Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mshambuliaji wa Liverpool Mo Salah anachunguzwa na Polisi wa Merseyside nchini Uingereza baada ya kuonekana kwenye video moja akiendesha gari huku akitumia simu, inadaiwa kuwa Club yake ndio iliyopiga simu Polisi kuwafahamisha kuhusu video hiyo ya Mchezaji wao.
Sas inakuwaje klabu ndio Inamchoma mo
Salah kwa polisi kwamba alikuwa anatumia
simu akiwa ana drive????
 
Sas inakuwaje klabu ndio Inamchoma mo
Salah kwa polisi kwamba alikuwa anatumia
simu akiwa ana drive????

Sio Kwamba Wamemchomea Mkuu!
Unajuwa iko hivi! Kulitokea Video ilisambaa Kwa Kasi (goes viral) Katika Mitandao Ya Kijamii kwa Muda mfupi ikimuonesha Mo Salah akiendesha gari huku akitumia Simu.
Sasa Kutokana Sheria Za Wenzetu Kuwa Ziko imara tofauti na Huku kwetu Kwani Huku tunapofanya Makosa Tunaikimbia Polisi, Lakini wenzetu Wanapofanya Makosa Wanakimbilia Polisi.
Ndiyo Kabla Ya Polisi Kuiona na Kutake Action dhidi ya Salah (ilikuwa Ni lazima waione).
Timu ikaamua Kuchukuwa hatua za tahadhari Mapema Hili swala Kuliripoti Polisi ili kuonesha ushirikiano na Kupisha uchunguzi (Pia Yawezekana Ni Editing tu) kama Hatua moja kumkinga Mo Salah na Kuja Kusumbuliwa na Polisi Kama Rooney msimu uliopita.

Wanajua wao wakifanyacho
 
Sas inakuwaje klabu ndio Inamchoma mo
Salah kwa polisi kwamba alikuwa anatumia
simu akiwa ana drive????
Wewe unafikiria mini kitatokea kwa Liverpool kama Salah akipata ajali?? Uliona final CL kilichotokea baada ya kuumia??
Acha wajihami.
 
Liverpool have not conceded a goal in any of their past six Anfield league matches
actually Anfield last season we only beaten na Westbrom FA or Carabao...ila kwenye ligi i gues ilkua draw bt no defeat..now with Keita providing the master pass for a pass to goal kama ile ya Robertson kumpasia Salah kufungwa sioni, hizi team zinazokuja Anfield kupaki basi hazikitoki salama...
 
Sas inakuwaje klabu ndio Inamchoma mo
Salah kwa polisi kwamba alikuwa anatumia
simu akiwa ana drive????
Video iliisha kuwa viral
Liverpool wasinge ripoti bado Polisi kitengo cha online wangeiiona tu
Liverpool kuripoti wenyewe ina maana MO atapata minimum punishment
Ni akili kubwa wametumia Liverpool kuripoti mapema
 
IMG_20180815_130229.jpg


Tmeangukia Kwenye Pot 3 Kwa Ajili ya Kupangiwa Ratiba Ya Group Stage ya CL.
Kwahiyo Tutakutana Na Timu Moja Hapo Kutoka Pot 1 na Moja Kutoka Pot 2 na Nyengine Kutoka Pot 4.
Obviously Valencia na Intermilan Kwavile Wako Pot 4 watayafanya Makundi Watakayopangiwa Kuwa Ni Ya Kifo.
Let say Group X lina:
√ Barcelona (From Pot 1)
√ Manchester United (From Pot 2)
√ Liverpool (From Pot 3)
√ Intermilan (From Pot 4)

Sijui Nini kitatokea!!!!!!!
 
View attachment 836620

Tmeangukia Kwenye Pot 3 Kwa Ajili ya Kupangiwa Ratiba Ya Group Stage ya CL.
Kwahiyo Tutakutana Na Timu Moja Hapo Kutoka Pot 1 na Moja Kutoka Pot 2 na Nyengine Kutoka Pot 4.
Obviously Valencia na Intermilan Kwavile Wako Pot 4 watayafanya Makundi Watakayopangiwa Kuwa Ni Ya Kifo.
Let say Group X lina:
√ Barcelona (From Pot 1)
√ Manchester United (From Pot 2)
√ Liverpool (From Pot 3)
√ Intermilan (From Pot 4)

Sijui Nini kitatokea!!!!!!!
Nakukumbusha kuwa timu za shirikisho moja haziwezi kuwa kundi 1 hapo Man U na Liver haziwezi kupangwa kundi moja
 
Nakukumbusha kuwa timu za shirikisho moja haziwezi kuwa kundi 1 hapo Man U na Liver haziwezi kupangwa kundi moja

Siyo Kwamba Ninakubisha! Bali nataka Kufahamu tu Kutoka Kwako 'Je Kuna Kifungu Chochote cha Sheria Za UEFA ulichonukuu au Ni maneno Yako Hayo?'
 
Wewe mpira umeanza kuangalia msimu uliopita? Kasome taratibu za droo kwenye www.uefa.com nakuona mihemuko inakusumbua

Usiwe Mjinga Kiasi Hicho! Mimi Nimekuuliza Kistaarabu na Wewe Unapaswa Kunijibu Kiistarabu. Au ulidhani Ukiwa Mstaarabu sitakuelewa?
Ujinga mwengine hauna faida kwako Mdogo wangu! Jifunze Kuongea na Wenzio Kwa ustaarabu.
 
Usiwe Mjinga Kiasi Hicho! Mimi Nimekuuliza Kistaarabu na Wewe Unapaswa Kunijibu Kiistarabu. Au ulidhani Ukiwa Mstaarabu sitakuelewa?
Ujinga mwengine hauna faida kwako Mdogo wangu! Jifunze Kuongea na Wenzio Kwa ustaarabu.
Mjinga ni wewe uliyetaka kuelimika nimekupa na link ukasome, jifunze kutumia vizuri kiswahili sawa dogo
 
Liverpool hata kuitwa majogoo ni kumkosea heshima jogoo labda mtetea ingefaa
Timu miaka 19 haijatwaa kombe la EPL sasa sijui furaha yenu ni ipi
 
Liverpool hata kuitwa majogoo ni kumkosea heshima jogoo labda mtetea ingefaa
Timu miaka 19 haijatwaa kombe la EPL sasa sijui furaha yenu ni ipi

Wewe ukishamaliza mbwembwe zako Utakaa Kimya Coz Kile Kigenge Chenu Na Msimu ujao Mutacheza Uropa nawahakikishia Subiri ligi ichanganye tu Mutaanza Kulia na Sarri.

mnapeana matumaini
Lakini bora man u yako kuliko liver
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom