Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Baada Ya Jana Jordan Henderson Kupata Yellow Card, Mechi ijayo Hatacheza Kwani itakuwa Ni Yellow Yake Ya 2 Kwa Mashindano Haya.
Kwahiyo Natarajia Emre Can atakuwa Fiti Mechi ya Second leg ili achukue Nafasi ya Hendo.
 
Kwa mpira wa jana wa dogo nikajikuta najiuliza ile siku alishindwaje kummark MRF?


Siku Hile Lovren alimuexpose, Tofauti na Jana ambapo Lovren alikuwa Makini Sana na Upande Wa Kulia Kiasi Ya Kwamba TAA anapomuendea Sane basi Lovren Anamzibia Kama Back up yake.
 
Jana Washabiki Wa Liverpool Hawakuwafanyia Uungwana Timu ya Man City Wakati inawasili Anfield kwani Walilishambulia Basi lao Kwa Kuwarushia Vitu.


Liverpool FC statement


The club condemns in the strongest possible terms the scenes which preceded our Champions League quarter-final, which resulted in damage being inflicted on the Manchester City team bus during their arrival at Anfield.

We apologise unreservedly to Pep Guardiola, his players, staff and officials caught up in the incident.

The behaviour of a number of individuals was completely unacceptable and the club will cooperate fully with the authorities to identify those responsible.

The priority now is to establish the facts and offer Manchester City whatever support is necessary.
 
'It's half-time, nothing more' warned Jürgen Klopp after Liverpool secured a 3-0 first-leg advantage in the Champions League quarter-final with Manchester City on Wednesday evening.
 
Jürgen Klopp: "Salah Fine but doubt to face Everton".

Hili Halijanisumbua Hata kidogo! Ni bora tu apumzishwe Katika Huu Mchezo.
 
Nadhani Alex Oxlade Chamberlain ameshaonesha Wazi Kuwa Hawezi Kujuta Kuhamia Liverpool na alichokifanya Ni Sahihi na Ni Bora Kwa Mchezaji Yeyote Kufanya Kama Alivyofanya Yeye Kujiunga na Liverpool 😀😀😀
 
Halafu Njoo Tena Useme [HASHTAG]#VVD[/HASHTAG] Ni Sawa na Phill Jones Wakati Mabadiliko Aliyoyaleta Kwenye Defence ya Liverpool Kila Mtu anayaona.
Nitakuja kubadilisha msimamo wangu siku akiwasaidia kuchukua kombe lolote lile.
 
Jamani naombeni sababu za Liverpool kupoteza umiliki wa mpira kipindi cha pili ukilinganisha na kipindi cha kwanza, ukiondoa sababu ya Salah kutoka baada ya kuumia...!!!
Hata kipindi cha kwanza umiliki tulizidiwa tulichotakiwa ni kuondoka na clean sheet ambayo kiuhalisia city wanatakiwa washinde 4-0 second leg (ni ngumu tena ngumu sana i mean haiwezekani)kuliko wangepata 1 or 2 goals kwao second game ingewezakuwa rahisi

Technically we are in semi final easily!
 
Kikwazo kwa timu zote ni RONALDO. Huu ndio kweli. Kama timu, yeyote atakayekutana na Liver atakuwa na wakati mgumu sana ila sio Madrid hii ya Ronaldo. Naiona Barca nyanya kabisa kwa Liver tena home amd away kama watapangiwa.
Tunae Mo Salah , au hukuona kuwa na huyo atakuwa pia kikwazo kwa Madrid?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom