balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,513
- 15,153
Unapocheza Estadio Olimpico dhid ya wazee wa comeback lazima ujue namna ya kucheza nao.Ila Dzecko mtu mbaya.Daaa ila jana tulicheza mpira mbovu xana,wachezaji walikuwa hawakabi ukicompare na mechi ya kwanza sjaelewa tatizo lilikuwa nini?