Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tuna advantage kubwa Kwan wao wana yellow kad nying Zaid za kiungo na forwad zao mbil so Naamin Fainal tunacheza Y.N .W A
Kiongozi.

Ni kweli unayoyasema.

Wale ni LIVERPOOL, na sio PSG walifanya kazi kubwa UFARANSA kufika CAMP NOU wameshindwa kugangamala pamoja ya kuwa walikuwa na nafasi kubwa sana ya kuwaondoa BARCA Mchuanoni
 
Hatujui Na nani,tunaojua mpira,biashara imeisha hapo.unataka kulazimisha city apite ,yaani kwa city hakuna kitu hapo kila mtu mpira kauona .city wangekuwa vizuri wasingeshindwa kupata goli .halafu jifunze kutofautisha kati ya epl na uefa hii ni uefa mkuu.liverpool akiwa uefa automatically anakuwa mnyama.city ubabe wake uko epl .endelea kuota mchana
Kuna mechi Liverpool first half waliongoza 3-0,dhidi ya Dortmund,second half Dortmund halafu goli 4.tuwe na akiba ya maneno
 
Leo Anord alexander nimensifu maana city walihamisha kijiji kwake lakini Dogo kasimama kiume walizani watamkimbiza kama ile last match. Ila ROBERTSON NYOKO YAANI WANAMUOGOPA WANAMKIMBIA KABISA DEBRUNE NA UBORA WAKE WOTE KAWA KAMA YATIMA AKIPATA MPIRA WANAMPA SANE MAANA WANAJUA MZIKI WA ROBERTSON MARLEY HATA STERLING KAINGIA LAKINI HAWAMPI MPIRA MAANA WANAJUA ROBERTSON ATAMUWEKA MFUKONI KAMA ALIBMVYOMFANYA DEBRUNE
 
IMG_2402.JPG
 
Siamini macho yangu Liverpool kuwafunga man city kiasi hiki ambao ni top ya EPL
Mlipokuwa mnaambiwa timu zote zilikuwa zinaogopa kukutana na Liverpool mlidhani ni utani?
Hapo ni Anfield...!
 
Safi sana vijana wangu kazi niliyowatuma mmefanya vyema pasi na shaka.. sasa mimi baba yenu naenda kumpa nyingi sana pale kwake jumamos
 
Leo Anord alexander nimensifu maana city walihamisha kijiji kwake lakini Dogo kasimama kiume walizani watamkimbiza kama ile last match. Ila ROBERTSON NYOKO YAANI WANAMUOGOPA WANAMKIMBIA KABISA DEBRUNE NA UBORA WAKE WOTE KAWA KAMA YATIMA AKIPATA MPIRA WANAMPA SANE MAANA WANAJUA MZIKI WA ROBERTSON MARLEY HATA STERLING KAINGIA LAKINI HAWAMPI MPIRA MAANA WANAJUA ROBERTSON ATAMUWEKA MFUKONI KAMA ALIBMVYOMFANYA DEBRUNE


Nililijua Mwanzo Hili Kuwa Man City atamuiga Mourinho Kushambulia Upande Wetu Wa Kulia Wakiamini Kuwa Lovren & TAA Ni Watenda Makosa lakini Leo Klopp Kawalisha Viapo Na Wamekomaa Kinoma Mpaka Sane Anamuombea TAA aumie.. 😀😀😀


Nadhani Wapinzani Wetu Wameshafahamu Kutoa £75m Kwa Ajili Ya Beki [HASHTAG]#VVD[/HASHTAG]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom