Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Usajili mzuri sana wa Fab huyu jamaa hana mbwembwe lakini anafanya kazi yake kwa umakini holding, ataongeza defence yetu kuwa imara sana anajuwa kulinda back 4. sababu anatumia mguu wa kushoto ataweza kumfanya Robertson kuwa anapanda mbele kila wakati na yeye kucover side. Nimependa style hii ya usajili kimya hakuna hata media waliona hii inakuja hii ni dalili nzuri naamini tutasikia mengi mazuri. nadhani Klopp anapanga kucheza 4.2.3.1 Fekir mbele na nyuma yake front 3 wetu. maana Fab na Keita watasimama nyuma. baadhi ya mechi tunaenda 4.3.3 kati Keita, Fab na Wid au Oxy. miliner na ender watakuwa squad players mwisho wa siku tunahitaji kikosi kikubwa. Now lete goalkeeper wa maana tuko vizuri. tutakuwa na team wanafit different system.
 
Kashadondoka sign.
Screenshot_20180529-101531.jpeg
 
point nyingine ya mthingi mabro ni kupata Forward mwingine mwenyewe anaweza kutegemewa...
maana Bobby anaenda kucheza WC Urusi.
amecheza mthimu mzima atakuwa mchovu kiathi.
na wote tunajua Danny Ings anafanyaga nn na Solanke wake.
 
point nyingine ya mthingi mabro ni kupata Forward mwingine mwenyewe anaweza kutegemewa...
maana Bobby anaenda kucheza WC Urusi.
amecheza mthimu mzima atakuwa mchovu kiathi.
na wote tunajua Danny Ings anafanyaga nn na Solanke wake.
Mthingi = msingi
Mthimu = msimu
Kiathi. = kiasi

Acha mbwembwe kwenye lugha adhimu ya kiswahili.
 
point nyingine ya mthingi mabro ni kupata Forward mwingine mwenyewe anaweza kutegemewa...
maana Bobby anaenda kucheza WC Urusi.
amecheza mthimu mzima atakuwa mchovu kiathi.
na wote tunajua Danny Ings anafanyaga nn na Solanke wake.
Mthingi = msingi
Mthimu = msimu
Kiathi. = kiasi

Acha mbwembwe kwenye lugha adhimu ya kiswahili.
 
Liverpool wako tayari kujiandaa kusaini mkataba na nahodha wa timu ya Lyon Nabil Fekir huku mzungumzo kuhusu uwezekano wa kusaini mkataba wa pauni milioni 60 na mchezaji huyo wa safu ya kati mwenye umri wa miaka 24 yakitarajiwa kuanza wiki hii. (Goal)

Mkurugenzi wa soka wa Roma Monchi anasema kuwa hakuna lengo lolote la kumuuza mlinda lango wao Alisson.

Mlinda lango huyo nambari moja mwenye umri wa miaka 25, amekuwa akihusishwa na Liverpool, na taarifa hizo ziliongezeka baada ya kushindwa katika fainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya (Mirror)

Wakili wa Misri amewasilisha mashtaka ya pauni bilioni moja dhidi ya Sergio Ramos kuhusiana na namna Mohamed Salah alivyoumia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. (Evening Standard)
 
Liverpool kafungwa na kipa Karius
Mapenzi yenu kwa Madrid yanafanya muwe vipofu!
Benzema kama sio bao la kupewa alifanya nn hadi anatoka?CR alifanya nn?
Bao pale ni la Bale na sisi la Mane
1-1 bila upuuzi wa Karius
Kwa hiyo tumeenda dakika 120 sio? Goli ni 1-1 ndani ya dakika 90 mshindi bado hajapatikana kule madrid wamepewa kombe feki original lazima mbebe liverpool .
 
Tumeanza vyema kwenye usajili
Fabihno alikuwa anatakiwa Man U nadhani kaichagua Liverpool sababu anataka kucheza mpira
Liverpool wanacheza mpira ni kweli ila mwisho wa msimu hamna kitu mikononi klopp ni genius ktk miaka yake mitatu huu wa nne anausaka.
 
Anachojaribu kutuaminisha ni:

SALAH angekuwepo dakika 90 na golini angekuwepo MIGNOLET basi wangeshinda kombe lile.
Labda sio madrid hata man city mteja wao klopp alishindwa kumfunga fainali ya carabao
 
Acha kudanganya watu wewe,mnasingizia goalkeper mlizidiwa mbinu za kimchezo,alafu utajisifiaje kuwa unatimu nzuri wakati msimu mzima umeisha bila hata kombe la mbuzi!,mafanikio ya timu yoyote duniani ni kushinda makombe,siyo blabla zenu hizo.
 
Acha kudanganya watu wewe,mnasingizia goalkeper mlizidiwa mbinu za kimchezo,alafu utajisifiaje kuwa unatimu nzuri wakati msimu mzima umeisha bila hata kombe la mbuzi!,mafanikio ya timu yoyote duniani ni kushinda makombe,siyo blabla zenu hizo.


Mkuu Hayo Maneno Niliyo ya Bold Nakuomba Uyatumie Katika Hali ya SINGULAR na Usiyatumie Katika PLURAL.

Namaanisha:

Unasingizia
Ulizidiwa
Yako


Sababu Ni Kwamba sisi Wengine Tulishayakubali Matokeo. Kwahiyo Mlenge UnayemQuote.
 
Kwa hiyo tumeenda dakika 120 sio? Goli ni 1-1 ndani ya dakika 90 mshindi bado hajapatikana kule madrid wamepewa kombe feki original lazima mbebe liverpool .

Mkuu Will You Stop this Endless Argument?
Sidhani Kama Huu Mjadala Kwa Wewe Unaendana Na Ninavyokufahamu Humu #JF.

Tokea Siku Ya Mchezo ulishaweka Sababu Hai Za Kupoteza Mchezo Katika Ya Comment Zako! Kwahiyo Haina Haja Ya Kutafuta 'Who is right wakati What is right inajulikana.

Ni my Request tu sio Order.
 
nadhani usajili wa fabinho tafsiri yake ni kwamba nathyne clyne na emre can wataondoka liverpool, kama liverpool itaongeza wachezaji wengine wanne wenye uwezo wa kuwaondoa wachezaji wa kikosi cha kwanza cha sasa hivi basi mutakuwa na uwezo wa kusimama na real madrid muda wowote.
usajili wa fabinho unaonyesha wazi ya kwamba jurgen ameachana na sajili za kipumbavu zilizokuwa zikifanywa na makocha waliopita.
hahahahahahahahahaaaaa hawa makocha wakiingereza wanashangaza sana aina yao ya usajili.
david ngog
danny ings
charlie adams
lalllana
henderson
andy carrol
konchesky
 
Huu Usajili Wa FABINHO sio siri umenipa Ukakasi Kwani Katika Wachezaji Ambao Kwa Upande Wangu Ni Most Untrusted Basi Ni Wa Amerika Ya Kusini (Walatini).

Hawa Hupita UENGEREZA na ITALY Kwa Ajili Ya Kuivizia BARCELONA na REAL MADRID tu.

Tena Walivyowajanja Mtazame NEYMAR, alipojiona Mbele Ya MESSI hawezi Kuwa MAIN MAN Wa Timu! Basi Kakubali Kuhama Kwenda Shit Team ya PSG. Wengi Kwa Kutokujua Ubabaishaji Wa WaAmerika Ya Kusini Wakadhani NEYMAR amejitupa Msituni.

Kumbe Mchizi Kashacalculate Zamani (Sijui Kama Hakuwa PCM huyu) Kuwa Umri Wa Ronaldo Next Season Ni 34years Kwahiyo Anaelekea CHINA au AMERICA na Hata Akibaki hatakuwa MAIN MAN Wa Timu.
Hapo Ndiyo Kaamua Kuivizia Real Kwa Daraja la PSG kwani alijua Ni Vigumu Kutoka BARCELONA kwenda REAL moja Kwa moja Kwahiyo Kaamua Kupitia PSG.

Kwahiyo Hawa Jamaa Wana Kila Mbinu Ya Kufanya ili Kuelekea Kwa REAL au BARCELONA.

Hata Mimi Siwapi umuhimu sana Wa Kuwasajili.

Wewe Watazame DE GEA, HAZARD, GRIEZMAN na Hata Alivyokuwa ROONEY wanavyowaniwa/Walivyowaniwa Kwa Muda Mrefu na BARCA & REAL unadhani Hao Wangelikuwa Wabrazili au Wana asili tu Ya KIBRAZIL kama alivyikuwa CR7 unadhani Wangelikuwa Wamo Katika Timu Zao?

Hapa Kwa FABINHO tuendelee KUBETI tu Asije akawa WORLD CLASS abaki Hivyo Hivyo Underrated Kwani Busquet umri unamuacha Mkono, Ikifika Muda Wa Kutafutiwa Replacement Basi itakuja umia Timu yoyote Ya Kiiengereza au Kitaliano iliyo na DM ambaye Ni Muamerika Ya Kusini aliye na Kiwango Bora.
 
Danny Murphy ana Makavu Kweli! 😀😀😀

Danny Murphy reckons Loris Karius will never play for Liverpool again after his Champions League final performance against Real Madrid.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom