Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Just thinking aloud....Nimesikia kuwa Yaya Toure anaondoka city mwisho wa msimu.For the sake ya kuongeza depth kwenye kiungo nilifikiri kama akija inaweza kuwa nzuri.....au?

What do you think?


Huyo Yaya Toure Msimu ujao ayakuwa Ni 35 au 36years? Je Kwa Umri Huo atakuja Kutusaidia Kwa Kipi?
 
Mimi ni mwanamichezo wewe, usinichagulie jukwaa. Hata jukwaa la leicester nachangia kule. Usiwe one dimensional sana kisa wewe ni liver, mbona unaonyesha utoto, liver fans wengi ni watu wazima na wanaojitambua, nakushangaa wewe kufura mwanamichezo mwingine kuwa jukwaa la liver.
Na pia, liver siichukii. Ni kwamba kwa msimu huu na pia hata walipolikosa kosa kombe la epl pale gerrard alipojikwaa, mashabiki wa liver huwa ni kero hivyo nami huwa nakuwa dhidi ya hao mashabiki na sio timu yenyewe.
.....mgonjwa wewe !
 
All you need to know about the Champions League final

Who is in the final?

The biggest game in club football will this season be contested by holders Real Madrid and five-time winners Liverpool. Madrid booked their place with a nervy 4-3 aggregate victory against Bayern on Tuesday, with Liverpool squeezing past Roma on Wednesday.

When does it take place?

The match will be held on Saturday 26 May, kicking off at 20:45CET (21:45 local time). This is the ninth successive season that the final has taken place at the weekend.

Where is it being played?

NSC Olimpiyskiy Stadium in Kyiv – the capital of Ukraine – will stage the fixture. The venue was renovated ahead of UEFA EURO 2012 and played host to the final, in which Spain beat Italy 4-0 to retain the trophy. The stadium has a net capacity of 63,000.

Can I still get tickets?

Some 6,700 tickets were made available to the public via UEFA.com last month, with the application window open from 15–22 March. The two finalist teams will each receive 17,000 tickets.

The annual UEFA Champions Festival will run from Thursday 24 until Sunday 27 May in Kyiv city centre.

The festival is free to attend and will be THE place for entertainment in the days around the final – including the UEFA Ultimate Champions Tournament featuring a host of UEFA Champions League greats; plus freestylers, autograph signing sessions, bands, DJs and the chance to have your photo taken with the trophy.

What else is going on?

The UEFA Women's Champions League final between Wolfsburg and Lyon will also take place in Kyiv, at Valeriy Lobanovskiy Dynamo Stadium on 24 May from 18:00CET (19:00 local time).

Former Ukraine striker and current national team coach Andriy Shevchenko. "I feel proud that we have the opportunity to organise such an event," said Shevchenko, a UEFA Champions League winner with Milan in 2003. "We look forward to meeting all the fans who want to visit our country and our beautiful city of Kyiv."

Who are the 'home' team?

Real Madrid are the nominal home team as a result of a draw made for administrative purposes following last month's semi-final draw.

A UK star singer Dua Lipa has been booked to perform at the Olympiyskyi Arena in Kyiv before the start of the UEFA Champions League final May 26.
 
Records of real Madrid in UCL
3.Tangu kubadilishwa jina kutoka European cup na kuitwa Uefa champions league,Real Madrid ni timu pekee katika timu zilizoingia zaidi ya Mara moja fainali kutopoteza mechi ya fainali

Real Madrid :final 6 win 6
Barca :final 5 win 4
Ac Milan :final 4 win 3
Bayern Munich : Final 5 win 2
Man united :final 4 win 2
Juventus : final 6 win 1
Liverpool :final 2 win 1
Ajax :final 2 win 1
B.Dortmund : final 2 win 1

Nb: kesho tutaendelea na record zingine .halla madrid
 
KUMBUKUMBU MUJARABU
uefa.PNG
 
Records of real Madrid in UCL
3.Tangu kubadilishwa jina kutoka European cup na kuitwa Uefa champions league,Real Madrid ni timu pekee katika timu zilizoingia zaidi ya Mara moja fainali kutopoteza mechi ya fainali

Real Madrid :final 6 win 6
Barca :final 5 win 4
Ac Milan :final 4 win 3
Bayern Munich : Final 5 win 2
Man united :final 4 win 2
Juventus : final 6 win 1
Liverpool :final 2 win 1
Ajax :final 2 win 1
Nb: kesho tutaendelea na record zingine .halla madrid


Wewe Jishauwe lakini Siku Zako Za Kubaki Katika Huu Uzi Zinahesabika! Utajipiga Ban Kwa Hiari Yako! Trust me..
 
Records of real Madrid in UCL
3.Tangu kubadilishwa jina kutoka European cup na kuitwa Uefa champions league,Real Madrid ni timu pekee katika timu zilizoingia zaidi ya Mara moja fainali kutopoteza mechi ya fainali

Real Madrid :final 6 win 6
Barca :final 5 win 4
Ac Milan :final 4 win 3
Bayern Munich : Final 5 win 2
Man united :final 4 win 2
Juventus : final 6 win 1
Liverpool :final 2 win 1
Ajax :final 2 win 1
Nb: kesho tutaendelea na record zingine .halla madrid

Arsenal?
ManCity?
Tottenham?
 
Loris Karius I believe the emotions of reaching the Champions League final will ensure Liverpool won’t allow any let-up in their performance level in their final two Premier League fixtures.
 
Of the 22 teams Chelsea boss Antonio Conte has faced in the Premier League Liverpool are the only team he has failed to beat.
 
Kikosi kizuri sana alichopanga Klopp kwa leo. Klavan namkubali sana pamoja na Clyne. Nina mashaka na absence ya Mane, nahisi Chelsea watapanda sana sababu ya pengo la Mane
 
Kikosi kizuri sana alichopanga Klopp kwa leo. Klavan namkubali sana pamoja na Clyne. Nina mashaka na absence ya Mane, nahisi Chelsea watapanda sana sababu ya pengo la Mane
Mkuu unamaanisha unachokisema????
 
Kikosi kizuri sana alichopanga Klopp kwa leo. Klavan namkubali sana pamoja na Clyne. Nina mashaka na absence ya Mane, nahisi Chelsea watapanda sana sababu ya pengo la Mane
Mane hachezi leo? Duuu
 
Mkuu unamaanisha unachokisema????


Mkuu kama unakumbuka ile mechi ya Round ya pili na Tottenham alipopigwa tu Sub Mane basi Tootenham wakapanda sana na lau isingekuwa Jitihada binafsi za Salah Tungepigwa licha ya kuwa Anfield
 
Mkuu kama unakumbuka ile mechi ya Round ya pili na Tottenham alipopigwa tu Sub Mane basi Tootenham wakapanda sana na lau isingekuwa Jitihada binafsi za Salah Tungepigwa licha ya kuwa Anfield

Mane yupo mkuu. Ebu fuatilia kikosi upya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom