Lucky One
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 663
- 431
sijui na ufupi nao unachangia anakua hana hatua kama za ManeGoli alilofunga Mane Mo Salah amepata nafasi 2 kama zile lakini nimembaini Kumbe Mo Salah si Mchezaji Wa Kaunta Coz Hana Mbio!
Unamkuta Yuko mbele lakini Kadri anavyokimbia basi yupo hapohapo mpaka Anafikwa na Beki...
Lakini Mane Alivyokimbia na Mpira ndiyo inavyotakiwa mtu Wa Kaunta awe na mbio kama zile.
Dua yako imekubalikaMichezo Yetu 4 ya mwisho Tuliyocheza na Crystal Palace Katika Uwanja Wao Wa Nyumbani wa Selhurst Park Yote Tumeshinda Lakini Hatujapata Cleansheet Hata moja.
√ 14 Feb 2015: Palace 1 - 2 LFC
√ 06 Mar 2016: Palace 1 - 2 LFC
√ 29 Oct 2016: Palace 2 - 4 LFC
√ 31 Mar 2018: Palace 1 - 2 LFC
Na Leo tuombe ushindi with Cleansheet.
Nimependa hizi updates zako Mkuu2nd Goal. S.ManeView attachment 842751View attachment 842752
Gomez anaanza kunishawishi kwamba kwa nafasi ile ndio amefika aisee....ila Trent hii ni mechi ya pili klosi zake nyingi anazipoteza...Klopp na his coaching department naamini wataliangalia hili maana kwa hawa wakupaki basi tunahitaji mabeki wa pembeni wapiga klosi za uhakika na pia wanaopiga kona inabidi nao waangaliwe upya...YNWAGini Ni Outstanding Player since the end of last season..
Rogers Yani Sitomsamehe Kwa Mechi hile Ya Chelsea! Tulihitaji Sare tu tufurahi Yeye Akijifanya Kuaproach Game utadhani tunataka Kuescape Kwenye Relegation zone!!!!!
sijui na ufupi nao unachangia anakua hana hatua kama za Mane
Gomez anaanza kunishawishi kwamba kwa nafasi ile ndio amefika aisee....ila Trent hii ni mechi ya pili klosi zake nyingi anazipoteza...Klopp na his coaching department naamini wataliangalia hili maana kwa hawa wakupaki basi tunahitaji mabeki wa pembeni wapiga klosi za uhakika na pia wanaopiga kona inabidi nao waangaliwe upya...YNWA
Mechi zajumatatu zinakuwaga ngumu na zinamatokweo ya ajabu
nshukur Kwa matokeo haya
Goli alilofunga Mane Mo Salah amepata nafasi 2 kama zile lakini nimembaini Kumbe Mo Salah si Mchezaji Wa Kaunta Coz Hana Mbio!
Unamkuta Yuko mbele lakini Kadri anavyokimbia basi yupo hapohapo mpaka Anafikwa na Beki...
Lakini Mane Alivyokimbia na Mpira ndiyo inavyotakiwa mtu Wa Kaunta awe na mbio kama zile.