Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Emre Can:
Amefunga Goli Moja!
Ametoa Assist Moja!

Yupo Vizuri na Kwa Kasi anaimaster Position ya Defensive Midfielder!
Ni uzembe Klopp atakao ujutia iwapo atamruhusu aondoke Bure bila Ya Kufikia Muafaka wowote.
Can ninamkubali sana.
Simpi kosa lolote Kwa Move ya Goli tulilofungwa Kwani Kabla ya Kuupoteza Mpira Ni Kwamba alifanyiwa Foul.
Anastahiki Kuanza Mbele Ya Hendo.
 
ila leo tumecheza mpira usio na ile kasi yetu ya siku zote nadhani kocha aliamua kufanya hivyo ili kuepusha majeruhi kwenye timu yetu
 
AOC:
Ametoa Assist Moja:

Kwakweli Leo Ameonesha Uwezo Wa Hali Ya Juu Kiasi Ya Kwamba Yupo More Offensive than Holding or Playmaker!
Ninampa AOC credit kwa Goli La Mo Salah Kwani Amefanya Kazi Kubwa ya Kulipika.
Hata Hivyo Bado sijampa Nafasi Ya Kuanza Mbele Ya Gini.
 
Millie:
Amecheza Vizuri Kiasi na Mchango Wake umeonekana lakini Umri unaenda Kumuacha Mkono.
Si Mchezaji wa Kuwa Regular Starter lakini Bado tunamuhitaji Kama Ni Backup ya Multiple position (Fullback, Central Midfielder and Winger).
 
Mo Salah:
Amefunga Goli Moja!
Ametoa Assist Moja!
Bado anaendeleza Consistency na Muhimili Madhubuti Kwa timu yetu!
Anaweakness mbili;
1) Kutokucheza Mipira ya juu (Kwa Kichwa), na Hata Anaporuka Kichwa huwa Ni cha Kubahatisha.
2) Nafasi Nyingi anazopoteza ukilinganisha na anazogunga.

Ninamkubali Yupo Vizuri! Njia Pekee Ya Kuweza Kuwa naye Kwa Muda Mrefu Ni Kushinda Makombe! Msimu ujao tusiposhinda Kombe lolote basi ataondoka.
 
Mane:
Kafunga Goli Moja!
Kacheza Vizuri leo!
Angelikuwa Makini Angeondoka na Hat-Trik!
Hayupo Katika Form Yake Ya Last Season!
Amepoteza Shabaha Ya Ufungaji!
Hana Pace tuliyoizoea!
Ni Mchezaji Mzuri na Muhimili Kwenye Timu Yetu..
 
My First XI:

Karius
Clyne
Robbo
Matip
VVD
Can
Gini
AOC
Salah
Bobby
Mane

Subs:
Migno
Lovren
TAA
Moreno
Hendo
Lallana
Ings
 
Commentator Wa Channel niliyokuwa Ninastream alisema Kila Evra anapokuwa na Mpira Mashabiki Wa Liverpool walikuwa Wanachanting Jina la Evra! Nikaskiliza Kwa Makini Nikagundua Ni Kweli!
Hii sio racism?
 
Virgil van Dijk vs West Ham

√ 87% passing
√ 1 shot
√ 7/9 aerial duels - most on the pitch
√ 1/1 tackle
√ 7 clearances
√ 1 interception

He is Mr. Calm
 
Roberto Firmino vs West Ham

√ 75% passing
√ 3 chances created
√ 2 shots
√ 1 goal
√ 1/1 dribbles
√ 3/6 tackles
 
Leo Liverpool imefikisha Magoli 103 iliyofunga Kwenye Msimu Huu Wa 2017/2018 ikiwa Ndiyo Kwanza ina michezo Kadhaa haijacheza ya Msimu huu.

Misimu ambayo Liverpool imefikisha Magoli 100 Kwa Michezo Michache Ni:

1) 1895-96 (36 games)
2) 2013-14 (39 games)
3) 2017-18 (40 games)
 
Ivi wakuu shughuli ya milner pale kati akianzaga yeye lazma tumpe mtu nyingi nani kaliona hilo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom