Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Na msipo ondoa utegemezi wa Mane na Salah basi mtapata tabu saana.
Unatakiwa huelewe, sasa hivi mnashinda kwa sababu wapo na wasipo kuwepo je?
Nyie bado sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu tuwasajili, tuwalipe, then utukataze kuwategemea!
Mkuu usipojiangalia ligi itaisha hivi hivi, wewe unakaanga sumu wenzio wanazila kama catalyst.