M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
chief, tutaendelea kukupiga darasa hadi uelimike kuhusu what it takes to be a RED. utaelewa tu!Who cares?
Kuna watu wana akili mbovu kweli kweli ktk jukwaa hili aisee!
Klopp is right man to lead Liverpool,wewe na wenzako hawa wachambuzi uchwara hamna point hata moja ya maana!
Klopp wetu....
msimu wake wa 3.
madirisha zaidi ya 4 usajili.
zero trophy.
VS
Conte = EPL first season
Maureen = 2 trophies first season
Pep = 2nd season (EPL in the bag)
oh, just before I forget... remember a certain Ranieri?
[HASHTAG]#silverwareisLFCdna[/HASHTAG]