Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Leo Klopp awe makini na Kuupa Maelekezo Ya Hali ya Juu Upande Wetu Wa Ulinzi Wa Kulia ambako Kuna TAA na Lovren kwani Upande Huu Ni Very weak na Man City Huenda Wakatumia Udhaifu Wa Upande Huu na Kuelekeza Mashambulizi Yao Yote Kupitia Kulia.

Na Midfield area Combination ya AOC-Hendo-Milner Ni nyepesi Kwahiyo itambidi Mane na Firmino washuke Chini Kuja Kukimbiza Mpira.
Mie Hasimu wako uwanjani japo ukikipiga namie hufurukuti, lakini mpaka sasa nikupe hongera, unamfundisha Mou jinsi ya kuwafunga kiwepesi hawa jamaa, ila namhurumia kocha wangu kibri chake kinatucost kwenye mechi muhimu, hajui kama kuna umuhimu wa kulinda heshima japo hatuchukui ubingwa!
 
Leo nina wakati mgumu sana. Lakini *** it, bora Scousers washinde na kufuzu kwenda SF. Kisha I will laugh at you when yo get battered in the SF. Hawa Shitty wakishinda wataleta kelele sana na maneno yao ya Pep ni kocha bora kabisa.
Mkuu huu moto hauzimiki mpaka final.
 
a truly "HEAVY METAL FOOTBALL" on show tonite.

come on you blessed REDS!!
 
CITY wanabadilisha Mchezo hivi sasa, wanaweza pata GOLI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom