Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tulicheza Mechi na Everton! Baada ya Mechi Klopp Huwa ana post-match press conference na kufanya analysis ya Mchezaji ikiwepo Kutangaza Majeruhi.

Lakini Baada ya Mechi hii ya Everton Klopp hakusema Chochote Kuhusu [HASHTAG]#VVD[/HASHTAG] Kuwa Ni Majeruhi.

Na tulimshuhudia huyu VVD katika viwanja Vya [HASHTAG]#Melwood[/HASHTAG] akifanya Mazoezi na Wachezaji wenziwe bila ya Majeruhi yoyote kwa siku zote.

Na Mpaka Kufikia Tarehe 13 January Wengi tulishuhudia [HASHTAG]#Live[/HASHTAG] VVD akifanya Mahojiano na Carragher akiwa ni Mzima bila ya injury yoyote.

Lakini Cha Kushangaza Siku ya tarehe 14 January ambayo tulicheza na Man City Klopp alitangaza Kuwa VVD ni Mgonjwa aliumia Siku ya Game na Everton!!!!

Swali: Ni kwanini siku Zote hakutangaza Kuwa injury Mpaka siku ya Mechi na Man Mancity?
Mbona alikuwa akifanya Mazoezi na Kikosi Kikamilifu?

Mawazo yangu: VVD alikuwa Mzima na Hana injury yoyote! ila Nadhani Bodi Ya Liverpool ilikaa na Klopp wakahisi Kuwa Mechi ya Man City na Liverpool itajaa Pressure na Mashabiki Kumuangalia VVD atafanya Nini! Kwahiyo itakapotokezea Liverpool kupoteza Mchezo huo na kutokana na thamani Kubwa waliyomnunulia ingelikuwa ni Pressure Kubwa Kutoka kwa [HASHTAG]#Mashabiki[/HASHTAG], [HASHTAG]#Media[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Pundits[/HASHTAG].

Kwahiyo wakaamua kutomchezesha! Lakini ilivyokuwa Tumeshinda I don't Care kwa Maamuzi yao...
It is possible, au pia ilikuwa mbinu ya kisaikolojia kwa Pep.
 
COUTINHO ALIZANI AKIONDOKA YEYE NDIYO TIMU ITAKUFA??????

Hizi ni Salam Kwa Coutinho! AOC kafunga goli MOJA na Katoa Assist MOJA! Jumla tunasema Kashiriki Katika Magoli MAWILI tena Kwenye Big Match.
Alichokifanya AOC ndiyo kilekile alichokuwa Akikifanya Coutinho! Chenga ni Mbwembwe tu Mwache akapige Barcelona.

PROBLEM SOLVED
Nilichokiona Klopp ni bingwa wa kutengeneza yaani AOC ni alikuwa kwenye form nyingine kabisa
 
• Tumefungwa na Man City

• Tumefungwa na Spurs

• Tumedraw na Man United

• Tumedraw na Chelsea

• Tumedraw na Arsenal

Hizo zote ni Timu Kubwa!!! Points Tulizopoteza hapo Zinatosha Kutueka Hapa Tulipo!!!

Angelikuwa na Vibonde Vinatusumbua Basi Tungelikuwa Nafasi Ya 10.
Jamaa anauliza maswalibya kipuuzi kweli yaani anashindwa kujiuliza timu yake iko nafasi ipi
 
Tulicheza Mechi na Everton! Baada ya Mechi Klopp Huwa ana post-match press conference na kufanya analysis ya Mchezaji ikiwepo Kutangaza Majeruhi.

Lakini Baada ya Mechi hii ya Everton Klopp hakusema Chochote Kuhusu [HASHTAG]#VVD[/HASHTAG] Kuwa Ni Majeruhi.

Na tulimshuhudia huyu VVD katika viwanja Vya [HASHTAG]#Melwood[/HASHTAG] akifanya Mazoezi na Wachezaji wenziwe bila ya Majeruhi yoyote kwa siku zote.

Na Mpaka Kufikia Tarehe 13 January Wengi tulishuhudia [HASHTAG]#Live[/HASHTAG] VVD akifanya Mahojiano na Carragher akiwa ni Mzima bila ya injury yoyote.

Lakini Cha Kushangaza Siku ya tarehe 14 January ambayo tulicheza na Man City Klopp alitangaza Kuwa VVD ni Mgonjwa aliumia Siku ya Game na Everton!!!!

Swali: Ni kwanini siku Zote hakutangaza Kuwa injury Mpaka siku ya Mechi na Man Mancity?
Mbona alikuwa akifanya Mazoezi na Kikosi Kikamilifu?

Mawazo yangu: VVD alikuwa Mzima na Hana injury yoyote! ila Nadhani Bodi Ya Liverpool ilikaa na Klopp wakahisi Kuwa Mechi ya Man City na Liverpool itajaa Pressure na Mashabiki Kumuangalia VVD atafanya Nini! Kwahiyo itakapotokezea Liverpool kupoteza Mchezo huo na kutokana na thamani Kubwa waliyomnunulia ingelikuwa ni Pressure Kubwa Kutoka kwa [HASHTAG]#Mashabiki[/HASHTAG], [HASHTAG]#Media[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Pundits[/HASHTAG].

Kwahiyo wakaamua kutomchezesha! Lakini ilivyokuwa Tumeshinda I don't Care kwa Maamuzi yao...
Mwenyewe niljua
 
Kila ninapotembelea Liverpool Echo nikikutana Na Habari inayosema "HENDERSON IS BACK IN TRAINING " basi nazidi Kupata Headache!!
 
Kwa hili Jamie Carragher Yupo Sahihi Kuhusu Bobby!

Jamie Carragher believes Liverpool striker Roberto Firmino is “one of the most underrated players in the Premier League,”

Media Hazijamkubali bobby kama zinavowafanya wawe overrated kina Jesus, Lacazzete, Lukaku na Moratta.

Kwahiyo bobby Kawa overrated kabisa kkiasi ya Kwamba hakionekani kile anachokifanya EPL.


P170105-102-Liverpool_Everton-e1515187908245-600x401.jpg
 
Time to Pressurize Klopp Kuanza Kumtumia TAA badala ya Gomez kuanzia Mechi Ya Swansea City.

Gomez anatugharimu kwa Kila hali.
 
Baada Ya Klopp Kusema Loris Karius Ndiye Kipa Wake Namba 1, Simon Mignolet Aanza Kuizungumzia Khatma Yake na Napoli Tayari wameshaonesha Nia Ya Kutaka Kumsajili.
 
Kiungo wa kati wa Liverpool raia wa Serbia Marko Grujic, 21, analengwa kwa mkopo na Middlesbrough na Cardiff City. (ESPN)
 
Salah kwa kiwango hiki cha uchezaji alichofikia inabidi timu imuongezee mshahara walau mpaka £140,000 kwa wiki hivi. Nitashangaa sana kama LFC ilimlipa Baloteli £130,000 kwa wiki halafu ikashindwa kumlipa Mo Salah hio hela!
 
Salah kwa kiwango hiki cha uchezaji alichofikia inabidi timu imuongezee mshahara walau mpaka £140,000 kwa wiki hivi. Nitashangaa sana kama LFC ilimlipa Baloteli £130,000 kwa wiki halafu ikashindwa kumlipa Mo Salah hio hela!


Mshahara Hauongezwi Kama Wa Mfanyakazi Wa Serikali anapoongezewa na Raisi. Bali Huongezwa Pale Anapoongeza Mkataba Mpya tu...!

Kumbuka Mo Salah Aliponunuliwa Hakuwa hivi alivyo sasa! Kwahiyo alikubaliana Mshahara unaostahiki kulingana na Kiwango Cha Wakati huo.

Atakapoongeza Mkataba Mpya Ndiyo hapo Yeye Mwenyewe atadai new [HASHTAG]#salary[/HASHTAG] inayoendana na Kiwango Chake.

Kumbuka alipokuwa AS Roma alikuwa analipwa £50,000/= per week, Na Alipokuja Liverpool katika Negotiation alidai ili Asaini Mkataba na Liverpool ni Lazima alipwe £90,000/= kutokana na Kuwa ilikuwa ni hela ndefu kulingana na alikotokea
na Liverpool wakamkubalia kumlipa hivyo.

Sasa Hapa hatuwezi ilaumu Timu wala kumlaumu Yeye..

Tusubiri Atakaposaini Mkataba mpya Ndiyo atadai hela Ndefu kama aliyodai VVD £180,000/= kwa week.

Kwahiyo Mo Salah kama atadumisha Kiwango hichi alichonacho basi Wanaweza kumzidi Hata VVD na akawa ni Mchezaji anaelipwa Zaidi Ndani ya Liverpool.
 
Liverpool's next 5 fixtures:

Swansea (A)
West Brom (FA Cup) (H)
Huddersfield (A)
Spurs (H)
Southampton (A)


Key Points:
• Mchezo mmoja Nyumbani Wa FA Cup
• Mchezo mmoja Nyumbani Wa EPL
• Michezo Mitatu Ugenini ya EPL


IMG_20170901_174317_837.jpg
 
IMG_20180118_053545.jpg



Klopp Kaamua Kuwekeza Kwa Vijana Wake Mwenyewe Bila Ya Kuwa Na Wa Urithi..
Kama Namuona ni LALLANA na FIRMINO pekee Ndiye atakaebakia.

• Mignolet karibu atapotea FXI
• Sturridge ameshapotea FXI
• Hendo Karibu atapotea FXI
• Moreno Karibu atapotea FXI
• Clyne Karibu Atapotea FXI
• Lovren Karibu atapotea FXI
• Origi ameshapotea FXI
• CAN yupo njia Panda kupotea
• Flanagan ameshapotea Kwenye Timu
• Marcovic ameshapotea Kwenye Timu
 
Mshahara Hauongezwi Kama Wa Mfanyakazi Wa Serikali anapoongezewa na Raisi. Bali Huongezwa Pale Anapoongeza Mkataba Mpya tu...!

Kumbuka Mo Salah Aliponunuliwa Hakuwa hivi alivyo sasa! Kwahiyo alikubaliana Mshahara unaostahiki kulingana na Kiwango Cha Wakati huo.

Atakapoongeza Mkataba Mpya Ndiyo hapo Yeye Mwenyewe atadai new [HASHTAG]#salary[/HASHTAG] inayoendana na Kiwango Chake.

Kumbuka alipokuwa AS Roma alikuwa analipwa £50,000/= per week, Na Alipokuja Liverpool katika Negotiation alidai ili Asaini Mkataba na Liverpool ni Lazima alipwe £90,000/= kutokana na Kuwa ilikuwa ni hela ndefu kulingana na alikotokea na Liverpool wakamkubalia kumlipa hivyo.

Sasa Hapa hatuwezi ilaumu Timu wala kumlaumu Yeye..

Tusubiri Atakaposaini Mkataba mpya Ndiyo atadai hela Ndefu kama aliyodai VVD £180,000/= kwa week.

Kwahiyo Mo Salah kama atadumisha Kiwango hichi alichonacho basi Wanaweza kumzidi Hata VVD na akawa ni Mchezaji anaelipwa Zaidi Ndani ya Liverpool.


Mkuu mbona scenarios kama hizo tumeziona sana Arsenal ambapo Sanchez alivokuwa kiwango kinapanda walikuwa wanamuongezea mshahara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom