Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp ni kocha mzuri sema ligi ya England hakuizoea,akiipatia watamkoma
Tatizo la timu zinazoremba uingereza ndio hufanya man city awe mbabe.
Mpira wa man city ni speed and accuracy,ukimuacha atembee peke yake,lazima atakukimbiza sana.
Nawapongeza Liverpool hawapendi ujinga ujinga wa kuremba,ndio maana city akifunguka na wao wanafunguka na matokeo ndo hayo
 
Kiongozi, ndivyo inavyokuwa.

KABUMBU ni Mchezo mmoja wa ajabu sana.

Tegemea chochote kutokea ndani ya Dakika Tisini (90)
Hata kwenye next game hata semi final I believe klopp atasumbua,huyu kocha ana uzoefu wake
 
What a performance in the second half, sasa Klop aachane na presha za Epl huko top 4 anayo tayari ,akomae na huku huku
Kweli kabisa Kiongozi.

KLOPP afanye maajabu kama ya RAFAEL BENITEZ.

Msimu wa 2004/2005.

Mbona inawezekana sana
 
Hata kwenye next game hata semi final I believe klopp atasumbua,huyu kocha ana uzoefu wake
Naam.

Hata mimi nina matumaini kama ya kwako.

PEP GUARDIOLA hakutegemea kabisa matokeo haya.

Sio siri, LIVA Msimu huu wamekuwa wagumu sana kupoteza ndani ya ANFIELD
 
Tusubiri show nyingine ya kibabe etihad ambapo pep atafurahi kuona come back.... Hongereni jamani man city no shoot on target
 
Tatizo la timu zinazoremba uingereza ndio hufanya man city awe mbabe.
Mpira wa man city ni speed and accuracy,ukimuacha atembee peke yake,lazima atakukimbiza sana.
Nawapongeza Liverpool hawapendi ujinga ujinga wa kuremba,ndio maana city akifunguka na wao wanafunguka na matokeo ndo hayo
Kama wanavyosema mpira ni dk 90 bado hatujui next game man city watapindua matokeo au vp
 
Tuna advantage kubwa Kwan wao wana yellow kad nying Zaid za kiungo na forwad zao mbil so Naamin Fainal tunacheza Y.N .W A
 
Kama wanavyosema mpira ni dk 90 bado hatujui next game man city watapindua matokeo au vp

Hatujui Na nani,tunaojua mpira,biashara imeisha hapo.unataka kulazimisha city apite ,yaani kwa city hakuna kitu hapo kila mtu mpira kauona .city wangekuwa vizuri wasingeshindwa kupata goli .halafu jifunze kutofautisha kati ya epl na uefa hii ni uefa mkuu.liverpool akiwa uefa automatically anakuwa mnyama.city ubabe wake uko epl .endelea kuota mchana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom