Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
For more dreams like these, text DREAM to 2005.The future is very promising.
If all these guys stay healthy basi opponents wetu mtapata tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
For more dreams like these, text DREAM to 2005.The future is very promising.
If all these guys stay healthy basi opponents wetu mtapata tabu sana
Liverpool 'not for sale' after reported £2bn bid
Habari kama hizi zitafanya wachezaji wasiwe wasikivu sababu hao waarabu wanatoa mpunga mrefu sana kwenye kandarasi!Wamekuja sasa wameona team imetulia?
Wasituvuruge hawa bana!
Yule Muisraeli anaitwa nani kumbe?Kuna yule mgiriki mmoja alisajiliwa kama beki wa kati, kilikuwa kioja ! Jina silikumbuki, ila ni moja ya watuwalionikera sana. At least yule mreno mwenye tattoo nyingi !
Sent using Jamii Forums mobile app
nimemkumbuka leo Yossi Benayoun, kidogo alikuwa mpiganaji. Alienda kati ya Chelsea au Everton
Kwa hiyo atacompete na Bobby
hii ndio nafasi yake Rodgers ndio alijaribu kummbadili na Klopp nae ila sasa Klopp akaja kujua ndogo ni mzito akicheza kama wingback ndio maana alivyopona wakaanza kumsuka kuja cheza sasa nafasi hii na kwa hizi mechi mbili hajatwangusha...
During last summer TW I read somewhere Klopp saying that there is no CB in the market who can do what Joe Gomez can’t do.....
I hardly struggled to understand him.....
But,through the last two games I have got what Klopp meant back in the days!
By the way....Naamini Naby Keita will be a real deal at LFC
That young man is a fu*****ng brilliant!
Superb ball controlling techniques....
David Ngog! Duh! Jamaa sijui yuko wapi.
Wengine ni Ricky Lambert, Stewart Downing, Andy Carrol, Peter Crouch na Emiliano Insua
Yani Kuanzia Mwaka 1992 makocha Walikusudia Kuifanya Liverpool iwe sawa na Bolton! Hivi Hawa ndiyo Kweli Wachezaji Wa Kusaini utegemee Mafanikio?
Halafu Kulikuwa na Mpumbavu Mmoja Yule Damien Comolli Wakati Alikuwa Ni Sporting Director wetu basi Alikuwa akiokota tu Wachezaji na ndiyo Akatuletea Hao Kina Carroll, Jonjo, Maxi Rodriguez, Kyrgiakos na Dosena.
Yani baada Ya Kuja Huyu Michael Edwards basi Ni Starehe tu.
Yossi Benayoun, kidogo alikuwa mpiganaji. Alienda kati ya Chelsea au Everton
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo naona umeongea kwa unyenyekevu mkuu. Umetofautiana na kina malafyale wanajiakikishia ubingwa kila msimu unapoanza. Mwisho wa siku wanabaki kunamisha kichwa chini. Kwa upande wangu naweza sema hizi timu 3. Mmoja Kati yao atanyanyua kwapa msimu huu....!!
Man City
Chelsea
Liverpool
Tusubiri msimu uishe tuone Nani atanyanyua kwapa.
Sent using Jamii Forums mobile app