Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwanz tupe Mrejesho Wa Mechi Yetu dhidi ya Crystal Palace ambayo ulitutabiria Mabaya Kama haya Ndiyo tuweze Kukusikila Ramli yako Ya Mchezo wetu Wa Leo.
Mkuu ile ya CP ukicheki kwa makin Liverpool ilizidiwa sema Palace hawakuwa na umakini wa kutosha ..kama wangekuwa makini kama *Briton City* basi ile game ingeisha dro ya mbili mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ushindi wa Briton dhidi ya man u umewapa confidence ya kutosha kiasi kwamba inaweza kuwa ngumu kwa Liverpool kushinda. Hivyo itahitajika nguvu ya ziada kwenye kikosi cha liver ili kuweza kushinda.

Refer game ya CP mlipata ushindi kwa tabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
CP alikuwa home, Brighton anakuja anfield ambapo ni pagumu kuliko viwanja vyote Epl

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha Hallison ajiandae leo kuna goli zaid ya mbili anaweza chomwa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Nadhani Umesahau Kuwa Liverpool Ndiyo Timu inayoongoza Kwa Kucheza Michezi Mengi Bila ya Kufungwa Katika Uwanja Wake Wa Nyumbani Kwa EPL?

Basi Kama Hujui Msimu Uliopita Liverpool ndiyo Timu pekee iliyocheza Msimu Mzima Bila ya Kufungwa Hata Mchezo mmoja Katika Uwanja Wake Wa Nyumbani.
Kwahiyo namaanisha Liverpool si ya Kuichukulia Poa Katika Uwanja wa Anfield Kwani Hata Mbabe wenu Man City alilia Hapa.

Leo tunaanza na Kumpiga 4 au zaidi lakini si Chini ya hapo.
 
Nadhani Umesahau Kuwa Liverpool Ndiyo Timu inayoongoza Kwa Kucheza Michezi Mengi Bila ya Kufungwa Katika Uwanja Wake Wa Nyumbani Kwa EPL?

Basi Kama Hujui Msimu Uliopita Liverpool ndiyo Timu pekee iliyocheza Msimu Mzima Bila ya Kufungwa Hata Mchezo mmoja Katika Uwanja Wake Wa Nyumbani.
Kwahiyo namaanisha Liverpool si ya Kuichukulia Poa Katika Uwanja wa Anfield Kwani Hata Mbabe wenu Man City alilia Hapa.

Leo tunaanza na Kumpiga 4 au zaidi lakini si Chini ya hapo.
Mkuu me nazungumzia Hallison kufungwa zaid ya mbili leo haijalishi mtashinda au mtafungwa ..leo kunawezekana kuwepo kwa magoli pande zote mbili.

Halafu kutokupoteza nyumbani msimu uliopita haina maana sana ..leo unaweza ukapoteza tu

Mpira na timu huwa ni vitu vinavyobadilika kila dakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ile ya CP ukicheki kwa makin Liverpool ilizidiwa sema Palace hawakuwa na umakini wa kutosha ..kama wangekuwa makini kama *Briton City* basi ile game ingeisha dro ya mbili mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu! Football haitabiriki.Football ni mchezo wa Bahati( game of chances) Football ni DKK 90. Mpira wa miguu magoli. Atakayepata goli nyingi ndiye mshindi.
Tunakosea sana kusema ANGE,INGE,WANGE,TUNGE Au Mshukuruni Fulani,ama Fulani kawaokoa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu! Football haitabiriki.Football ni mchezo wa Bahati( game of chances) Football ni DKK 90. Mpira wa miguu magoli. Atakayepata goli nyingi ndiye mshindi.
Tunakosea sana kusema ANGE,INGE,WANGE,TUNGE Au Mshukuruni Fulani,ama Fulani kawaokoa.


Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu uko sahihi.
A win is a win!
Kuna mmoja alivamia jukwaa hapa akadai “dakika moja tu ingeongezewa mngetoa draw na ManCity”
Anashindwa kuelewa kwenye game kuna winning strategy na time management
 
Labda golini akae Mignolet au Karius
Ila akikaa Allison, huo ujinga haupo tena
Mkuu Allison huwezi kusema ni bora kwa kipimo cha game mbili za mwanzo dhidi ya Liverpool ambazo zilionekana ni nyepesi sana. Allison hajakutana na akina Iwobi, Willian, Aguero na timu ndgo ndgo kam Leicester, Burnley n.k ambazo zina winga wenye uwezo wa kufunga vizuri tu. Bado Uefa uko inamsubiri.

Hata hivyo Karius alijitahidi sana sema nyie mashabiki ndo mmemuangusha. Hivyo Hutu Allison bado hajakutana na mikiki mikubwa mikubwa maana ligi ndo kwanza game ya tatu hii.

Bado sana Ku improve uwezo wa Allison.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Allison huwezi kusema ni bora kwa kipimo cha game mbili za mwanzo dhidi ya Liverpool ambazo zilionekana ni nyepesi sana. Allison hajakutana na akina Iwobi, Willian, Aguero na timu ndgo ndgo kam Leicester, Burnley n.k ambazo zina winga wenye uwezo wa kufunga vizuri tu. Bado Uefa uko inamsubiri.

Hata hivyo Karius alijitahidi sana sema nyie mashabiki ndo mmemuangusha. Hivyo Hutu Allison bado hajakutana na mikiki mikubwa mikubwa maana ligi ndo kwanza game ya tatu hii.

Bado sana Ku improve uwezo wa Allison.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mark my word! Alisson is one of the best in the business. Kwa EPL labda anapitwa na DaGea tu.
Ili free kick ya juzi angekuwa Mignolet basi tungeongea mengine.
Nimemwona toka yupo Brasil, Roma na World Cup kule Russia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom