Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,593
Leo liverpool anapigwa kwa mara ya kwanza na uwezo wa kloop utaanza kujadiliwa humu jukwaani
E&K
Leo Chelsea anapigwa kwa mara ya kwanza na uwezo wa mvuta ugoro utaanza kujadiliwa humu jukwaaniLeo liverpool anapigwa kwa mara ya kwanza na uwezo wa kloop utaanza kujadiliwa humu jukwaani
E&K
Leo tena liver anamwaga mtu utumbo nyumbani kwakeLeo liverpool anapigwa kwa mara ya kwanza na uwezo wa kloop utaanza kujadiliwa humu jukwaani
E&K
Leo liverpool anapigwa kwa mara ya kwanza na uwezo wa kloop utaanza kujadiliwa humu jukwaani
E&K
Kitu na box leo ni kilio kwa wana LiverpoolClean sheet ya nne leo...
Leo Chelsea anapigwa kwa mara ya kwanza na uwezo wa mvuta ugoro utaanza kujadiliwa humu jukwaani
mkuu leo ni kichapo Hiki sio kichekesho ni kinunio muda mfupi ujaoKupata hiko kichekesho unabonyeza namba zipi?
![]()
![]()
mkuu leo ni kichapo
Dalili zote zinaonyesha
E&K
Mara ya mwisho umelibeba lini![]()
Just to remind you............................................
Where is Chelshit in the list?Mara ya mwisho umelibeba lini
Imebaki historia tu sasa
E&K
Mashabiki wa Liverpool bana ni kujisifia na Uefa tu lakini ukimuuliza EPL ametwaa lini unamuonea mpaka na HurumaWhere is Chelshit in the list?
Una safari ndefu sana ya kufikia level ya the KOP
Utafananisha UCL na EPL?Mashabiki wa Liverpool bana ni kujisifia na Uefa tu lakini ukimuuliza EPL ametwaa lini unamuonea mpaka na Huruma
E&K