makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,983
- 104,469
Naimani liverpool mtawatoa man city, i believe on you, mkitulia mkatandaza soka lenu vizur, simuon man city anapoponyokea.
Mzee baba kwemaNakumbuka Moja Kati Ya Post Zilizopita Nilisema Kuwa Liverpool itakutana Na Mshindi Wa Mechi Kati ya Man City na Basel Kuna Mashabiki Wa Manure hapa the so called Belo Kanifokea Kinoma Kisa tu Yeye Kajiunga #JF mwanzo Kuliko Mimi na Akiamini Kuwa Kujiunga JF mwanzo ndiyo Kujua kila kitu.
naona Messi anatafutiwa kiatu kingine, King makers wako kaziniNakumbuka Moja Kati Ya Post Zilizopita Nilisema Kuwa Liverpool itakutana Na Mshindi Wa Mechi Kati ya Man City na Basel Kuna Mashabiki Wa Manure hapa the so called Belo Kanifokea Kinoma Kisa tu Yeye Kajiunga #JF mwanzo Kuliko Mimi na Akiamini Kuwa Kujiunga JF mwanzo ndiyo Kujua kila kitu.
Hata na Mimi kwa kweli hawakuziona Roma, Seville na Juve???Honestly sijapenda kukutana na ity kwa hatua hii
Mzee baba kwema
naona Messi anatafutiwa kiatu kingine, King makers wako kazini
Hapo unazungumzia Liverpool ya kipindi gani na Man City ipi? Nyoosha maelezo nani anambahatisha mwenzie kwa sasa?Nilijua tu Hapa Mashabiki Wapinzani Wa Liverpool Watakuja Kuropoka Utazani Liverpool Hajawahi Kuifunga Man City wakati Ukweli Uko Wazi Man City ndiye anaebahatisha Kuifunga Liverpool!!!
Hapa Ukweli Ni Kwamba Kulikuwa na Possibly Kubwa Ya Timu Zote za Uingereza Kutinga Nusu Fainali, Lakini UEFA wamezipiganisha Kimahesabu ili mmoja lazima atoke, Na Kuzitenganisha Timu Zote 3 za Spain ili Kumjengea Mazingira Barca na Real Wote watinge nusu.
Lakini Real na Sevilla wanatolewa! Halafu Barca (Mancity au Liverpool) tunamsubiri Fainali Tumrambishe Ndimu.
Ulitumia sababu gani kama siyo gambling?Nakumbuka Moja Kati Ya Post Zilizopita Nilisema Kuwa Liverpool itakutana Na Mshindi Wa Mechi Kati ya Man City na Basel Kuna Mashabiki Wa Manure hapa the so called Belo Kanifokea Kinoma Kisa tu Yeye Kajiunga #JF mwanzo Kuliko Mimi na Akiamini Kuwa Kujiunga JF mwanzo ndiyo Kujua kila kitu.
Hapo unazungumzia Liverpool ya kipindi gani na Man City ipi? Nyoosha maelezo nani anambahatisha mwenzie kwa sasa?
Liverpool hii nilikwambia ile siku ni genge la wahuni watatu imfunge Man City?
Unajua Liverpool toka hatua ya makundi mmepita kwenye kundi mama mama na Porto nao vile vile?
Mmh kivipi sijamuelewa kabisa ilikuwa ndoto yao kivipi akimaanisha kwamba wamefurahi kukutana kwa timu za Uingereza???Klopp on Champions League draw: "I think it's the dream draw for all Man United fans."