Puel nadhani ndo manager ambaye amekuwa akimsumbua Klopp katika mechi 8 walizo kutana Puel has an upper hand(4 wins).
Virgil has been performing poorly msimu huu so as Mo Salah i hope the coming fixtures things will be sorted out.
Joe Gomez has a solid performance and he deserve man of the match credits, he's growing into the game.
Wale waingereza wawili don't deserve to start together kwenye midfield leo Mendy,Ndidi waliwapoteza kabisa pale katikati kuanzia dakika ya 23 mpaka mpira unaisha tulikuwa na hali mbaya.
Allison nadhani hatafanya ujinga tena wa kucheza mipira kizembe kwenye 18 yake baada ya ile mistake nikajua hii tunaweza maliza kwa sare.
Klopp achange tu vizuri katata zake maana mwezi huu wa 9 tuna fixtures ngumu