Mkuu mshindi kati ya liver na cty anakutana na mshindi kati ya juve na madrid, pia mshindi kati ya barca na roma atakutana na mshindi kati ya munchen na sevilaI wish mpangwe na Madrid mumuoneshe njia ya kurudi Hispania![]()
hakutakua na draw?Mkuu mshindi kati ya liver na cty anakutana na mshindi kati ya juve na madrid, pia mshindi kati ya barca na roma atakutana na mshindi kati ya munchen na sevila
Furaha imekujaa mpaka unasahau AOC mafanikio yake mpaka sasa ni kujihakikishia champions league position, semi final champions league, na Hana medal yoyoteNadhani Alex Oxlade Chamberlain ameshaonesha Wazi Kuwa Hawezi Kujuta Kuhamia Liverpool na alichokifanya Ni Sahihi na Ni Bora Kwa Mchezaji Yeyote Kufanya Kama Alivyofanya Yeye Kujiunga na Liverpool 😀😀😀
hakutakua na draw?
hivi kuna mchezaji wa city atakeye miss mechi ijayo na liva kwa sababu ya yellow card?msaada tafadhali
Tunae Mo Salah , au hukuona kuwa na huyo atakuwa pia kikwazo kwa Madrid?
Weka na mengine, au kwingine ulikatazwa
Ndiohakutakua na draw?
Ni Sakho bwana kwa goli la kichwa dakika 90+Lovren 90+
Ni Sakho bwana kwa goli la kichwa dakika 90+ tena la konaLovren 90+
Okay japo haijakaa kiuchambuzi sana mana kwa umiliki ule unafikiri wasingeweza kupata goli?? Na unafikiri kwa nini hatukupata goli? Mbona Klopp kuna mda alilalamika sana kuonyesha kuna makosa yalikuwa yanafanyika???Hata kipindi cha kwanza umiliki tulizidiwa tulichotakiwa ni kuondoka na clean sheet ambayo kiuhalisia city wanatakiwa washinde 4-0 second leg (ni ngumu tena ngumu sana i mean haiwezekani)kuliko wangepata 1 or 2 goals kwao second game ingewezakuwa rahisi
Technically we are in semi final easily!
Ni Sakho bwana kwa goli la kichwa dakika 90+ tena la kona
Sakho alifunga goli la 3 dk 80+ then Lovren mkuu ...Ni Sakho bwana kwa goli la kichwa dakika 90+
Okay japo haijakaa kiuchambuzi sana mana kwa umiliki ule unafikiri wasingeweza kupata goli??
Na unafikiri kwa nini hatukupata goli? Mbona Klopp kuna mda alilalamika sana kuonyesha kuna makosa yalikuwa yanafanyika???
Anyway labda kumbukumbu yangu imepotea mkuuSakho alifunga goli la 3 dk 80+ then Lovren mkuu ...
Sakho alifunga goli la 3 dk 80+ then Lovren mkuu ...