BAKOI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 1,211
- 2,330
Ipo n ile ya sevila kwenye makundi. Ila yeye anatuambia n Dortmund. Wakati Dortmund ndo alikuwa anaongoza tatu moja sisi ndo tukashinda 4-3Hata Mimi hii Gemu inanichanganya.
Hivi kuna Gemu gani mpaka Mapumziko LIVERPOOL alikuwa anaongoza Goli 3-0, kipindi cha pili matokeo yakabadilika
Enzi za COUTHINHO na ORIGI kule UEFA ndogo