Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ivi wakuu shughuli ya milner pale kati akianzaga yeye lazma tumpe mtu nyingi nani kaliona hilo!!!

Hii game ya Pili anacheza uzuri lakini Hana Consistency! Unaweza Kukuta Michezo inayofuata Anacheza Vibaya usivyotegemea.
 
Gemu kumi zikizobaki tunaweza kupata goli hata 20 kwa speed hii...tukamaliza msimu na 120+ goals!
 
Hapo special ni Ranieri tu ambapo alicho kifanya hutokea kila baada ya miaka 30!
Conte aliitithi team gani?
Unaifananisha Conte’s team na Liverpool aliyo ikuta Klopp?
Mourihno kutumia Milion 300 anakupa Yuropa na FA ndiyo tunamjadili hapa?
Pep alipokuja kapata kombe gani?Pep aliikuta team mbaya kama Klopp?
Kocha gani unayemjua wewe angeipa Liverpool ile nafasi ya CL hata kuwashinda Man United na Arsenal?
Klopp apewe heshima yake!
Mfia maji hachi kutapatapa.....Malafyale huu sasa umekuwa ni wimbo wako wa taifa kila kukicha unajifariji ohoo Mara kloop alikuta timu mbaya. Mbona huu simu liver wapo on fire lakini kwenye vikombe vya mbuzi katolewa zote?
 
Mane:
Kafunga Goli Moja!
Kacheza Vizuri leo!
Angelikuwa Makini Angeondoka na Hat-Trik!
Hayupo Katika Form Yake Ya Last Season!
Amepoteza Shabaha Ya Ufungaji!
Hana Pace tuliyoizoea!
Ni Mchezaji Mzuri na Muhimili Kwenye Timu Yetu..
he has four goals in two games... positive
More careful with his movements na sprint, inapunguza risks za injuries --- Klopp is working on him... Positive
Poor first touches... Needs improvement
Celebrated his goal.... positive
Excellent movements off the ball.... positive
trying too hard hadi anakosea (perfectionism)... not negative

If he scores in the next two games, form yake itarudi
 
he has four goals in two games... positive
More careful with his movements na sprint, inapunguza risks za injuries --- Klopp is working on him... Positive
Poor first touches... Needs improvement
Celebrated his goal.... positive
Excellent movements off the ball.... positive
trying too hard hadi anakosea (perfectionism)... not negative

If he scores in the next two games, form yake itarudi

Mane Akirudi Katika Form, No one will stop us
 
Chelsea ana point 53 Man U 56, bora Chelsea ashinde ili Man U atulie.

Wakuu Mimi Kidogo Ninatofautiana Kimawazo na Nyinyi!

• Manure ana 56points
• Chelshit ana 53points

Chelshit akishinda atakuwa na 56points ambazo Ni sawa na Manure.

Na Kama utaangalia Kwa Makini basi Chelshit Ni More dangerous Katika Msimamo wa Ligi compared to Manure!
That is why nikahisi Sare itakuwa more comfortable kuliko Chelshit Kushinda.
Na Ukweli uliowazi Ni Kwamba Chelshit Kwa Sasa hana uwezo Wa Kumfunga Manure.


Nawatakia Chelsea ushindi mnono leo
 
Wakuu Mimi Kidogo Ninatofautiana Kimawazo na Nyinyi!

• Manure ana 56points
• Chelshit ana 53points

Chelshit akishinda atakuwa na 57points ambazo atalingana na sisi.

Na Kama utaangalia Kwa Makini basi Chelshit Ni More dangerous Katika Msimamo wa Ligi compared to Manure!
That is why nikahisi Sare itakuwa more comrfortable kuliko Chelshit Kushinda.
Na Ukweli uliowazi Ni Kwamba Chelshit Kwa Sasa hana uwezo Wa Kumfunga Manure.
Mkuu chelsea akishinda huwa anapata points ngapi? Maana saivi ana 53 then ashinde awe na 57?
 
Wakuu Mimi Kidogo Ninatofautiana Kimawazo na Nyinyi!

• Manure ana 56points
• Chelshit ana 53points

Chelshit akishinda atakuwa na 57points ambazo atalingana na sisi.

Na Kama utaangalia Kwa Makini basi Chelshit Ni More dangerous Katika Msimamo wa Ligi compared to Manure!
That is why nikahisi Sare itakuwa more comfortable kuliko Chelshit Kushinda.
Na Ukweli uliowazi Ni Kwamba Chelshit Kwa Sasa hana uwezo Wa Kumfunga Manure.
Mkuu leo umeandika kichina
 
Ni kweli anapocheza VDD na Lovren, VVD anakuwa yupo free na more comfortable zaidi ukilinganisha akicheza na Matip.

Lakini Mimi Huwa Simuamini Lovren kwani Muda wowote anaweza kufanya Mambo yake.
Matip is a better defender, lakini physical games zinamsumbua

Robertson pia needs some rest, jana alikua anafanya basic mistakes za positions mnoo, without VVD na Milner kusaidia, jamaa wangetuotea
 
Liverpool atakuwa runners wa Man City!
Mambo yataanza August naiona kabisa Liverpool imara zaidi
Hata CL tuna nafasi kubwa kuchukua!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom