuma Huku Wanalia na Ajira then Wananitoa Dar Wananileta huku!! 😡😡

Mkuu maisha popote.
Pole sana na mabadiliko lakini hiyo ni part of life. Hopefully utazoea haraka makazi mapya
YNWA
 
Mkuu Nimetoka Dar Jana tu Nimehamia Leo Singida Jirani na Shinyanga Bado Simjui Yoyote Na Wala Sijawa Mwenyeji Wa Kuweza Kuiangalia Game Ya Leo.
Yani Hii Government Bhana! Kuna Wasukuma Huku Wanalia na Ajira then Wananitoa Dar Wananileta huku!! 😡😡
na ndio maana Mimi niliachana na mambo ya kuajiliwa.yaani unakua mtumwa wa ajira.
otherwise pole sana

YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_1535737032934.jpg
 
Sasa kweli AKE anakosa bao yy na kipa hayupo
Wilson anakosa bao la wazi kama lile ndiyo ile beki icheze na Liverpool?
Salah na Mane watakos abao kama zile
4-0 ww usipojiangalia,ukija vyema unachukua bao 3
Waache wandelee kuota. Huwezi kuifananisha Liverpool na hizo takataka nyingine. Yani wamebaki kushangilia tukifungwa goli na sio tukipoteza mechi. Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinacho nifurahisha kwenye hii liverpool ni kua tunaweza kushinda tukiwa vibaya ani we are winning "ugly".msimu uliopita mechi kma ya jana au ile ya brighton ilikua ni suluhu au tunafungwa. So the ability of winning the way we are winning ni nzuri na ndo ubingwa unachukuliwa hivyo.

I also think kwa ss hvi hatuchezi ile free flowing football kwa vile wachezaji wengi hawakupata pre season vizuri kwa ajili ya worldcup na ndo mana hata pep alisema "the season starts after international break" kua mpka wakirudi ndo msimu utaanza rasmi kwa sababu wachezaji watakua na match sharpness yakutosha.mfano mzuri ni bobby firmino amekua anafanya kazi nzuri tukiwa tuna defend lakini ule udambwi udambwi wake bado hatujauona vizuri na its because of the lack ya pre season.

Nimalizie kwa kusema THIS LIVERPOOL TEAM IS CAPABLE OF ANYTHING. yajayo yanafurahisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinacho nifurahisha kwenye hii liverpool ni kua tunaweza kushinda tukiwa vibaya ani we are winning "ugly".msimu uliopita mechi kma ya jana au ile ya brighton ilikua ni suluhu au tunafungwa. So the ability of winning the way we are winning ni nzuri na ndo ubingwa unachukuliwa hivyo.

I also think kwa ss hvi hatuchezi ile free flowing football kwa vile wachezaji wengi hawakupata pre season vizuri kwa ajili ya worldcup na ndo mana hata pep alisema "the season starts after international break" kua mpka wakirudi ndo msimu utaanza rasmi kwa sababu wachezaji watakua na match sharpness yakutosha.mfano mzuri ni bobby firmino amekua anafanya kazi nzuri tukiwa tuna defend lakini ule udambwi udambwi wake bado hatujauona vizuri na its because of the lack ya pre season.

Nimalizie kwa kusema THIS LIVERPOOL TEAM IS CAPABLE OF ANYTHING. yajayo yanafurahisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Roberto Firmino A.K.A (Bobby) ameshinda
tackles (9) kuliko mshambuliaji mwingine
yeyote katika ligi 5 za Ulaya hadi sasa msimu
huu ni firee. sasa huyu ni mshambuliaji au ni
kiungo mkabaji(jokes)😀😀
 
15th september: Tottenham vs Liverpool
18th septembet: Napoli vs Liverpool
22nd september: Liverpool vs Southampton
25th september: Liverpool vs Chelsea
29th september: Chelsea vs Liverpool
03th October: Liverpool vs PSG
7th October : Liverpool vs Manchester City
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom