Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Europa league leo unaiona haina maana wakati umeicheza sana na kutwaa ndoo hujawahi kutwaa


Huu Ushabiki Mwengine bhana!!
Wewe ndiye Wakusema Liverpool hajawahi Kutwaa Eurpa Cup?
Kama Hujui Liverpool Ndiye Anayeoongoza Kwa Timu Za Kiengereza Kutwaa Europa Mara Nyingi.. Ametwaa Mara tatu!!!
Labda Nikupe Summary hapa:

√ Champions League 5:
1) 1976/77
2) 1977/78
3) 1980/81
4) 1983/84
5) 2004/05


√ Europa League 3:
1) 1972/73
2) 1975/76
3) 2000/01


√ Super Cup 3:
1) 1977
2) 2001
3) 2005


Sasa hapo Unapata Wapi Ujasiri Wakusema Hatujawahi Kuchukua Europa.
Ni lazima Uiheshimu Liverpool Kwasababu Ndiyo Timu pekee inayoongoza Kubeba Makombe Ya Ulaya Kwa Timu Za Kiengereza.
 
Huu Ushabiki Mwengine bhana!!
Wewe ndiye Wakusema Liverpool hajawahi Kutwaa Eurpa Cup?
Kama Hujui Liverpool Ndiye Anayeoongoza Kwa Timu Za Kiengereza Kutwaa Europa Mara Nyingi.. Ametwaa Mara tatu!!!
Labda Nikupe Summary hapa:

√ Champions League 5:
1) 1976/77
2) 1977/78
3) 1980/81
4) 1983/84
5) 2004/05


√ Europa League 3:
1) 1972/73
2) 1975/76
3) 2000/01


√ Super Cup 3:
1) 1977
2) 2001
3) 2005


Sasa hapo Unapata Wapi Ujasiri Wakusema Hatujawahi Kuchukua Europa.
Ni lazima Uiheshimu Liverpool Kwasababu Ndiyo Timu pekee inayoongoza Kubeba Makombe Ya Ulaya Kwa Timu Za Kiengereza.
Mwisho wako wa kutamba ilikuwa 2005 bisha tena
Mpaka leo ni msindikizaji tu
 
Hivi unajua pamoja na ubora wa salah, mane, firmino last season mmemaliza michuano yote bila kikombe
Mafanikio ya team mwisho wa msimu ni kikombe tu zaidi ya hapo ni ngonjera
Kwahiyo kwasababu Liverpool haijachukua kikombe mda mrefu ni justification kwamba hawatochukua tena daima?
 
Kwahiyo kwasababu Liverpool haijachukua kikombe mda mrefu ni justification kwamba hawatochukua tena daima?
Mkuu huu ni mwaka wa 19 hamjawahi kutwaa EPL
Wamepita wachezaji bora sana hapo liver lakini wameshindwa kutwaa EPL miaka yote hiyo
 
Yani Leo Tungefungwa au Tungedraw tu basi ungeliona Hapa Washabiki Wa Chelshit na Manure wanavyotiririka...
Sasa Kazi ipo Kwa Arsenal naona Wote Watakwenda Kujenga Kambi Kwenye Jukwaa lao! Olewake Mambo Arsenal yawaendee Kombo uone Watakavyoandamwa Manake Wana Hasira ya Kutukosa sisi.
Mbona hujiamini kijana.?
 
Mkuu huu ni mwaka wa 19 hamjawahi kutwaa EPL
Wamepita wachezaji bora sana hapo liver lakini wameshindwa kutwaa EPL miaka yote hiyo


Liverpool mpaka sasa imekaa Miaka imeshakaa Miaka 27 bila ya Kuchukua Kombe la Ligi (EPL) na si 19.

By the way! Chelsea ilikaa Miaka 50 bila ya Kubeba Kombe la Ligi (EPL) na hatimae ikabeba 2005! Lakini Kwenye Miaka 27 ya Liverpool ndiyo unaona mengi Kiasi ya Kwamba Haitowezekana tena Kubeba Kombe?

Sasa imewezekana vipi Kwenye 50 Hata ishindwe kuwezekana Kwenye 27?
 
Liverpool mpaka sasa imekaa Miaka imeshakaa Miaka 27 bila ya Kuchukua Kombe la Ligi (EPL) na si 19.

By the way! Chelsea ilikaa Miaka 50 bila ya Kubeba Kombe la Ligi (EPL) na hatimae ikabeba 2005! Lakini Kwenye Miaka 27 ya Liverpool ndiyo unaona mengi Kiasi ya Kwamba Haitowezekana tena Kubeba Kombe?

Sasa imewezekana vipi Kwenye 50 Hata ishindwe kuwezekana Kwenye 27?
Yaani Chelsea Ile iliyokaa miaka 50 bila kuchukua EPL unaifananisha na Liverpool hii yenye miaka 27 bila EPL...kweli! Utakuwa umeamua kuivunjia heshima sana timu yako
 
Mbona hujiamini kijana.?


Sio Kwamba Sijiamimi Mkuu!
Mimi siamini Utabiri! Kwahiyo Si mtu Wa Kutangaza Kushinda Game kabla sijaicheza! Ninakiamini Mimi Ni Kile Kinachotokea Baada Ya Dakika 90 au 120.
Na ndiyomana Mimi Hata Siku moja Hunikuti Kutangaza Kuchukua Kombe Kabla Ya Ligi haijaanza.

Na Ninachoamini Mimi Ni Kwamba Mtu yeyote unayemsika anasema na Kujihakikishia Kuwa Msimu huu atabeba Kombe Kwenye Timu Yake basi Huyo Hajui Mpira. Kwasababu yeye Ni sawa na Mganga Wa Kienyeji tu na Ndiyomana haangalii Kuwa Mpira Ni Mchezo Wa Mahasebu, Makosa, Uimara Wa Timu, Mbinu, Fitness na Utayari. Factor moja tu Kati ya Hizo inaweza Kukunyima Ubingwa Hata Kama Una Kikosi Bora Kiasi gani.

Mtu anaejua Mpira Maranyingi Husema Msimu huu Nina matumaini Ya Kubeba Ubingwa... Na Sio Kujihakikishia Kuwa lazima Ataubeba kama wanavyosema baadhi ya Watu utafikiria Matokeo ya Mchezoni wanayapanga wao.

Mimi Ni Mshabiki Wa Liverpool lakini Kama Mshabiki Wa Mpira basi Msimu huu Naipa Nafasi Man City ya Kubeba Ubingwa Wa EPL... Lakini Sisemi Kuwa Lazima itabeba Bali naipa nafasi tu Kutokana na Uimara Wa Timu Yao. Kwani Kama Nilivyotaja Hapo juu zipo Factors ambazo zinaweza Kumkosesha Ubingwa.
 
Yaani Chelsea Ile iliyokaa miaka 50 bila kuchukua EPL unaifananisha na Liverpool hii yenye miaka 27 bila EPL...kweli! Utakuwa umeamua kuivunjia heshima sana timu yako


Point Yangu Ni Kuwa NiliyomQuote nataka Ajue Kuwa Liverpool Hii Ni Strong and More Stable ambayo inaweza Kucompete bila ya Kujali Historia ya Kilichotokea Miaka 27 iliyopita.

Mara nyingi Huwa natoa Mfano Kuwa Real Madrid iliyosheheni Mafundi na Mastaa duniani Kama vile Casillas, Hiero, Emerson, Roberto Carlos, Zidane, Figo, Ronaldo, MacCmanaman, Morientes na Raul haikuwa na mpango wowote walikuwa Ni Wanawake tu Kwenye Champion League Timu zinajipigia.

Lakini Hii Real Ya Kawaida Ya Kina Varane, Asensio na Isco ndiyo imekuwa Tashio na Mafanikio Zaidi Kuliko Hiyo Ya Mastaa.

Kwahiyo Mafanikio Hayejengwi na Mastaa Pekee, Bali Kuna Factors nyingi Zinajenga Mafanikio.

Zaidi Kujituma Kwa Wachezaji na Ukufunzi Wa Kocha ndiyo Vichochezi vya Mafanikio.

Hivi Unadhani Kwa Kocha hasa Anayejua Mpira Angepoteza Kombe kama alivypoteza Rogers 2013/14?
 
Point Yangu Ni Kuwa NiliyomQuote nataka Ajue Kuwa Liverpool Hii Ni Strong and More Stable ambayo inaweza Kucompete bila ya Kujali Historia ya Kilichotokea Miaka 27 iliyopita.

Mara nyingi Huwa natoa Mfano Kuwa Real Madrid iliyosheheni Mafundi na Mastaa duniani Kama vile Casillas, Hiero, Emerson, Roberto Carlos, Zidane, Figo, Ronaldo, MacCmanaman, Morientes na Raul haikuwa na mpango wowote walikuwa Ni Wanawake tu Kwenye Champion League Timu zinajipigia.

Lakini Hii Real Ya Kawaida Ya Kina Varane, Asensio na Isco ndiyo imekuwa Tashio na Mafanikio Zaidi Kuliko Hiyo Ya Mastaa.

Kwahiyo Mafanikio Hayejengwi na Mastaa Pekee, Bali Kuna Factors nyingi Zinajenga Mafanikio.

Zaidi Kujituma Kwa Wachezaji na Ukufunzi Wa Kocha ndiyo Vichochezi vya Mafanikio.

Hivi Unadhani Kwa Kocha hasa Anayejua Mpira Angepoteza Kombe kama alivypoteza Rogers 2013/14?
Najua umeilewa point yangu kwa nilichokuquote ,regardless wachezaji ,makocha na vitu vingine timu yenye ukubwa wa Liverpool haitakiwi kukaaa hata miaka 5 tu bila kuchukua kombe la EPL , yaani huo ni mwiko..lakini for some reason hilo limeitokea Liverpool imefikia hatua sasa hata sio habari tena Liverpool kumaliza msimu bila kikombe.Inaanza kujenga tamaduni mbaya , makocha wanakuwa hawana presha tena . Kwa ubora wa kikosi chenu cha sasa sio tu mnatakiwa kushinda EPL tu bali mnatakiwa kushinda back to back EPL na kufika tena fainal ya champions league kama sio kuchukua kabisa.

Kilichotokea msimu wa 13/14 kwa kiasi kingine mshabiki walichangia ,yaani ile kushinda mechi nyingi mfululizo kuliwafanya mashabiki waamini Liverpool inaweza kushinda kila mechi , kimahesabu mechi vs Chelsea Liverpool ilitakiwa kupata draw tu, hakukuwa na sababu ya kwenda all out attacking ,kocha kwa hype za washabiki na yeye akacheza timu as if it was a must win match ,we all know what happened when Gerald alipoteleza, he was the last man yaani kikosi kizima kilishapanda mbele.

EPL ni marathon ni lazima kocha awe na hesabu sana katika kila mechi bila kujali ubora wa kikosi, last season mlimaliza 25 points nyuma ya man city maana yake hamkuwa hata na dalili ya kuchukua kombe.This season mmefanya maboresho kwenye timu Ila pia lazima kocha abadili approach kwenye baadhi ya mechi ,sio lazima ushinde mechi zote ili ushinde EPL, asipoliona hili mtakuwa tena na exciting season lakini bila kombe
 
Point Yangu Ni Kuwa NiliyomQuote nataka Ajue Kuwa Liverpool Hii Ni Strong and More Stable ambayo inaweza Kucompete bila ya Kujali Historia ya Kilichotokea Miaka 27 iliyopita.

Mara nyingi Huwa natoa Mfano Kuwa Real Madrid iliyosheheni Mafundi na Mastaa duniani Kama vile Casillas, Hiero, Emerson, Roberto Carlos, Zidane, Figo, Ronaldo, MacCmanaman, Morientes na Raul haikuwa na mpango wowote walikuwa Ni Wanawake tu Kwenye Champion League Timu zinajipigia.

Lakini Hii Real Ya Kawaida Ya Kina Varane, Asensio na Isco ndiyo imekuwa Tashio na Mafanikio Zaidi Kuliko Hiyo Ya Mastaa.

Kwahiyo Mafanikio Hayejengwi na Mastaa Pekee, Bali Kuna Factors nyingi Zinajenga Mafanikio.

Zaidi Kujituma Kwa Wachezaji na Ukufunzi Wa Kocha ndiyo Vichochezi vya Mafanikio.

Hivi Unadhani Kwa Kocha hasa Anayejua Mpira Angepoteza Kombe kama alivypoteza Rogers 2013/14?
Kwa hiyo klop anaujua mpira
Basi sawa tunasubiri mtwae EPL msimu huu
 
Najua umeilewa point yangu kwa nilichokuquote ,regardless wachezaji ,makocha na vitu vingine timu yenye ukubwa wa Liverpool haitakiwi kukaaa hata miaka 5 tu bila kuchukua kombe la EPL , yaani huo ni mwiko..lakini for some reason hilo limeitokea Liverpool imefikia hatua sasa hata sio habari tena Liverpool kumaliza msimu bila kikombe.Inaanza kujenga tamaduni mbaya , makocha wanakuwa hawana presha tena . Kwa ubora wa kikosi chenu cha sasa sio tu mnatakiwa kushinda EPL tu bali mnatakiwa kushinda back to back EPL na kufika tena fainal ya champions league kama sio kuchukua kabisa.

Kilichotokea msimu wa 13/14 kwa kiasi kingine mshabiki walichangia ,yaani ile kushinda mechi nyingi mfululizo kuliwafanya mashabiki waamini Liverpool inaweza kushinda kila mechi , kimahesabu mechi vs Chelsea Liverpool ilitakiwa kupata draw tu, hakukuwa na sababu ya kwenda all out attacking ,kocha kwa hype za washabiki na yeye akacheza timu as if it was a must win match ,we all know what happened when Gerald alipoteleza, he was the last man yaani kikosi kizima kilishapanda mbele.

EPL ni marathon ni lazima kocha awe na hesabu sana katika kila mechi bila kujali ubora wa kikosi, last season mlimaliza 25 points nyuma ya man city maana yake hamkuwa hata na dalili ya kuchukua kombe.This season mmefanya maboresho kwenye timu Ila pia lazima kocha abadili approach kwenye baadhi ya mechi ,sio lazima ushinde mechi zote ili ushinde EPL, asipoliona hili mtakuwa tena na exciting season lakini bila kombe

Kwa Liverpool Hii ishayojengwa Msimu Huu Nakubaliana na wewe Kuwa Kuwa Ni Jambo lisilokubalika Kukaa Miaka Hata 2 miwili bila ya Hata Miky Mouse.

Lakini Kwa Liverpool ya Kuanzia Msimu uliopita Mpaka 2009 basi Ni Sawa Kukaa Hata Miaka 100 bila ya Kikombe Hata cha ICC au Kagame au Hata Ndondo Cup. Kwani ilikuwa Ni Kikosi Cha Aibu Kuwahi Kutokea Katika Mji Wa Liverpool!!!

Yani Timu tulifika Ahadi tunategemea Striker mpaka David Ngog!!! ambaye ninaamini Hata Kwenye Simba SC basi hapati namba mbele ya Okwi.
Na Timu inamtegemea Beki Sakho!!!!!
Timu inamtegemea Kipa Mignolet ambaye ambaye ananadishwa Kama fungu la Dagaa na mpaka sasahivi Hakuna Timu inayomtaka Kwa £12m.

Kiukweli Tokea Kilipomalizika Kizazi cha Dhahabu cha Kina Ian Rush basi Kizazi Kilichofata Cha Kuanzia 1992 ambacho Kimeanzia na Mtu Wa Kwanza Kabisa Steve MacCmanaman mpaka Kufikia Kizazi cha Mtu Wa Mwisho Kabisa Steven Gerrard hichi Kilitayarishwa Kizazi Kisichonafaida wala Ushindani ambacho Kila Kocha Anayekuja Anatengeneza Shit Squad Kwasababu Board pamoja na Wamiliki Wa Timu hawakutaka Kuekeza Kwa World Class au Big Budget Kocha.

Kwasasahivi Klopp ndiyo anaunda Kizazi Chake Mwenyewe Ambacho Mimi Ninakiita Kizazi Cha Sadio Mane Kwasababu Ndiye Mchezaji Wa Kwanza Kabisa Wa Ushindani aliyeletwa na Klopp Kwa ajili Ya Kutengenezea Timu.

Na Hata Msimu huu bado Timu yangu Sijaiamini Sana Kuwa inaweza Kugombania EPL Kwasababu nahisi bado inahitaji Addition ya Wachezaji 2 tu Kuwa Kikosi Kamili Cha Ushindani EPL na Barani Ulaya Kwa Ujumla.

Lakini Kwavile Mpira Ni Mchezo Wa Makosa, Basi Mancity anaweza Kufanya Makosa na Akatokezewa na injury ya Key Players wake kama sasahivi ilivyo Kwa De Bruyne nasisi Liverpool tusipate injury Za Muda Mrefu tukaweza Kubeba Ubingwa.
Kwavile Mimi Ni Mpenzi wa Mpira basi Tamaa ya Kuweza Kubeba Ubingwa Msimu Ninayo lakini Siipi Uhakika tu Kuwa Lazima tutabeba.
 
Kwa hiyo klop anaujua mpira
Basi sawa tunasubiri mtwae EPL msimu huu


Klopp anajua Mpira lakini Yeye Ni Kwamba Hakubahatika Kupata Timu Yenye Wachezaji Wenye Majina Makubwa Kama Kina Mourinho, Guardiola na Zidane ndiyomana Akawa Mafanikio Yake Katika Ukocha Sio Makubwa.
Kwani Klopp Huyuhuyu Kama Nayeye Angelikuwa Anaifundisha Bayern Basi Anhebeba Ubingwa Wa Bundes Liga Mara 7 mfululizo Kama Wenziwe wanavyofanya.

√ Alianza na Kijitimu Kidogo Cha Meinz Ambacho Ni Kufight against Relegation tu.

√ Baadae Akahamia Dortmund Ambayo aliitengeza Kwa Mikono Yake na ikaanza Kuonesha Dalili za Mafanikio Lakini Timu ikawa inauza Wachezaji Nyota ambao yeye anatumia Nguvu na Muda Kuwatengeneza Jambo lililomkasirisha Na Kuamua Kuhama Timu.

√ Na alipokuja Liverpool alikuta Kikosi Kibovu Kabisa Kuwahi Kutokea Katika Historia Ya Liverpool. Lakini Kaamua Kuwaondosha Mmoja Mmoja na Anatengeneza Wachezaji Wake Mwenyewe Jambo ambalo Kwa 90% ameshafanikiwa.
So, Hata Msimu Huu asichukue EPL Coz bado Yupo Katika Matengenezo Kutokana Na Hali Aliyoikutanayo Timu.
Lakini Kama FSG hawatawauza Wachezaji Wetu Nyota basi Na ikazidi Kuimarisha Hichi Kikosi Kilichopo basi Kuanzia Next Season tutaweza Kiukamilifu Kugombea Ubingwa Wa EPL.
 
Gomez: You have to play each game like it's your last

1) Robertson alipata Nafasi Baada Ya Kuumia Moreno.

2) TAA alipata Nafasi Baada Ya Kuumia Clyne.

3) Ni wazi sasa Gomez anaitaka Nafasi Baada ya Kuumwa Kwa Lovren.


Kwasasa Liverpool Kuna Baadhi Ya Positions Ukiumia tu Ni Kosa manake Mara Hurudi Tena First XI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom