Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Just thinking aloud....Nimesikia kuwa Yaya Toure anaondoka city mwisho wa msimu.For the sake ya kuongeza depth kwenye kiungo nilifikiri kama akija inaweza kuwa nzuri.....au?
What do you think?
Huyo Yaya Toure Msimu ujao ayakuwa Ni 35 au 36years? Je Kwa Umri Huo atakuja Kutusaidia Kwa Kipi?