Nazani Tite ameshayaona Makosa Yake Kumchezesha Mchezaji Mechi (G. Jesus) Zote walizocheza World Cup Bila Ya Kufunga goli Hata Moja ambalo liwe japo la Offside wakati Mchezaji (Firmino) Mwenye Uwezo Wa Kufunga na Offer mambo mengi Zaidi Amemueka Benchi.
Sasa Ameamua Kumuacha Jesus Nje Kwenye Kikosi Chake Alichokitangaza na Kumfanya Firmino Kuwa Ndiye Striker wake Rasmi.
Goalkeepers: Allison (Liverpool), Neto (Valencia), Hugo (Flamengo).
Centre-backs: Dede (Cruzeiro), Marquinhos (PSG ), Thiago Silva (PSG), Felipe (Porto).
Full-backs: Alex Sandro (Juventus ), Flipe Luis (Atletico Madrid), Fabinho (Liverpool), Fagner (Corinthians).
Midfielders: Andreas Pereira (Manchester United), Fred (Manchester United), Arthur (Barcelona), Pilippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Casemiro (Real Madrid), Lucas Paqueta (Flamengo).
Forwards: Douglas Costa (Juventus), Everton (Gremio), Roberto Firmino (Liverpool), Neymar (PSG), Pedro (Fluminense), Willian (Chelsea).