BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,911
- 11,729
Naona hendo pass zake nyingi anarudixha nyuma yaan kiufupi anauogopa mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Mwenzenu Kuanzia Mwezi Huu Nitakosa Mautamo Kwa Miaka Mingi ijayo Coz Nimepata Uhamisho Serikali Imenipangia Kazi Mkoani Ambako Hakuna DSTv wala Ukijiunga Bando 3G & 4G haipandi Bali inasoma E tu Kwahiyo Naishia Kuangalia Game Kwenye LiveScore ndiyomana Leo Nimeshindwa Kufanya Analysis ya Aina yoyote hile.
Mpaka Washabiki Wa Chelsea Wa Bongo Wameshakuwa Affected na Sarri Sasahivi Wamekuwa Wavutaji Wakubwa Wa Sigara.
Usijeshangaa Huyo eden kimario na Ollachuga Oc Kuwa sasahivi Wanaangalia Mpira Wakiwa Paketi za za Embassy.
inaenda halftime huko Darajani
inaenda halftime huko Darajani
Mpira mbovu mno
Mikoa mingi kuna DSTV lakini, tafuta line ya halotel.
Naona hendo pass zake nyingi anarudixha nyuma yaan kiufupi anauogopa mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo jiandae kupoteza yote.
Kupoteza yote kivipi mkuu?
Sarri: kocha pekee EPL ambae hajashinda kikombe cha aina yoyote ile mahala popote pale na nchi yoyote ile

Mimi Mwenzenu Kuanzia Mwezi Huu Nitakosa Mautamo Kwa Miaka Mingi ijayo Coz Nimepata Uhamisho Serikali Imenipangia Kazi Mkoani Ambako Hakuna DSTv wala Ukijiunga Bando 3G & 4G haipandi Bali inasoma E tu Kwahiyo Naishia Kuangalia Game Kwenye LiveScore ndiyomana Leo Nimeshindwa Kufanya Analysis ya Aina yoyote hile.
Mikoa mingi kuna DSTV lakini, tafuta line ya halotel.
Huu ni UJINGAMpaka Washabiki Wa Chelsea Wa Bongo Wameshakuwa Affected na Sarri Sasahivi Wamekuwa Wavutaji Wakubwa Wa Sigara.
Usijeshangaa Huyo eden kimario na Ollachuga Oc Kuwa sasahivi Wanaangalia Mpira Wakiwa Paketi za za Embassy.
Klopp anataka silveware msimu huu, so hakuna kuremba hovyo hovyo.Bado najiuliza tunataka ubingwa kweli au mitambo inatestiwa? Gem ya tatu hii tunapiga mpira mbovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nakubali sana mawazo yako MkuKlopp anataka silveware msimu huu, so hakuna kuremba hovyo hovyo.
mimi binafsi nafurahia sana tactical approach ya Klopp msimu huu. penye kuremba anaremba, pasipostahili kuremba anaacha. penye kukimbia watu wanakimbia, penye kucheza pole pole hi hivyo hivyo.
hivi umeiangalia timu inavyojipanga off the ball? fantastically solid!
tukiendelea kucheza kwa mipango hivi, hata treble tunaweza kuchukua msimu huu.
score yangu ya moyoni kwenye game la leo ni:
Leicester 0-3 Liverpool
ile gift ya Alisson aliyowapa Leicester mimi sijahesabu kama goli while ile sitter aliyo miss Salah pale mwanzoni ni clear goal. Alisson kajifunza hawezi kurudia tena ule utoto.
msimu huu timu iko balanced sina wasiwasi kabisa.... inacheza with plenty of maturity!
pamoja sana chief.Huwa nakubali sana mawazo yako Mku
Hongereni The Reds wote, hawa wahuni wamekuwa wakitusumbua mno, kuwapiga pale kwao imekuwa vizuri mno. Allison.....basi tu....ni vizuri kuwa kosa lake halikutugharimu ushindi, inaweza kumuamsha.
Tuombe international's zisituletee majeruhi....
YNWA.