Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

TAA naye anahitaji kupumzishwa hapandiahi mashambulizi kabisa. Angalia upande wa Robertson ule upande unapanda. Aingie Moreno kuongeza nguvu. Goli moja halitoshi.

Sent using Jamii Forums mobile app


Moreno acheze beki mbili?

Nimezipenda Sub ila nilipendelea atoke Milner, lakini tukigeukia kwa sub ya kumtoa Salah amepatia maana jamaa sijui mashabiki wamempa kichwa sana maana amekuwa mmaliziaji mbovu sana kwenye chances nyingi siku hizi! Pamoja na kucheza hovyo hovyo!
 
Kila mtu ameona kapteiiin alivyo cheza ametoka kila mtu aone tofauti

Sijawahi ona midfildi inaogopa mpira
 
Moreno acheze beki mbili?

Nimezipenda Sub ila nilipendelea atoke Milner, lakini tukigeukia kwa sub ya kumtoa Salah amepatia maana jamaa sijui mashabiki wamempa kichwa sana maana amekuwa mmaliziaji mbovu sana kwenye chances nyingi siku hizi! Pamoja na kucheza hovyo hovyo!

Kitu kizuri ni kuwa Mane yupo on fire msimu huu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom