OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Sarriball itawaribu vichwa mkuu.Mpaka Washabiki Wa Chelsea Wa Bongo Wameshakuwa Affected na Sarri Sasahivi Wamekuwa Wavutaji Wakubwa Wa Sigara.
Usijeshangaa Huyo eden kimario na Ollachuga Oc Kuwa sasahivi Wanaangalia Mpira Wakiwa Paketi za za Embassy.
Sarriball itawaribu vichwa mkuu.
Klopp anakazi kubwa sana kumzuia Sarri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huoni maajabu ya Klopp nini ..kocha tangu aje Liverpool hajabeba hata kombe la mbuzi na bado yupo tu ..Coach Sarri:
Kocha pekee EPL ambae hajashinda kikombe chochote, ligi yoyote, nchi yoyote mashindano yoyote yale!
Maajabu ya dunia haya
Michezo Yetu Ya EPL kwa September tuliyoibakisha Ni :-
√ 15 – Tottenham Hotspur (A)
√ 22 – Southampton (H)
√ 29 – Chelsea (A)
Hapo Tukipata Points 5 tu (1 Win & 2 Draws)
Huoni maajabu ya Klopp nini ..kocha tangu aje Liverpool hajabeba hata kombe la mbuzi na bado yupo tu ..
Angekuwa yupo darajani Siku nyingi tu ayupo keshatimuliwa.
Sisi tuna njaa ya makombe, nyie endeleeni kujenga timu na Klopp wenu.
Nina uhakika mpka Klopp anaondoka EPL hatabeba kombe hata moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huoni maajabu ya Klopp nini ..kocha tangu aje Liverpool hajabeba hata kombe la mbuzi na bado yupo tu ..
Angekuwa yupo darajani Siku nyingi tu ayupo keshatimuliwa.
Sisi tuna njaa ya makombe, nyie endeleeni kujenga timu na Klopp wenu.
Nina uhakika mpka Klopp anaondoka EPL hatabeba kombe hata moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujikuta unajua sana ngeli mkuu. Hakuna mmiliki wa lugha hapa, wote tunajifunza na kama sijui nijuze acha mboyoyo.Kama huwezi English grammar bora uache kutumia lugha ya watu. Unajiaibisha kutumia lugha ya watu.......”the next is you???????”
Unajidhalilisha
Mimi Mwenzenu Kuanzia Mwezi Huu Nitakosa Mautamo Kwa Miaka Mingi ijayo Coz Nimepata Uhamisho Serikali Imenipangia Kazi Mkoani Ambako Hakuna DSTv wala Ukijiunga Bando 3G & 4G haipandi Bali inasoma E tu Kwahiyo Naishia Kuangalia Game Kwenye LiveScore ndiyomana Leo Nimeshindwa Kufanya Analysis ya Aina yoyote hile.
Acha kujikuta unajua sana ngeli mkuu. Hakuna mmiliki wa lugha hapa, wote tunajifunza na kama sijui nijuze acha mboyoyo.
Au Sarriball inakuchanganya nini![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujikuta unajua sana ngeli mkuu. Hakuna mmiliki wa lugha hapa, wote tunajifunza na kama sijui nijuze acha mboyoyo.
Au Sarriball inakuchanganya nini![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ili jogoo la shamba ..ngoja lije mjini London.....tutachinja na msumeno...
Hahaha ili jogoo la shamba ..ngoja lije mjini London.....tutachinja na msumeno...
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora hata nyie mnapata nafasi ya kuwajibu! Mimi nachojua hao size yao ni Arsenal....hao ndio watani wao na wakina West Ham, Tottenham, Fulham, C. Palace, nk.Pamoja sana chief.
Nashangaa leo hii Chelsea nao wanaongea.
Nimeshawaambia hapa kuwa there are are only two contenders in the EPL: LFC and ManU. The rest are just pure pretenders
Numbers don’t lie
YNWA
Bora hata nyie mnapata nafasi ya kuwajibu! Mimi nachojua hao size yao ni Arsenal....hao ndio watani wao na wakina West Ham, Tottenham, Fulham, C. Palace, nk.
Huwa wananishangaza sana kulazimisha utani na Liver. Yaani mimi huwa sina hata muda wa kuwajibu kwa kweli.
Huenda ni kijijini hasa ndani ndani huko
Ngoja Nikatafute Line ya Halotel nione Kama Nitafanikiwa Kustream online.