Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hata Mimi hii Gemu inanichanganya.

Hivi kuna Gemu gani mpaka Mapumziko LIVERPOOL alikuwa anaongoza Goli 3-0, kipindi cha pili matokeo yakabadilika

Enzi za COUTHINHO na ORIGI kule UEFA ndogo
Ipo n ile ya sevila kwenye makundi. Ila yeye anatuambia n Dortmund. Wakati Dortmund ndo alikuwa anaongoza tatu moja sisi ndo tukashinda 4-3
 
Jamani mlale salama, Mungu amekuwa Mwema kwa Liverpool kila wakati...!!!
 
TAA baada ya Mechi Aamua Kutoa Kilichomo Mfukoni Mwake


IMG_20180405_004837.jpg
 
Trent Alexander-Arnold vs Man City

√ 1/3 dribbles

√ 4/5 tackles

√ 10 clearances

√ 7 interceptions - most on the pitch

√ Dribbled past once
 
In 13 games against Pep Guardiola, Jurgen Klopp has won 7 times.

More than any other manager in world football.
 
Maskini Coutinho angebaki tu Liver, kaenda huko Messi anamfunika tu, kweli usipokuwepo sehemu, Dunia haisimami, maisha lazima yaendelee, tena yanaenda vizuri zaidi kuliko ulivyokuwepo, lesson to us...We are dispensable..
Philippe Coutinho not yet living up to expectations at Barcelona, says Terry Gibson Philippe Coutinho not yet living up to expectations at Barcelona, says Terry Gibson via @SkySports
Liverpool thriving under Klop as pundit delivers brutally honest verdict on Coutinho Liverpool thriving under Klop as pundit delivers brutally honest verdict on Coutinho via @HITCsport
 
Sadio Mane vs Man City

√ 79% passing

√ 2 shots

√ 1 goal

√ 6/8 dribbles - most on the pitch

√ 1/13 aerial duels

√ 3/4 tackles

√ 1 clearance

Big game player
 
Jamani naombeni sababu za Liverpool kupoteza umiliki wa mpira kipindi cha pili ukilinganisha na kipindi cha kwanza, ukiondoa sababu ya Salah kutoka baada ya kuumia...!!!
 
Jamani naombeni sababu za Liverpool kupoteza umiliki wa mpira kipindi cha pili ukilinganisha na kipindi cha kwanza, ukiondoa sababu ya Salah kutoka baada ya kuumia...!!!

Mkuu jibu rahisi sana hapo, tulishajulikana tunachezaje kipindi cha kwanza kwa hiyo city wamekuja na njia mbadala kutukabili

Na kingine city walikuwa wamefungwa walikuwa wanapambana kurudisha,yaani kama faru aliyejeruhiwa.
Swala la kushambuliwa kwenye mpira ni kawaida.
 
Nilikosea kidogo tu.
Ijayo sasa man city 1 Liverpool 2
Na man city wataanza kupata goli

Hivi kipi kinakupa imani city atapata goli,hii ni uefa mkuu sio epl.liverpool akiwa uefa automatically ni mnyama,mtu kama milner ndio mwenye assist nyingi uefa anaassist 7 za magoli,na karius ndio kipa bora uefa anaclean sheet nyingi.lakini bado hamtaki kukubali liverpool ni timu bora uefa,mnang’ang’ania man city,endeleeni kuona .tofautisha kati ya uefa na epl.unaweza kuwa bora epl uefa ukawa kilaza tu kama psg bingwa kwao huko akija uefa ni underdog tu
 
Hata Mimi hii Gemu inanichanganya.

Hivi kuna Gemu gani mpaka Mapumziko LIVERPOOL alikuwa anaongoza Goli 3-0, kipindi cha pili matokeo yakabadilika.

Enzi za COUTHINHO na ORIGI kule UEFA ndogo
Sisi ndiyo tulikuwa nyuma 3-1 tukaja kushinda 4-3 kwa bao la Sakho!
MAN City sasa atakuwa na adabu akija Anfield
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom