Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ipo Haja Ya Moreno Kubadilishiwa Majukumu Na Kuchezeshwa Kama Winger ili iwe Ni Backup Ya Moreno.
Kwani Timu Yetu Midfielders Nyingi Ni Central Attacking Midfielders (CAM) na sio Wingers!
Winger Tulionao Ni Mane na Salah tu (Hata lallana Mwanzoni Alikuwa Ni Winger)...
So, In case of injury or illness hatuna Backup yao Kwani Firmino alipojaribiwa Kuchezeshwa Winger Hakufiti Hile Position.
Kwahiyo Moreno anaweza kuwa Ni Backup.
 
Chelsea amfunge Man u .Atapata pwenti 26. Majogoo tunazo 27.
Mashetani watabaki na 26.
Tutakuwa runners!
Kwa mdundo huo confidence ya wachezaji itaongezeke. Mahasimu wetu watapoteza morali.
Go liver go
 
Chelsea amfunge Man u .Atapata pwenti 26. Majogoo tunazo 27.
Mashetani watabaki na 26.
Tutakuwa runners!
Kwa mdundo huo confidence ya wachezaji itaongezeke. Mahasimu wetu watapoteza morali.
Go liver go


To Be Honest:
26 = 56
27 = 57
 
Kwa ushindi mnono wa goli 4-1 dhidi ya West Ham United, Klabu ya Liverpool imepanda hadi nafasi ya pili iliyokuwa inashikiliwa kwa muda mrefu na mashetani wekundu Manchester United.

Magoli ya Liverpool yamefungwa na Emre Can, Sadio Mane, Mohamed Salah na Roberto Firmino huku goli la kufuta machozi la West Ham likifungwa na Michail Antonio.

Wakati hayo yakijiri mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah amefikia rekodi ya Luis Suarez iliyodumu klabuni hapo kwa miaka mitatu, ambapo Suarez aliifungia Liverpool magoli 31 kwa msimu wa mwaka 2013/2014 kwa michezo 37 aliyoitumikia Liverpool hakuna aliyefanya hivyo tangu Suarez aondoke klabuni hapo kwenda Barcelona, hadi jana Salah alipofikisha magoli hayo kwa msimu huu wa 2017/2018.

Salah (25) ameifikia rekodi hiyo mapema zaidi kuliko Suarez sababu ikiwa ni wingi wa michuano ambayo Liverpool ya sasa inashiriki.
 
CARLSBERG'S MOTM vs WEST HAM

IMG_20180225_144737.png
 
Matip is a better defender, lakini physical games zinamsumbua

Robertson pia needs some rest, jana alikua anafanya basic mistakes za positions mnoo, without VVD na Milner kusaidia, jamaa wangetuotea
Firmino pia anajitaji apumzike...huyu Robertson kwa kweli ni usajili mzuri sana
 
Ndiyo maana mchawi hawezi kuwa na maendeleo na maisha mazuri hata siku moja.
Hahahah ngoja nimalizane na new castle next week then nije nikuwangie hapo hapo old Trafford make nileyemtuma umetungua ungo wake!
 
King Ngwaba nimeipenda analysis yako. Iko vema sana.
Nimefurahia sana kiwango cha Emre Can na Karius kwa mechi tatu mfululizo alizocheza. Hawa wawili ni very potential kwa kikosi hasa cha msimu ujao.
 
Hahahah ngoja nimalizane na new castle next week then nije nikuwangie hapo hapo old Trafford make nileyemtuma umetungua ungo wake!
Mkuu timu yako haiwezi shinda old trafford miaka hii.huu ndio ukweli mchungu kama unabisha sawa.hata chelsea niliwaambi kuwa mutashinda kwenu lakini siyo OT.
 
Mkuu timu yako haiwezi shinda old trafford miaka hii.huu ndio ukweli mchungu kama unabisha sawa.hata chelsea niliwaambi kuwa mutashinda kwenu lakini siyo OT.
Ntakukumbusha siku hiyo make nina uhakika biashara nakuja kumaliza hapo hapo kwenu!
 
Achana na history angalia my current forwards ni tishio hapo England na ulaya kwa ujumla ugonjwa wng wa beki asaiv kushney VVD kaleta chemistry Fulani amazing so lazima nikukalishe tu!
Kwaheri nimekuletea mpaka takwimu lakini bado hutaki! Pale ni OT ,huwa unapigwa 3,2 nk!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom