Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hizi porojo zote Mara za ratiba Mara za msimamo Wa league ni kuficha ukweli na madhaifu yenu. Kuwa mtakufa na mkikaa ovyo mtakufa nyingi.


Nyie ingie uwanjani kukamilisha ratiba ya UCL pamoja na kupunguza aggregate hamna kingine.

Liverpool kufa kwa Man City ni jambo lisilo epukika wala kupingika.




Kila la kheri katika kukamilisha ratiba.
We kweli kichwa kichafu, rudi tena mbweha we
 
Ww msanii uchwara uliyehongwa...
Kikwazo kwa timu zote ni RONALDO. Huu ndio kweli. Kama timu, yeyote atakayekutana na Liver atakuwa na wakati mgumu sana ila sio Madrid hii ya Ronaldo. Naiona Barca nyanya kabisa kwa Liver tena home amd away kama watapangiwa.
 
Hongereni sana THE KOPPS,kidogo tutapumzika kelele za majirani zetu city.
Mpira mkubwa,matokeo mazuri,what a night!
 
Vizr sana......ila hii timu si ya kuamini utashangaa mtu anakojolewa 5 mechi ijayo....
 
Liver bado wana ile tendency ya kuvizia mechi za UEFA.
Pamoja na hilo siwawekei dhamana, mna asilimia kubwa ya kuvuka hapa lakini siwaweki kwenye list ya u champion.


Na Hii Ndiyo Sifa Ya Liverpool Kwani Hata Mwaka 2005 Liverpool inakuvizia Mechi Ya Kwanza tu inakutoa halafu Mechi Ya Pili anakukazia ili akamilishe kazi tu.

Na Hata Marahii tumeanza Kwa Porto Kumvizia Mechi ya Kwanza! Na Mechi ya Pili Tukakamilisha Kazi.

Na Man City Tumevizia Mechi Ya Kwanza! Ya Pili tunaenda Kukamilisha Kazi.

Na Bahati Nzuri Refa Wa [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] hatuchezeshi Mechi Yetu na Wao Kama Atatupa Tena Red Card ili wapate 5.

Sisi Ni Wajanja Wa 1st leg

[HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
 
Good results, 3 goals na cleanshit versus Man city tulicheza vizuri na kudefend vizuri kwa mara ya kwanza nimeshuhudia Lovren akicheza bila panicking hasa hasa kipindi cha pili. Nilipoona Lineup i was a bit nervous kuona kuna


Lovren Jana kacheza Vizuri lakini Huyu Haaminiki Hata asilimia 1% kwani Hana Consistency Hata kidogo na anaweza Kutucost muda wowote pahala tusipopategemea.

Hata hivyo Kwa Jana Lovren anahitaji Pongezi.
 
Naona kipele kimepata mkunaji,,,anyway gem ya Jana ilikua nzuri sana na kuna mda nilisimama kushangilia magoli ya liva hasa lile la oxlade ,,kuna mda najiuliza ni kwanin kocha wetu mou anashindwa kucheza attacking football, jumamos tunakutana na city cha ajabu atapaki basi wakati angeweza kushambulia kama alivofanya liva,,
 
Furaha imekujaa mpaka unasahau AOC mafanikio yake mpaka sasa ni kujihakikishia champions league position, semi final champions league, na Hana medal yoyote


Hukupaswa Kusahau Kuwa AOC hajajiunga Liverpool Miaka 5 iliyopita.
Amejiunga Msimu Huu!

If only you know what I mean!
 
Mkuu mshindi kati ya liver na cty anakutana na mshindi kati ya juve na madrid, pia mshindi kati ya barca na roma atakutana na mshindi kati ya munchen na sevila


Fahamu Kuna Sheria zilishabadilishwa na [HASHTAG]#UEFA[/HASHTAG] na ndiyomana Hata Kipengele cha Country protection Kwa Liver vs City haikutumika.

Kwahiyo Na Hapo Kwenye Semi-Final Patachezeshwa Upya Draw na Liverpool akiingia Nusu Atakutana na Timu Yoyote Kati ya Zitakazoingia ikiwemo hiyo Real.

Na Usijeshangaa Real Madrid vs Barcelona wakakutana (75%) naamini hivyo.
 
LIVERPOOL PLAYER RATINGS

Loris Karius 8

Some quality goal kicks. Caught it a few times. Gains a point for having such lovely hair.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom