Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kweli kabisa Keita anarahishisha kazi ya hawa ma forward...Firmino ndogo kipaji kipo atakaa sawa tu..japo umbea kwamba Barcelona wanamtaka na amekanusha...Exactly, baada ya Sadio Mane kufanya yake leo kuna watu nilikuwa naangalia nao game nikawaambia hii kitu.
Attention iko kwa Salah, na Sadio Mane hafanyi zile kazi za kurudi nyuma kutafuta mpira kumlisha Salah, Keita ana rahisisha maisha yao wore.
Mtu ninaye mwona kuwa na wakati mgumu ni Firmino.
Kua na Keita kunawafanya hata wasichoke kama zamani....natamani nione Combination ya Fabinbo, Gini na Keita namna watakavyo cheza pengine itakua bora na kuleta mabadiliko sana...